Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
Majambazi wa kuteka mabasi na kuvua abiria nguo na kuiba fedha
Watendaji wanamfanyia hiyana Mama yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majambazi wa kuteka mabasi na kuvua abiria nguo na kuiba fedha
Weak kivipi ?? Fafanua Mkuu
Rais anayehujumiwa na watendaji wake ni WEAK.
Ukiwa Rais ukashindwa kuwathibiti wanaokuhujumu wewe hufai. Hufai kabisa ni wa kutupwa jalalani. Hopeless. Msimdhalilishe Mama plz.Sijui nikujibuje, ila suala la kuhujumiwa sio jambo ambalo watu wakiamua kukuhujumu sio kazi rahis kuwadhibiti
kwetu Lindi umeme siku hizi umetulia sana kukatika ni dadra sana so acha uongoHabari za wakati huu ndugu zangu.!
Kuna mambo kama siyaelewi kusema ukweli. Toka kifo cha Mwenda zake kuna mambo yanaendelea sielewi yaani sijui ni nini hii ??
Baada ya kifo cha mzee haya mambo yameanza kujitokeza
1. Umeme kukatika katika ovyo
2. Matukio ya kiharifu yameanza kujitokeza.
Swali langu dogo tu, Kwani ni kipi kimebadilika kiasi kwamba haya matukio yaanze kujirudia rudia tena. Ndio mkuu wetu Mama yetu amebadilisha baadhi ya viongozi lakini sehemu kubwa ya uongozi wa Meko upo kazini hadi leo alipobadilisha Mama SSH ni sehemu ndogo mnoo. Ndio naona kama kuna mchezo mchafu unafanywa na watu ili kuonyesha mama hafanyi kazi ili hali mama anafanya kazi hata zaidi ya vile watu walitegemea.
Ukiwa Rais ukashindwa kuwathibiti wanaokuhujumu wewe hufai. Hufai kabisa ni wa kutupwa jalalani. Hopeless. Msimdhalilishe Mama plz.
Waulize wahusika.Haya basi tuambie, kwanini haya yanatokea tu baada ya Melo ameondoka ..!!?
Mama mwangalie Sana majaliwaHaya basi tuambie, kwanini haya yanatokea tu baada ya Melo ameondoka ..!!?
Aiseee uandishi mbovu kabisa. Anyway ujumbe umefika. UBINAFSI wa WatanzaniaMama, asilimia kubwa ya chakula cha mmea utafutwa na mizizi. Mti ukiwa na mizizi dhaifu hukosa ustawi na kupelekea kutoa zao dhaifu.
Vivyo ivyo kwa uwongozi wa nchi; kama ubora wa viongozi wa chini ni mdogo, utendaji wa kiongozi wa juu (Rais) na usitawi wake huwa dhaifu.
Bila shaka tunatambuwa hali ilivyokuwa maofisini mwetu, teuzi za wakuu wa idara/Taasisi/vitengo ulivyofanyika. Sehemu kubwa haukuzingatia weledi wa mteuliwa katika kutimiza majukumu yake kisheria. Hata hapakuangaliwa historia ya mahusiano ya mteuliwa na watumishi kazini. Ni Kamavile UTUMISHI walikuwa wanapelekewa majina ya watu na kulazimishwa kuwaandikia barua ya uteuzi.
Kuna wakuu wa Idara wao ndo kila kitu (mhasibu, mkaguzi wa ndani, afisa mipango, Mtawala n.k).
Kuna wale wanaofanya Kitengo/Taasisi/Idara kama mali ya familia/kabila/mkoa/Kanda. Hawa ni wengi mnoo na pasipochukuliwa hatua mahususi, hali itakuwa sio hali.
Hali hiyo inapelekea kutengwa baadhi ya wafanyakazi na kusingiziwa mengi, matumizi mabaya ya fedha zinazo wanufaisha wachache sehemu husika na kutokuwa na ustawi sehemu ya kazi.
Pia, hali hii ya kubebana inapelekea watu kufanya kazi nje ya taaluma zao na kuharibu kazi
Mama, angalia haya katika Mawizara yetu kama TAMISEMI,NISHATI, AFYA nk, Taasisi zetu kama TANESCO REA, TANROADS n.k.
Naomba Mwenyezimungu akulinde na akuongoze.
