Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Sabaya alikuwepo hai kimkakati kila mmoja anajua , na alichokifanya ni Kwa manufaa ya CCM na ilimlazimu kufanya hvyo ili kufanikisha alichokifanya , kama mama anatafuta namna ya kumweka sehemu nyingine Sawa Ila kama amemfukuza Mazima basi amechochora , lakn ndo hvyo sometyme unajitoa kudhalilika alaf badae unatupiwa vilago
Kama alitumwa basi kazi aliyotumwa imeisha akachunge au kulima zote ni kazi halali.
 
Sifa zilimuangusha Joyce Banda wa Malawi akitafuta kuwafurahisha wamalawi kuliko mtangulizi wake na wafadhiri hadi akaruhusu ushoga. Yuko wapi leo hii? NGO ni tofauti na nchi. Nchi haihitaji umaarufu binafsi na kusifiwa na wafadhiri, ni heshima kwa wananchi wake.

Rais wetu amemsimamisha mkuu wa wilaya kwa uchunguzi. Uchunguzi upi? Amua tu kwamba nimekuondoa kwa taarifa ulizonazo. Huyu ni afisa aliyefanyiwa vetting, ambaye kila anachokifanya kila siku kinaripotiwa na DSO ngazi za juu hadi taifa? Kumsimamisha ni uzembe na kutafuta kujulikana maana kila kitu kiko mezani kwa rais.

Rais wetu alihitaji muda wa kuifahamu nchi na makabila yake na uhusiano wetu na hata kujua yapi yalifanywa na serikali zilizopita zote, kabla hajaanza hizo papala. Uchagani kuna dhalau ya makabila yote yanayowazunguka na kwa mkuu huyu wa Wilaya, anayetokea mkoa jirani kwao wanaona hastahili kuwatawala. Ni hivyo kote! Iwe ni Shehe, Padri, Askofu, Diwani, mbunge, nk. Hawataki kabila jingine. Ooh! Njoni na matusi sasa lakini huo ndo ukweli.
Mwendazake alisema anatamanai malaika washuke kuifungia mitandao yote. Wewe unadhani ni kwanini alisema hivyo?

Hii ni awamu ya sita. Wenye akili wanajuwa mama ana akili. Ni msikivu. Nafurahia sana yeye kusoma maoni yetu mitandaoni.

Taratibu tu mtanyooka.
 
Kwa akili kama hizi za mtoa post ! Hadi naona aibu kuwa mtanzania! Masikini ya Mungu hajui hata nini maana ya upinzani!
 
Kuna viongozi, mawaziri, wakuu wa mikoa wazuri walitumbuliwa, lakini hawakuwa na makelele kwenye mitandao Kama huyu jamaa, yaani mkuu wa wilaya anafanya VURUGU utafikiri ni Wazuri mkuu katumbuliwa!!! Hii ni dharau kwa dola
 
Hata Mimi nilikuwa team Mzee chuma damudamu lkn kwa Sabaya kwl wenzangu waliponisuta mbona huyu mtesaji watu dhulumati mzee wako anamlinda Nilikosa cha kujibu nikabaki na aibu maana kwl Sabaya alijiona ndiye rais wa kaskazini na kumdharau hata Anna Mghrw mbele ya halaiki....he deserve he deserve kabisa kuvuliwa hicho cheo ...Hongera mama.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna tofauti kubwa kati ya nyapala na rais... Huyu ni rais MSIKIVU sio nyapala mtaka KIKI za kindezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nini na wewe mla ugali kwa picha ya samaki. Nyamaza huna lolote. Ngoja mama aje awanyooshe mnafikiri ndo kawapenda sana. Upinzani wenyewe wa kudandia humu JF. Ujuaji wa kifala kabisa. Mleta mada ametoa maoni yake ili ikiwezekana mama awe anachukua maamuzi yanayotokana na taarifa kutoka vyanzo vyake ndani ya MFUMO. Sio NYUMBU wa JF ambao kutwa kucha wanatunga uongo humu.
 
Sifa zilimuangusha Joyce Banda wa Malawi akitafuta kuwafurahisha wamalawi kuliko mtangulizi wake na wafadhiri hadi akaruhusu ushoga. Yuko wapi leo hii? NGO ni tofauti na nchi. Nchi haihitaji umaarufu binafsi na kusifiwa na wafadhiri, ni heshima kwa wananchi wake.

