Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Kumekuwa na mkakati mkumbwa wa kuaminisha watu kuhusu mwenendo wa siasa zetu, na kwa bahati mbaya sana chama kilichopo madarakani, chama cha mapinduzi kumekuwa kikipambana chenyewe dhidi ya kivuli chake, yaani kila awamu inaisema awamu iliyopita. Ilitokea kwa Kikwete alivyoachiwa na Mkapa, Magufuli alivyoachiwa na Kikwete, na sasa Rais Samia alivyoachiwa na Magufuli.

Katika kusemeana wanatofautiana logic na relevance, tukiangalia awamu hizi mbili za mwisho, viongozi waandamizi ni wale wale, na viongozi wakuu wanatofautiana namna walivyoingia madarakani.

Uchaguzi 2015 Magufuli aliingia kwa mbinde sababu Imani ya watu katika chama na Serikali ilipungua mno, hivyo ilibidi afanye juhudi kubwa kuturudisha imani hiyo, na Sera ya chama hapa kazi tuu, ilitumika kubadili mindset ya wananchi na watumishi, kusafisha uozo ulikuwepo mf. Mikataba mibovu kama madini na kwingineko, upatikanaji wa huduma za kijamii ulipanda na uwajibikaji ulikuwepo,

Ni mwaka mmoja Sasa umepita toka awamu ya sita, iingie madarakani, kwa viongozi wale wale ajenda kubwa inayonekana sio tena maendeleo wala, namna ya kukuza uchumi wa nchi sambamba na vipato sasa ni vijembe visivyo na logic wala relevance, kukemea mienendo ya mtangulizi wako Hayati Magufuli ni kujidhalilisha tu, haswa wakati huu dunia inapitia kipindi kigumu sana, inakuonesha uko hapo kutetea uonevu, ufisadi na kujinufaisha wewe pamoja na familia yako.

Ni vyema ukachunga kinywa chako na ukachagua maneno ya kusema utazidi kupoteza mvuto, kumuita binadamu Simba wa Yuda ni kumdhihaki sio yeye tuu, hata dhehebu fulani litahisi hivyo

Katika maadhimisho ya mwaka mmoja awamu ya sita iingie, hamna jambo hata, la kujivunia zaidi tozo kandamizi, na diplomasia.

Mimi rai yangu naomba mh Rais, usitafute sifa kwa jirani wakati watoto wako wanakufa na njnn.
Wala hajakosea lolote,angalia nuktadha aliokuwa anauongelea
 
Capture.PNG
 
Hana sifa ya urais, unampwaya
Wakati mwingine tuseme ukweli. Asiyekuwa na sifa ni mwendazake kwani yeye ndiye aliyemteua. Asingemteua leo asingekuwa rais. Yeye ndiye wa kulaumiwa. Yule uliyenwona anazo sifa zote ndo kafanya haya. Sasa tafakari alikuwa na sifa au la?
 
Tumsifu Yesu Kristo!

Kwenu wote lkn hasa waumini wenzangu. Nimepitia mitandao na kuona lawama nyingi kutaka kutuhamisha kwenye agenda ya kitaifa ya ujenzi wa umoja wa kitaifa anao ujenga Mama Samia. Na wanaotaka kutuhamisha wanataka kutuaminisha kuwa kumwita mtu Simba wa Yuda ni kufuru katika imani ya Ukristo. Mimi nasema hapana. Kwanini?

1. Pamoja na jina hilo kutumika katika muktadha wa kumtaja Yesu, lkn pia jina hilo limetumika katika kuonesha kitu imara, chenye Msimamo na nguvu.

2. Simba wa Yuda Sio utambulisho rasmi kumaanisha Mungu Yesu katika utatu mtakatifu. Tunapotosha, tunaongopa

3. Muktadha wa matumizi haukulenga kutenda hilo linalozemwa, na Ni kama mtamkaji amekutana nalo mitaaani. Simba wa Yuda Mwenye masharubu ni Simba gani huyo katika bibilia. Ambae akiguswa sharubu anakurarua?

4. Kufru za Ukristo sio katika kumdharau Yesu, wala Kumtaja vibaya. Alitundikwa msalabani. Hakuna aibu kubwa kama ile kwaajili ya ukombozi wetu.

5. Kwa Sasa hakuna wa kumvua nguo Yesu mara mbili maake alishavuliwa, wakristo wa kweli hatuko katika hayo mambo madogo madogo yasiyo na maana.

Mwisho, tuendelee kukosoa na kumuunga mkono Mama Samia katika Roho na Kweli
Anaweza kusamehewa kwani hajui.
 
Tumsifu Yesu Kristo!

Kwenu wote lkn hasa waumini wenzangu. Nimepitia mitandao na kuona lawama nyingi kutaka kutuhamisha kwenye agenda ya kitaifa ya ujenzi wa umoja wa kitaifa anao ujenga Mama Samia. Na wanaotaka kutuhamisha wanataka kutuaminisha kuwa kumwita mtu Simba wa Yuda ni kufuru katika imani ya Ukristo. Mimi nasema hapana. Kwanini?

1. Pamoja na jina hilo kutumika katika muktadha wa kumtaja Yesu, lkn pia jina hilo limetumika katika kuonesha kitu imara, chenye Msimamo na nguvu.

2. Simba wa Yuda Sio utambulisho rasmi kumaanisha Mungu Yesu katika utatu mtakatifu. Tunapotosha, tunaongopa

3. Muktadha wa matumizi haukulenga kutenda hilo linalozemwa, na Ni kama mtamkaji amekutana nalo mitaaani. Simba wa Yuda Mwenye masharubu ni Simba gani huyo katika bibilia. Ambae akiguswa sharubu anakurarua?

