Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana! Ni maoni tu (opinion), na huo ndio ubinaadam. Huyu kasem hiki, yule kasema kile, mwengine asema hivi. Different ideas!!Siku hizi kila mtu amekua mshauri wa rais.
Tanzania inakusanya tilioni 1.5=bilioni 1500.baada ya hapo hulipa mishahara kwa mwezi bilioni800 halafu madeni ya nje kila mwezi tunalipa bilioni 700hapo pesa tote imeisha. Marehemu alikuwa akilipa maendeleo kwa kukopa kwenye mabenki ,ndio alikuwa anasema sisi ni matajiri hatuombi misaada. Si ajabu AKISHINDWA kupandisha mishahara. Sasa Mhe. Samia atafanya maajabu gani ya kupandisha kwa asilimia 100. HAWEZI MAANA MISHAHARA PEKE YAKE ITAMALIZA MAKUSANYO YOTE.
Onyesha vile vile vyanzo vya hizo pesa!Nakuhakikishia Safari yako itakuwa ni nyepesi sana endapo utayafanya haya Mambo MANNE (4), MH: MADAM kwa haraka ikiwezekana ndani ya kipindi cha mwezi mmoja na NYOTA yako itazidi kung'ara
(1) MPE AMRI DPP AFUTE KESI YA MASHEKH WA UAMSHO ILIYODUMU ZAIDI YA MIAKA MINANE BILA USHAHIDI KUKAMILIKA (NOLE PROSEQU)
(2) PANDISHA MISHAHARA KWA WATUMISHI WA UMMA WALAU KWA 100% YA MISHAHARA YA SASA! ITASAIDIA SANA MZUNGUKO WA FEDHA MITAANI NA KUFUTA MACHUNGU YA MIAKA TAKRIBAN MINANE
(3) LIPA FIDIA KWA WALIOBOMOLEWA NYUMBA ZAO KWA AJILI YA UJENZI WA BARABARA UBUNGO KIMARA
(4) TANGAZA MIKOPO YA ELIMU YA JUU KWA WANAFUNZI WOTE WENYE SIFA IWE NI LAZIMA KUPATA MIKOPO HIYO NA WAKATI HUO HUO REJESHA KIWANGO CHA RIBA YA MAREJESHO YA MKOPO KAMA ILIVYOKUWA AWALI ASILIMIA 8
KWA HAYO TU TAYARI MADAM UMESHAJINYOOSHEA NJIA FOR 2025 PRESIDENCY KAZI NI LAINI SANA NI SAWA NA KUMSUKUMA MLEVI
Hizo hela utampa wewe? Ebu tuliza akili kwanza.Nakuhakikishia Safari yako itakuwa ni nyepesi sana endapo utayafanya haya Mambo MANNE (4), MH: MADAM kwa haraka ikiwezekana ndani ya kipindi cha mwezi mmoja na NYOTA yako itazidi kung'ara
(1) MPE AMRI DPP AFUTE KESI YA MASHEKH WA UAMSHO ILIYODUMU ZAIDI YA MIAKA MINANE BILA USHAHIDI KUKAMILIKA (NOLE PROSEQU)
(2) PANDISHA MISHAHARA KWA WATUMISHI WA UMMA WALAU KWA 100% YA MISHAHARA YA SASA! ITASAIDIA SANA MZUNGUKO WA FEDHA MITAANI NA KUFUTA MACHUNGU YA MIAKA TAKRIBAN MINANE
(3) LIPA FIDIA KWA WALIOBOMOLEWA NYUMBA ZAO KWA AJILI YA UJENZI WA BARABARA UBUNGO KIMARA
(4) TANGAZA MIKOPO YA ELIMU YA JUU KWA WANAFUNZI WOTE WENYE SIFA IWE NI LAZIMA KUPATA MIKOPO HIYO NA WAKATI HUO HUO REJESHA KIWANGO CHA RIBA YA MAREJESHO YA MKOPO KAMA ILIVYOKUWA AWALI ASILIMIA 8
KWA HAYO TU TAYARI MADAM UMESHAJINYOOSHEA NJIA FOR 2025 PRESIDENCY KAZI NI LAINI SANA NI SAWA NA KUMSUKUMA MLEVI
Rais kasema analala saa nane usiku akisoma mitandao ya kijamii..wana haki ya kuweka mawazo yao.Siku hizi kila mtu amekua mshauri wa rais.