Mama mwangalie Sana majaliwa
Waulize wahusika.
kwetu Lindi umeme siku hizi umetulia sana kukatika ni dadra sana so acha uongo
REA Tanroads amejaxa watoto wa dada kibao.....aliwemo Jesca..Mama, asilimia kubwa ya chakula cha mmea utafutwa na mizizi. Mti ukiwa na mizizi dhaifu hukosa ustawi na kupelekea kutoa zao dhaifu.
Vivyo ivyo kwa uwongozi wa nchi; kama ubora wa viongozi wa chini ni mdogo, utendaji wa kiongozi wa juu (Rais) na usitawi wake huwa dhaifu.
Bila shaka tunatambuwa hali ilivyokuwa maofisini mwetu, teuzi za wakuu wa idara/Taasisi/vitengo ulivyofanyika. Sehemu kubwa haukuzingatia weledi wa mteuliwa katika kutimiza majukumu yake kisheria. Hata hapakuangaliwa historia ya mahusiano ya mteuliwa na watumishi kazini. Ni Kamavile UTUMISHI walikuwa wanapelekewa majina ya watu na kulazimishwa kuwaandikia barua ya uteuzi.
Kuna wakuu wa Idara wao ndo kila kitu (mhasibu, mkaguzi wa ndani, afisa mipango, Mtawala n.k).
Kuna wale wanaofanya Kitengo/Taasisi/Idara kama mali ya familia/kabila/mkoa/Kanda. Hawa ni wengi mnoo na pasipochukuliwa hatua mahususi, hali itakuwa sio hali.
Hali hiyo inapelekea kutengwa baadhi ya wafanyakazi na kusingiziwa mengi, matumizi mabaya ya fedha zinazo wanufaisha wachache sehemu husika na kutokuwa na ustawi sehemu ya kazi.
Pia, hali hii ya kubebana inapelekea watu kufanya kazi nje ya taaluma zao na kuharibu kazi
Mama, angalia haya katika Mawizara yetu kama TAMISEMI,NISHATI, AFYA nk, Taasisi zetu kama TANESCO REA, TANROADS n.k.
Naomba Mwenyezimungu akulinde na akuongoze.
Samia siyo mama yenu. Achani kujipendekeza na kuabudia watu. Mbona hamkuwaita marais wanaume baba zenu?Mama, asilimia kubwa ya chakula cha mmea utafutwa na mizizi. Mti ukiwa na mizizi dhaifu hukosa ustawi na kupelekea kutoa zao dhaifu.
Vivyo ivyo kwa uwongozi wa nchi; kama ubora wa viongozi wa chini ni mdogo, utendaji wa kiongozi wa juu (Rais) na usitawi wake huwa dhaifu.
Bila shaka tunatambuwa hali ilivyokuwa maofisini mwetu, teuzi za wakuu wa idara/Taasisi/vitengo ulivyofanyika. Sehemu kubwa haukuzingatia weledi wa mteuliwa katika kutimiza majukumu yake kisheria. Hata hapakuangaliwa historia ya mahusiano ya mteuliwa na watumishi kazini. Ni Kamavile UTUMISHI walikuwa wanapelekewa majina ya watu na kulazimishwa kuwaandikia barua ya uteuzi.
Kuna wakuu wa Idara wao ndo kila kitu (mhasibu, mkaguzi wa ndani, afisa mipango, Mtawala n.k).
Kuna wale wanaofanya Kitengo/Taasisi/Idara kama mali ya familia/kabila/mkoa/Kanda. Hawa ni wengi mnoo na pasipochukuliwa hatua mahususi, hali itakuwa sio hali.
Hali hiyo inapelekea kutengwa baadhi ya wafanyakazi na kusingiziwa mengi, matumizi mabaya ya fedha zinazo wanufaisha wachache sehemu husika na kutokuwa na ustawi sehemu ya kazi.
Pia, hali hii ya kubebana inapelekea watu kufanya kazi nje ya taaluma zao na kuharibu kazi
Mama, angalia haya katika Mawizara yetu kama TAMISEMI,NISHATI, AFYA nk, Taasisi zetu kama TANESCO REA, TANROADS n.k.
Naomba Mwenyezimungu akulinde na akuongoze.
Mama, angalia haya katika Mawizara yetu kama TAMISEMI,NISHATI, AFYA nk, Taasisi zetu kama TANESCO REA, TANROADS n.k.Mama, asilimia kubwa ya chakula cha mmea utafutwa na mizizi. Mti ukiwa na mizizi dhaifu hukosa ustawi na kupelekea kutoa zao dhaifu.
Vivyo ivyo kwa uwongozi wa nchi; kama ubora wa viongozi wa chini ni mdogo, utendaji wa kiongozi wa juu (Rais) na usitawi wake huwa dhaifu.
Bila shaka tunatambuwa hali ilivyokuwa maofisini mwetu, teuzi za wakuu wa idara/Taasisi/vitengo ulivyofanyika. Sehemu kubwa haukuzingatia weledi wa mteuliwa katika kutimiza majukumu yake kisheria. Hata hapakuangaliwa historia ya mahusiano ya mteuliwa na watumishi kazini. Ni Kamavile UTUMISHI walikuwa wanapelekewa majina ya watu na kulazimishwa kuwaandikia barua ya uteuzi.
Kuna wakuu wa Idara wao ndo kila kitu (mhasibu, mkaguzi wa ndani, afisa mipango, Mtawala n.k).
Kuna wale wanaofanya Kitengo/Taasisi/Idara kama mali ya familia/kabila/mkoa/Kanda. Hawa ni wengi mnoo na pasipochukuliwa hatua mahususi, hali itakuwa sio hali.
Hali hiyo inapelekea kutengwa baadhi ya wafanyakazi na kusingiziwa mengi, matumizi mabaya ya fedha zinazo wanufaisha wachache sehemu husika na kutokuwa na ustawi sehemu ya kazi.
Pia, hali hii ya kubebana inapelekea watu kufanya kazi nje ya taaluma zao na kuharibu kazi
Mama, angalia haya katika Mawizara yetu kama TAMISEMI,NISHATI, AFYA nk, Taasisi zetu kama TANESCO REA, TANROADS n.k.
Naomba Mwenyezimungu akulinde na akuongoze.
Wtf?mama yako huyo?Ni rais atumike kama rais msilete mambo yenu ya kudekadeka eti Mama,mama pumbavu sana.Mama, asilimia kubwa ya chakula cha mmea utafutwa na mizizi. Mti ukiwa na mizizi dhaifu hukosa ustawi na kupelekea kutoa zao dhaifu.
Vivyo ivyo kwa uwongozi wa nchi; kama ubora wa viongozi wa chini ni mdogo, utendaji wa kiongozi wa juu (Rais) na usitawi wake huwa dhaifu.
Bila shaka tunatambuwa hali ilivyokuwa maofisini mwetu, teuzi za wakuu wa idara/Taasisi/vitengo ulivyofanyika. Sehemu kubwa haukuzingatia weledi wa mteuliwa katika kutimiza majukumu yake kisheria. Hata hapakuangaliwa historia ya mahusiano ya mteuliwa na watumishi kazini. Ni Kamavile UTUMISHI walikuwa wanapelekewa majina ya watu na kulazimishwa kuwaandikia barua ya uteuzi.
Kuna wakuu wa Idara wao ndo kila kitu (mhasibu, mkaguzi wa ndani, afisa mipango, Mtawala n.k).
Kuna wale wanaofanya Kitengo/Taasisi/Idara kama mali ya familia/kabila/mkoa/Kanda. Hawa ni wengi mnoo na pasipochukuliwa hatua mahususi, hali itakuwa sio hali.
Hali hiyo inapelekea kutengwa baadhi ya wafanyakazi na kusingiziwa mengi, matumizi mabaya ya fedha zinazo wanufaisha wachache sehemu husika na kutokuwa na ustawi sehemu ya kazi.
Pia, hali hii ya kubebana inapelekea watu kufanya kazi nje ya taaluma zao na kuharibu kazi
Mama, angalia haya katika Mawizara yetu kama TAMISEMI,NISHATI, AFYA nk, Taasisi zetu kama TANESCO REA, TANROADS n.k.
Naomba Mwenyezimungu akulinde na akuongoze.
Tamisemi ndo wizara inayoongozwa na madudu ya kutisha, rushwa,uzembe, ubadhilifu nk. Kwa mfano wakuu wa idara na vitengo mawilayani na manispaa hawana weledi na uchapakazi kwa viwango.Idara nyingi hazina watendaji kazi wenye uwelewa katika maswala ya TEHAMA kwa mfano, hivo kupelekea kutuma au kuchakatwa taarifa kwa kuchelewa Sana.Serikali ipitie sifa stahiki za watendaji wetu hasa tamisemi Ni kikwazoMama, angalia haya katika Mawizara yetu kama TAMISEMI,NISHATI, AFYA nk, Taasisi zetu kama TANESCO REA, TANROADS n.k.
Naomba Mwenyezimungu akulinde na akuongoze.[emoji817][emoji736]
Sent using Jamii Forums mobile app