Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Yale makesi ya visasi yaliyokuwa yanatengenezwa na mataga yanafutwa upesi.
Mkuu usijali CCM ina hazina ya watu chamsingi tuendelee kuiamini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yale makesi ya visasi yaliyokuwa yanatengenezwa na mataga yanafutwa upesi.
Mama D za muda huu!Kipara kipya[emoji7]
Hiyo ni amri haijalishi imetolewa kwa tamko gani.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mnatakiwa kuwa na udhibiti wa watu mnaowapa nafasi za kuongoza. Rais ni mwenye nguvu kuliko chama na katiba ya nchi.Mkuu usijali CCM ina azina ya watu chamsingi tuendelee kuiamini!
Toa tena rushwa ya ngono uone hahahahhahahh motoooooooooooKuiba kuku, kukutwa na msokoto wa bangi, rushwa ya ngono n. K
Mbona mapema sana kutabiri duh mpeni muda usitoe maoni kwa mihemuko... ndio kwanza kazi imeanzaHuyu ndo tumpe 5 tena!
Bora hiyo kuliko kutokuaa na chochote kabisa.Mishahara duni, vyeo havipandi.
Mkiajiliwa na mikopo yenu hiyo si mtaishia kazini siku ya kuripot tu
Umevurugwa???? Pole sana.Siku nyingi hujulikani ni popo au ndege!