Rais wetu amemsimamisha mkuu wa wilaya kwa uchunguzi. Uchunguzi upi? Amua tu kwamba nimekuondoa kwa taarifa ulizonazo. Huyu ni afisa aliyefanyiwa vetting, ambaye kila anachokifanya kila siku kinaripotiwa na DSO ngazi za juu hadi taifa? Kumsimamisha ni uzembe na kutafuta kujulikana maana kila kitu kiko mezani kwa rais.

Rais wetu alihitaji muda wa kuifahamu nchi na makabila yake na uhusiano wetu na hata kujua yapi yalifanywa na serikali zilizopita zote, kabla hajaanza hizo papala. Uchagani kuna dhalau ya makabila yote yanayowazunguka na kwa mkuu huyu wa Wilaya, anayetokea mkoa jirani kwao wanaona hastahili kuwatawala. Ni hivyo kote! Iwe ni Shehe, Padri, Askofu, Diwani, mbunge, nk. Hawataki kabila jingine. Ooh! Njoni na matusi sasa lakini huo ndo ukweli.
Mtanyooka tu! Ameanza na huyo jambazi mwenzenu Sabaya. Baada ya hapo, ataendelea kuwatafuta mmoja baada ya mwingine, mpaka Mataga wote muishe.

Mmetusumbua sana! washenzi wakubwa nyinyi.
 
Sabaya alikuwepo hai kimkakati kila mmoja anajua , na alichokifanya ni Kwa manufaa ya CCM na ilimlazimu kufanya hvyo ili kufanikisha alichokifanya , kama mama anatafuta namna ya kumweka sehemu nyingine Sawa Ila kama amemfukuza Mazima basi amechochora , lakn ndo hvyo sometyme unajitoa kudhalilika alaf badae unatupiwa vilago
Kwa hiyo kwenu huo niutamaduni,tena usiona kificho,kumbe mpo wengi bado wa kuwafungashia virago.
 
Sifa zilimuangusha Joyce Banda wa Malawi akitafuta kuwafurahisha wamalawi kuliko mtangulizi wake na wafadhiri hadi akaruhusu ushoga. Yuko wapi leo hii? NGO ni tofauti na nchi. Nchi haihitaji umaarufu binafsi na kusifiwa na wafadhiri, ni heshima kwa wananchi wake.

Rais wetu amemsimamisha mkuu wa wilaya kwa uchunguzi. Uchunguzi upi? Amua tu kwamba nimekuondoa kwa taarifa ulizonazo. Huyu ni afisa aliyefanyiwa vetting, ambaye kila anachokifanya kila siku kinaripotiwa na DSO ngazi za juu hadi taifa? Kumsimamisha ni uzembe na kutafuta kujulikana maana kila kitu kiko mezani kwa rais.

Rais wetu alihitaji muda wa kuifahamu nchi na makabila yake na uhusiano wetu na hata kujua yapi yalifanywa na serikali zilizopita zote, kabla hajaanza hizo papala. Uchagani kuna dhalau ya makabila yote yanayowazunguka na kwa mkuu huyu wa Wilaya, anayetokea mkoa jirani kwao wanaona hastahili kuwatawala. Ni hivyo kote! Iwe ni Shehe, Padri, Askofu, Diwani, mbunge, nk. Hawataki kabila jingine. Ooh! Njoni na matusi sasa lakini huo ndo ukweli.
Mimi nilichoelewa ni hao wafadhiri tu basi, hayo ma-dua mengine ya kuku, baki nayo, mwewe anawala vichwa mmoja mmoja, karangaishuga kabisa nyie wafiwa!
 
Sifa zilimuangusha Joyce Banda wa Malawi akitafuta kuwafurahisha wamalawi kuliko mtangulizi wake na wafadhiri hadi akaruhusu ushoga. Yuko wapi leo hii? NGO ni tofauti na nchi. Nchi haihitaji umaarufu binafsi na kusifiwa na wafadhiri, ni heshima kwa wananchi wake.

Rais wetu amemsimamisha mkuu wa wilaya kwa uchunguzi. Uchunguzi upi? Amua tu kwamba nimekuondoa kwa taarifa ulizonazo. Huyu ni afisa aliyefanyiwa vetting, ambaye kila anachokifanya kila siku kinaripotiwa na DSO ngazi za juu hadi taifa? Kumsimamisha ni uzembe na kutafuta kujulikana maana kila kitu kiko mezani kwa rais.

