Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

MAMA SSH
Hii ni VITA YA KIUCHUMI, JPM hukumuelewa sawa sawa naona licha ya kukufundisha mengi.

Kenya ni ndugu zetu ila ni wajanja wajanja sana kwenye mambo yao kutuzidi sisi

Umepewa mwaliko na umemwagika kweli kweli na umepewa surprise ya hatari na wewe bila hiyana ukamwaga wino kwa bashasha ukidhani unatufurahisha sisi wazalendo wa taifa hili.
Ulipewa mwaliko tu sio kusaini mikataba isiyokuwa na taarifa kwa watz tena ugenini.
Mwl wako JPM angekuwepo angekuita wewe kilaza na Kenyatta Kaulamba.
Sidhani kama umepata ata wasaa wa kutosha kupitia kilichoandikwa humo, na nani atagharamia hilo bomba kama sio mchina na mashart yake ya hovyo hovyo,
Sisi ndio wamiliki wa hio gas, kitu gani kimekupagawisha mpaka ukamwaga wino tena kwa mbwembwe hivyo?
Walipaswa waje kwetu kutuomba sisi sio wewe kwenda kujipendekeza kutafta eti kurudisha mahusiano, hapo wakenya washapata uchochoro wa kuimaliza nchi yetu kiuchumi kwa janja janja zao.
Kama si hivyo, basi una ajenda yako binafsi na huu mradi, kwnn iwe haraka hivyo?
Hapana Bi mkubwa umechemka,
Ziara yako ni mwaliko na ilisomeka ni mwaliko sio mkataba, ulienda Uganda na ilijulikana unaenda kufanya nini.
MIKATABA YA UGENINI HAIJALIACHA TAIFA HILI SALAMA.
 
Du! Umeturudisha kule kule kudai Mikataba ya kitaifa ipitishwe kwanza Bungeni kama ilivyo kwa Sheria. Hata huo wa bomba la mafuta WaTz hatujui yaliyomo. KUKURUPUKA, au!![emoji848]
 
Mungu atujaarie pumzi za kutosha tuweze kuona mengi ya mbeleni.
Masuala ya kukaa jamii forum na kuitwa mataga hayana tija kabisa.

Let's give them a space until " Guilty Counsciousness " starts hunting them, no matter ni hoja ngapi umezitoa juu ya uongozi m'baya (anaosema mtu) wa Mzee Magufuli. They can't escape from that shit. [emoji3]
 
Mods why mnamuacha huyu tahira anajaza servers zenu kwa kuandika upuuzi kila baada ya muda mfupi? Why msimfanye kama mlivyomfanya Malaria Sugu kipindi kile? Sioni tofauti ya Malaria Sugu na huyu chizi. Chuki zake kwa Samia akazitolee kwake huko.
 
Mungu atujaarie pumzi za kutosha tuweze kuona mengi ya mbeleni.
Masuala ya kukaa jamii forum na kuitwa mataga hayana tija kabisa.

Let's give them a space until " Guilty Counsciousness " starts hunting them, no matter ni hoja ngapi umezitoa juu ya uongozi m'baya (anaosema mtu) wa Mzee Magufuli. They can't escape from that shit. [emoji3]
Atujaarie ndio nini?
 
MAMA SSH
Hii ni VITA YA KIUCHUMI, JPM hukumuelewa sawa sawa naona licha ya kukufundisha mengi.

Kenya ni ndugu zetu ila ni wajanja wajanja sana kwenye mambo yao kutuzidi sisi

Umepewa mwaliko na umemwagika kweli kweli na umepewa surprise ya hatari na wewe bila hiyana ukamwaga wino kwa bashasha ukidhani unatufurahisha sisi wazalendo wa taifa hili.
Ulipewa mwaliko tu sio kusaini mikataba isiyokuwa na taarifa kwa watz tena ugenini.
Mwl wako JPM angekuwepo angekuita wewe kilaza na Kenyatta Kaulamba.
Sidhani kama umepata ata wasaa wa kutosha kupitia kilichoandikwa humo, na nani atagharamia hilo bomba kama sio mchina na mashart yake ya hovyo hovyo,
Sisi ndio wamiliki wa hio gas, kitu gani kimekupagawisha mpaka ukamwaga wino tena kwa mbwembwe hivyo?
Walipaswa waje kwetu kutuomba sisi sio wewe kwenda kujipendekeza kutafta eti kurudisha mahusiano, hapo wakenya washapata uchochoro wa kuimaliza nchi yetu kiuchumi kwa janja janja zao.
Kama si hivyo, basi una ajenda yako binafsi na huu mradi, kwnn iwe haraka hivyo?
Hapana Bi mkubwa umechemka,
Ziara yako ni mwaliko na ilisomeka ni mwaliko sio mkataba, ulienda Uganda na ilijulikana unaenda kufanya nini.
MIKATABA YA UGENINI HAIJALIACHA TAIFA HILI SALAMA.
Zamani sana chuo kikuu cha Dar es Salaam ulikuwa huwezi kubwakizwa kuwa TA na baadaye kuwa Lecturer kama hukupasua kwenye somo wanalotaka ufundisha lakini nasikia siku hizi wanaokotoza yeyote mradi akisema ana masters au Ph.D. Sifa ya kufundihsa UDSM miaka ile ilikuwa ni digrii yako ya kwanza, ambayo ndiyo ilikuwa inaonyesha umeivaje.
 