4. Kufru za Ukristo sio katika kumdharau Yesu, wala Kumtaja vibaya. Alitundikwa msalabani. Hakuna aibu kubwa kama ile kwaajili ya ukombozi wetu.

5. Kwa Sasa hakuna wa kumvua nguo Yesu mara mbili maake alishavuliwa, wakristo wa kweli hatuko katika hayo mambo madogo madogo yasiyo na maana.

Mwisho, tuendelee kukosoa na kumuunga mkono Mama Samia katika Roho na Kweli
Watu wana nia ya kuingiza udini baada ya kufilisika hoja.
Magufuli kuna sehemu alikosea na lazima asemwe tu.
Wakati Rais Mwinyi akifungua milango ya utandawazi, watu walimsema sana.

Kauli aliyoitoa nakumbuka hata leo, kelele za kufungua mlango hazimsumbui kupata usingizi.
 
Ki eneo Rais Samia anatokea Ukanda wa waswahili na huenda naye ni mswahili pia ni sawa japokuwa ni lazima sasa aachane na huo uswahili wake kwa sababu ya dhamana aliyonayo kwa Taifa.

Kauli zake za kiswahili hasa ahutubiapo hadhira fulani hazipendezi na hazifurahishi kabisa!
Mimi binafsi naona fahari kuitwa mswahili wa pwani. Katika nchi yetu ustaarabu ulianzia kwenye ukanda wa pwani. Kuanzia usafi wa mwili, mapishi, adabu za kuongea n.k.
 
Wanajitahidi kumtetea Mwendazake kanakwamba hatumjui.
Hoja hapa ni uongozi mbovu aliokuwa nao unarekebishwa, wa nufaika na ubaya wa mwendazake wanataka kututoa kwenye uelewa wa hoja iliyo zungumzwa na mama.
Kufitinisha ndo walilobakiwanalo!

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Binadamu mna Nongwa, Mama chapa kazi hauwezi pendwa na kila mtu

Kauli hiyo ndogo na hajaongea kwa ubaya umeshakuja kufungua uzi 😿😿😿
 
Ni mwaka mmoja Sasa umepita toka awamu ya sita, iingie madarakani, kwa viongozi wale wale ajenda kubwa inayonekana sio tena maendeleo wala, namna ya kukuza uchumi wa nchi sambamba na vipato sasa ni vijembe visivyo na logic wala relevance, kukemea mienendo ya mtangulizi wako Hayati Magufuli ni kujidhalilisha tu, haswa wakati huu dunia inapitia kipindi kigumu sana, inakuonesha uko hapo kutetea uonevu, ufisadi na kujinufaisha wewe pamoja n
Mkuu, mbona unazungukazunguka kote huko?

Muulize 'Maza Mizinguo' serikali anayoiongoza ilitoka wapi; alichaguliwa na nani hadi kufika awamu ya sita na kuanza kuisuta awamu iliyotangulia.
Ukiuliza swali hilo, na kama anayo akili nzuri atakuelewa tu uliyoandika hapa kwa kirefu sana kiasi cha kumzungusha kichwa.
 
Nani huyo alizima? Weka clip
Itafute ipo hapa ni contractor wa kampuni inaitwa scol


Haya hiyo hapo


 
Ndani ya CCM membres wanalia ndani ya mioyo yao..... ila wakumbuke huu ndiyo mfumo unaoutaka.

JWTZ yenyewe inafuata katiba tu...kama hamtakubaliana wenyewe hilo haliwahusu.

Kuna madogo kama wawili hivi walikula umeme sababu ya kutaka kuchezea katiba baada ya kifo cha mwendazake.

Hili ni fundisho kaamba katiba I alikuwa na JWTZ. wengi hawajui hili.
 
Watu wana nia ya kuingiza udini baada ya kufilisika hoja.
Magufuli kuna sehemu alikosea na lazima asemwe tu.
Wakati Rais Mwinyi akifungua milango ya utandawazi, watu walimsema sana.

Kauli aliyoitoa nakumbuka hata leo, kelele za kufungua mlango hazimsumbui kupata usingizi.
Tunaomkosoa Magufuli wewe hukuwa mmoja wao. Tumemkosoa tangu siku ya kwanza mpaka anakufa. Hata alipoitwa Mungu na Palamagamba tulimwambia na wewe ulikaa kimya.

Alipoambiwa aombwe msamaha na Mungu na Mwanri tulimwambia wala hatukumficha na wewe ulikaa kimya. Simba wa Yuda kwenye Ukristo anajulikana ni nani na kwa nini aliitwa Simba wa Yuda.

Kama ni kumfananisha na uimara kwa nini asifananishwe na SAW?
 
Uhuru usio na mipaka ni tatizo saana, wewe ni nani wa kumwambia Rais hivyo?
Alichoongea Mama Samia Suluhu Hassan ni ukweli mtupu, watu hapo nyuma walikuwa na nidhamu ya uoga, kila kitu walifanya kwa kumuogopa mtu na sio kwa Utash wao.
Nidhamu ya uoga, kwa maana kwamba yeye mwenyewe alikuwa na nidhamu ya uoga kiasi kwamba pamoja na kuwa tofauti kabisa na bosi wake, kama inavyoonyesha sasa, hakuwa na ubavu wa kusema chochote?
Sasa tuamini kwamba hakuna "nidhamu ya uoga" kwa hao wanaomfanyia kazi?

Yeye mwenyewe inaonyesha wazi anaendeleza yale yale ya kuwa na nidhamu potofu kwa waTanzania, kwa sababu haelewi anachokifanya kwa maslahi ya wananchi.

Kinachomwendesha sasa hivi ni "atabaki vipi madarakani"; hiyo siyo nidhamu ya uoga?
 
Back
Top Bottom