Duuuh mkuu mshahara 100% kwel itawezekana mkuu? Pesa zitazoka wap mkuuNakuhakikishia Safari yako itakuwa ni nyepesi sana endapo utayafanya haya Mambo MANNE (4), MH: MADAM kwa haraka ikiwezekana ndani ya kipindi cha mwezi mmoja na NYOTA yako itazidi kung'ara
(1) MPE AMRI DPP AFUTE KESI YA MASHEKH WA UAMSHO ILIYODUMU ZAIDI YA MIAKA MINANE BILA USHAHIDI KUKAMILIKA (NOLE PROSEQU)
(2) PANDISHA MISHAHARA KWA WATUMISHI WA UMMA WALAU KWA 100% YA MISHAHARA YA SASA! ITASAIDIA SANA MZUNGUKO WA FEDHA MITAANI NA KUFUTA MACHUNGU YA MIAKA TAKRIBAN MINANE
(3) LIPA FIDIA KWA WALIOBOMOLEWA NYUMBA ZAO KWA AJILI YA UJENZI WA BARABARA UBUNGO KIMARA
(4) TANGAZA MIKOPO YA ELIMU YA JUU KWA WANAFUNZI WOTE WENYE SIFA IWE NI LAZIMA KUPATA MIKOPO HIYO NA WAKATI HUO HUO REJESHA KIWANGO CHA RIBA YA MAREJESHO YA MKOPO KAMA ILIVYOKUWA AWALI ASILIMIA 8
KWA HAYO TU TAYARI MADAM UMESHAJINYOOSHEA NJIA FOR 2025 PRESIDENCY KAZI NI LAINI SANA NI SAWA NA KUMSUKUMA MLEVI
basi afute mishahara tusilipwe.Wajinga hao wanaongea tu utadhani pesa zinachumwa kwenye miti
Wewe marehemu alisema kuwa anakusanya 2 trilion.Tanzania inakusanya tilioni 1.5=bilioni 1500.baada ya hapo hulipa mishahara kwa mwezi bilioni800 halafu madeni ya nje kila mwezi tunalipa bilioni 700hapo pesa tote imeisha. Marehemu alikuwa akilipa maendeleo kwa kukopa kwenye mabenki ,ndio alikuwa anasema sisi ni matajiri hatuombi misaada. Si ajabu AKISHINDWA kupandisha mishahara. Sasa Mhe. Samia atafanya maajabu gani ya kupandisha kwa asilimia 100. HAWEZI MAANA MISHAHARA PEKE YAKE ITAMALIZA MAKUSANYO YOTE.
Well said !!! She has to tread and carefully sail with WANAMAPAMBIO. Most of them are FILTHY FAKE !!!Leo ni siku nyingine tena Rais Samia Suluhu aka Mama amepata wasaa wa kuhutubia wateuzi na taifa kwa ujumla.
Hotuba yake imesheheni matumaini mapya, lugha laini na rahisi kueleweka na kila mtu.
Mama ameonyesha kuifahamu nchi na matatizo yake kwa ujumla.
Amegusia karibu nyanja zote za kijamii, kiuchumi nakadhalika.
Huko kote ameonyesha kuwa naye anahitaji kuona mabadiliko hasa katika huduma bora.
Jambo lingine muhimu zaidi amwonyesha kuwa pamoja na kufukua cv za wateule wake pia hufuatilia sana maoni ya wananchi kupitia mitandao ya kijamii, hii ni habari njema kabisa kuwa wengine tusiokuwa na access naye moja kwa moja tutakutana mitandaoni.
Jambo lingine muhimu ni kuqgiza vyombo vya habari vilivyofungwa vifunguliwe ili asionekane anakandamiza uhuru wa habari...hongera nyingi.