Rais wetu alihitaji muda wa kuifahamu nchi na makabila yake na uhusiano wetu na hata kujua yapi yalifanywa na serikali zilizopita zote, kabla hajaanza hizo papala. Uchagani kuna dhalau ya makabila yote yanayowazunguka na kwa mkuu huyu wa Wilaya, anayetokea mkoa jirani kwao wanaona hastahili kuwatawala. Ni hivyo kote! Iwe ni Shehe, Padri, Askofu, Diwani, mbunge, nk. Hawataki kabila jingine. Ooh! Njoni na matusi sasa lakini huo ndo ukweli.
Na wewe mbona unatumia mtandao kwa nini usiende ikulu ukamwambie uso kwa uso!! Kuandika mtandaoni wakati unamshauri asifuate taarifa za mitandaoni huoni kuwa unajichanganya!!
 
Sifa zilimuangusha Joyce Banda wa Malawi akitafuta kuwafurahisha wamalawi kuliko mtangulizi wake na wafadhiri hadi akaruhusu ushoga. Yuko wapi leo hii? NGO ni tofauti na nchi. Nchi haihitaji umaarufu binafsi na kusifiwa na wafadhiri, ni heshima kwa wananchi wake.

Rais wetu amemsimamisha mkuu wa wilaya kwa uchunguzi. Uchunguzi upi? Amua tu kwamba nimekuondoa kwa taarifa ulizonazo. Huyu ni afisa aliyefanyiwa vetting, ambaye kila anachokifanya kila siku kinaripotiwa na DSO ngazi za juu hadi taifa? Kumsimamisha ni uzembe na kutafuta kujulikana maana kila kitu kiko mezani kwa rais.

Rais wetu alihitaji muda wa kuifahamu nchi na makabila yake na uhusiano wetu na hata kujua yapi yalifanywa na serikali zilizopita zote, kabla hajaanza hizo papala. Uchagani kuna dhalau ya makabila yote yanayowazunguka na kwa mkuu huyu wa Wilaya, anayetokea mkoa jirani kwao wanaona hastahili kuwatawala. Ni hivyo kote! Iwe ni Shehe, Padri, A endeshea na wapuuzi km nyie mnaofaidika wa havhr na wengi wakiumia,Rais ni wa wote sio webu nyie wabinafsi ns washenzi waachane ahsante make kea kuyokuea mbaguzi na mtenfa haki Mwenyezi Mungu akusimamieskofuani, mbunge, nk. Hawataki kabila jingine. Ooh! Njoni na matusi sasa lakini huo ndo ukweli.
Rais hawezi kuongozwa na nyie wachache:huyu ni Rais wa watz sio wenu nyie majambazi na wabinafsi mliojiona hii nchi ni yenu na mna miliki,Mungu atamtetea sana mama,nyie mliozea kunyonga na kujiona ndio kila kitu mbadilishe akili wapuuz nyie,Mungu mbariki mama
 
Sifa zilimuangusha Joyce Banda wa Malawi akitafuta kuwafurahisha wamalawi kuliko mtangulizi wake na wafadhiri hadi akaruhusu ushoga. Yuko wapi leo hii? NGO ni tofauti na nchi. Nchi haihitaji umaarufu binafsi na kusifiwa na wafadhiri, ni heshima kwa wananchi wake.

Rais wetu amemsimamisha mkuu wa wilaya kwa uchunguzi. Uchunguzi upi? Amua tu kwamba nimekuondoa kwa taarifa ulizonazo. Huyu ni afisa aliyefanyiwa vetting, ambaye kila anachokifanya kila siku kinaripotiwa na DSO ngazi za juu hadi taifa? Kumsimamisha ni uzembe na kutafuta kujulikana maana kila kitu kiko mezani kwa rais.

Rais wetu alihitaji muda wa kuifahamu nchi na makabila yake na uhusiano wetu na hata kujua yapi yalifanywa na serikali zilizopita zote, kabla hajaanza hizo papala. Uchagani kuna dhalau ya makabila yote yanayowazunguka na kwa mkuu huyu wa Wilaya, anayetokea mkoa jirani kwao wanaona hastahili kuwatawala. Ni hivyo kote! Iwe ni Shehe, Padri, Askofu, Diwani, mbunge, nk. Hawataki kabila jingine. Ooh! Njoni na matusi sasa lakini huo ndo ukweli.
Usione gere!!! Zamu yetu na wewe ulitesa enzi zile. Mwache mama atusikilize. Yaani tunademka naye vilivyo!!!!
 
Sifa zilimuangusha Joyce Banda wa Malawi akitafuta kuwafurahisha wamalawi kuliko mtangulizi wake na wafadhiri hadi akaruhusu ushoga. Yuko wapi leo hii? NGO ni tofauti na nchi. Nchi haihitaji umaarufu binafsi na kusifiwa na wafadhiri, ni heshima kwa wananchi wake.