MAMA SSH
Hii ni VITA YA KIUCHUMI, JPM hukumuelewa sawa sawa naona licha ya kukufundisha mengi.

Kenya ni ndugu zetu ila ni wajanja wajanja sana kwenye mambo yao kutuzidi sisi

Umepewa mwaliko na umemwagika kweli kweli na umepewa surprise ya hatari na wewe bila hiyana ukamwaga wino kwa bashasha ukidhani unatufurahisha sisi wazalendo wa taifa hili.
Ulipewa mwaliko tu sio kusaini mikataba isiyokuwa na taarifa kwa watz tena ugenini.
Mwl wako JPM angekuwepo angekuita wewe kilaza na Kenyatta Kaulamba.
Sidhani kama umepata ata wasaa wa kutosha kupitia kilichoandikwa humo, na nani atagharamia hilo bomba kama sio mchina na mashart yake ya hovyo hovyo,
Sisi ndio wamiliki wa hio gas, kitu gani kimekupagawisha mpaka ukamwaga wino tena kwa mbwembwe hivyo?
Walipaswa waje kwetu kutuomba sisi sio wewe kwenda kujipendekeza kutafta eti kurudisha mahusiano, hapo wakenya washapata uchochoro wa kuimaliza nchi yetu kiuchumi kwa janja janja zao.
Kama si hivyo, basi una ajenda yako binafsi na huu mradi, kwnn iwe haraka hivyo?
Hapana Bi mkubwa umechemka,
Ziara yako ni mwaliko na ilisomeka ni mwaliko sio mkataba, ulienda Uganda na ilijulikana unaenda kufanya nini.
MIKATABA YA UGENINI HAIJALIACHA TAIFA HILI SALAMA.
Mwalimu wa Science hawezi kufundisha Music, jamaa kwenye Siasa na uchumi hana lakumfundisha mama. She is on the right track tufunge mikanda, tatizo litakuwa kwenye speed na matuta tu lakini tutafika salama.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Mods why mnamuacha huyu tahira anajaza servers zenu kwa kuandika upuuzi kila baada ya muda mfupi? Why msimfanye kama mlivyomfanya Malaria Sugu kipindi kile? Sioni tofauti ya Malaria Sugu na huyu chizi. Chuki zake kwa Samia akazitolee kwake huko.
dikteta kanywe maji
 
Mungu atujaarie pumzi za kutosha tuweze kuona mengi ya mbeleni.
Masuala ya kukaa jamii forum na kuitwa mataga hayana tija kabisa.

Let's give them a space until " Guilty Counsciousness " starts hunting them, no matter ni hoja ngapi umezitoa juu ya uongozi m'baya (anaosema mtu) wa Mzee Magufuli. They can't escape from that shit. [emoji3]
Sahihi
 
Mods why mnamuacha huyu tahira anajaza servers zenu kwa kuandika upuuzi kila baada ya muda mfupi? Why msimfanye kama mlivyomfanya Malaria Sugu kipindi kile? Sioni tofauti ya Malaria Sugu na huyu chizi. Chuki zake kwa Samia akazitolee kwake huko.
Uhuru wa kujieleza ni haki ya msingi ya kibinadamu bwashee. Una uhuru wa kuacha kusoma na kuchangia post zake, au ukiona maji yamezidi unga basi jinyonge.
 
Atajua mwenyewe

Tangu atoe mtazamo wake juu ya 'watoto kupisha watu wazima kwenye dadala' sikupata tabu kutambua kuwa huyu mama ni Mkoloni

Kisha zawadi kwa mzee isivyo na kichwa wala miguu na kulazimisha iwe habari ya mjini maisha yasimame waonekane wao tu wanapolipana fadhila.!

Nina hakika kaagiza yeye labda ajikoshe kwa kugeuza watu kafara
 
Eti sababu ya kumpa Mwinyi gari jipya ni kwa kuwa anahangaika kupanda magari mengine, je Mama Maria Nyerere yeye anapanda vipi, si na yeye ana haki ya kuhudumiwa hadi anafariki pia, tuna Rais hasara na mbaguzi, kila kitu saivi ni Zenji tu...
 
Back
Top Bottom