*******
Nimetumia kauli hii (kuwa ni mtamu) nikimaanisha kuwa Mama amevuta hisia za wengi kumaikiliza, lugha yake na lugha ya mwili/body language vinafufua matumaini mapya kwa wengi wafanyabiaahara, wakulima na wafanyakazi.
Tangu aapishwe kuwa rais wa JMT anga la Tanzania limekuwa jepesi mno, kuna tumaini jipya, mwelekeo mpya na amani ya moyo.
Mambo haya machache yamwnifanya nimuone kuwa huyu mama ni Mtamu.
ANGALIZO KWA MAMA
1. Utaimbiwa kila nyimbo tamu/praise and worship na kila kada hadi nyumba za ibada
2. Utaitwa mteule wa Mungu
3. Tutajikomba sana
Nakuomba usilewe sifa zetu.
Sisi hawahawa tunaokusifu ipo siku tutakupeleka msalabani kukusulubu uchi na viboko juu.
Kukwepa hili jitahidi kuyaishi haya unayoyahubiri itakusaidia usisulubiwe sana.
Mungu akutie nguvu
Kama ungelijua ustarabu wa pwani sio wa bara na ustarabu wa bara sio wa pwani usinge taabiki hivyo, kwa mfano mkurya amwoe msambaa ulishawahi kujiuliza hili?Binafsi naanza kuona vijembe na mizaha jukwaani. Mara mwenye jinsia ya kike, Mara macho yamelegea, hii yote ya nini? Kweli hadi hapo bado unataka sifa za maumbile? Rais akumbuke kuna kundi pembeni linaangalia kama kabadilika tabia.
Tabia wanayoifahamu tangu akiwa waziri na baadaye Makamu wa Rais. Sasa kama kuna tabia hataziacha, huo ndo upenyo wa kuingilia kuharibu mambo. Tutaanza kuona tena nchi inaendeshwa kwa vimemo vya ikulu.
Mtangulizi alikomesha tabia fulani za mitaani kwa tabia yake ya kutotabilika. Dakika moja mzaha mara mtu katumbuliwa. Sasa huyu rais mpya akataposhindwa kuachana na tabia zake walizozizoea huko maofisini, itakuwa ni kuwaangusha akina mama wote wanaofuata nyayo. Asidhani hazitembei huku mitaani. Amepanda jukwaa, soon tutaanza kuambiwa hata yasiyofaa kwenye jamii hii yenye masculinity.
5. RUDISHA FAO LA KUJITOA KWENYE MIFUKO YA JAMII.Nakuhakikishia Safari yako itakuwa ni nyepesi sana endapo utayafanya haya Mambo MANNE (4), MH: MADAM kwa haraka ikiwezekana ndani ya kipindi cha mwezi mmoja na NYOTA yako itazidi kung'ara
(1) MPE AMRI DPP AFUTE KESI YA MASHEKH WA UAMSHO ILIYODUMU ZAIDI YA MIAKA MINANE BILA USHAHIDI KUKAMILIKA (NOLE PROSEQU)
(2) PANDISHA MISHAHARA KWA WATUMISHI WA UMMA WALAU KWA 100% YA MISHAHARA YA SASA! ITASAIDIA SANA MZUNGUKO WA FEDHA MITAANI NA KUFUTA MACHUNGU YA MIAKA TAKRIBAN MINANE
(3) LIPA FIDIA KWA WALIOBOMOLEWA NYUMBA ZAO KWA AJILI YA UJENZI WA BARABARA UBUNGO KIMARA
(4) TANGAZA MIKOPO YA ELIMU YA JUU KWA WANAFUNZI WOTE WENYE SIFA IWE NI LAZIMA KUPATA MIKOPO HIYO NA WAKATI HUO HUO REJESHA KIWANGO CHA RIBA YA MAREJESHO YA MKOPO KAMA ILIVYOKUWA AWALI ASILIMIA 8
KWA HAYO TU TAYARI MADAM UMESHAJINYOOSHEA NJIA FOR 2025 PRESIDENCY KAZI NI LAINI SANA NI SAWA NA KUMSUKUMA MLEVI