Rais wetu amemsimamisha mkuu wa wilaya kwa uchunguzi. Uchunguzi upi? Amua tu kwamba nimekuondoa kwa taarifa ulizonazo. Huyu ni afisa aliyefanyiwa vetting, ambaye kila anachokifanya kila siku kinaripotiwa na DSO ngazi za juu hadi taifa? Kumsimamisha ni uzembe na kutafuta kujulikana maana kila kitu kiko mezani kwa rais.

Rais wetu alihitaji muda wa kuifahamu nchi na makabila yake na uhusiano wetu na hata kujua yapi yalifanywa na serikali zilizopita zote, kabla hajaanza hizo papala. Uchagani kuna dhalau ya makabila yote yanayowazunguka na kwa mkuu huyu wa Wilaya, anayetokea mkoa jirani kwao wanaona hastahili kuwatawala. Ni hivyo kote! Iwe ni Shehe, Padri, Askofu, Diwani, mbunge, nk. Hawataki kabila jingine. Ooh! Njoni na matusi sasa lakini huo ndo ukweli.
Sawa Ole Sabaya.

Tueleze kama Ana Mgwira ni mchaga.
Tueleze kama wilaya zote za Kilimanjaro wanaongoza wachaga kwa upande wa DC, Ded, wakuu wa idara n.k
Tuelekeze huo ukabila uko vipi yani.
 
Sifa zilimuangusha Joyce Banda wa Malawi akitafuta kuwafurahisha wamalawi kuliko mtangulizi wake na wafadhiri hadi akaruhusu ushoga. Yuko wapi leo hii? NGO ni tofauti na nchi. Nchi haihitaji umaarufu binafsi na kusifiwa na wafadhiri, ni heshima kwa wananchi wake.

Rais wetu amemsimamisha mkuu wa wilaya kwa uchunguzi. Uchunguzi upi? Amua tu kwamba nimekuondoa kwa taarifa ulizonazo. Huyu ni afisa aliyefanyiwa vetting, ambaye kila anachokifanya kila siku kinaripotiwa na DSO ngazi za juu hadi taifa? Kumsimamisha ni uzembe na kutafuta kujulikana maana kila kitu kiko mezani kwa rais.

Rais wetu alihitaji muda wa kuifahamu nchi na makabila yake na uhusiano wetu na hata kujua yapi yalifanywa na serikali zilizopita zote, kabla hajaanza hizo papala. Uchagani kuna dhalau ya makabila yote yanayowazunguka na kwa mkuu huyu wa Wilaya, anayetokea mkoa jirani kwao wanaona hastahili kuwatawala. Ni hivyo kote! Iwe ni Shehe, Padri, Askofu, Diwani, mbunge, nk. Hawataki kabila jingine. Ooh! Njoni na matusi sasa lakini huo ndo ukweli.
Ndugu yangu naona unaumia sana style ya kuongoza anayoitumia Rais wetu mama Samia. Unaona mama anaongoza nchi kwa sifa na unatolea mfano wa aliyekuwa rais wa Malawi Joyce Banda kuwa sifa za kutaka kuwafurahisha wananchi na wafadhili ndizo zilimwangusha.

Nimeshindwa kuelewa mantiki yako ni ipi kwenye hoja yako. Sasa wewe unapokuwa kiongozi wa wananchi halafu unataka wananchi wako wasifurahie uongozi wako sijui sasa unakuwa unaongoza ili kumfurahisha nani?

Au unataka aongoze kwa kulifurahisha kundi dogo la watule wake.

Pia unalaani kitendo cha rais kumsimamisha Sabaya na kuagiza uchunguzi dhidi yake ufanyike, unasema mama ana taarifa zote kuhusu mwenendo wa Sabaya kupitia kwa DSO hivyo ilitosha kwa kumfukuza tu kazi kama hakuridhika na mwenendo wake kuliko kumchunguza. Kwanza sijaelewa unachokiogopa kuhusiana na huo uchunguzi huo. Au unahisi uchunguzi utaonyesha mambo mengi mazito kumhusu Sabaya ambayo bado hayajulikani kwasasa.

Kumbuka mama sio kama Mpita njia aliyekuwa anatumbua bila kufuata haki, mama anataka mtu apewe haki yake. Maana uchunguzi unaweza kuleta matokeo yanayoweza kumsafisha Sabaya vile vile sasa unacholaumu hapo ni kitu gani?

Na kama atapatikana na hatia pia ni vizuri afunguliwe kesi ili haki itendeke.

Acha mambo ya ajabu ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom