Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Fanyeni 25 kabisa.Kwahiyo awamu ya tano ikimalizika tunampa mama mingine 10 ya awamu yake! 😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanyeni 25 kabisa.Kwahiyo awamu ya tano ikimalizika tunampa mama mingine 10 ya awamu yake! 😊
Sasa inakuwaje waajiriwa wa serikali ya awamu hiyo hiyo waiseme serikali wanayoitumikia wao?Hii ni awamu ya tano mhula wa pili.
Utapeli ulianzia hapo, alipojitangazia awamu yake, ambayo haipo.Hii ni awamu ya tano mhula wa pili.
Huna hata aibu kusema uongo hapa?Ndugu yangu mimi ni mshabiki mkuu wa Kikwete kwa sababu moja tuu alipeleka shule za secondari watoto wa msikini kupita watawala wote unaowajua africa.
Huo ni mkakati tu wa kumpa uhuru wa kufanya mambo yake.Utapeli ulianzia hapo, alipojitangazia awamu yake, ambayo haipo.
Kwa akili za huyu mama, usishangae 2025-2030 akaiita awamu ya sabaHii ni awamu ya tano muhula wa pili
Siwezi hata kuita hivi maana anachora namba zake za tofauti sana!Hii ni awamu ya tano muhula wa pili
Siwezi hata kuita hivi maana anachora namba zake za tofauti sana!