Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Wewe Kama nani wa kumtisha Rais wetu? Wewe Kama nani Hadi umpangie Rais wetu? Hiyo mikutano unayoisena kwenda kuzungumza Ni Nani kairuhusu Kama siyo maamuzi ya Rais wetu? Nani angefanya mikutano ya hadhara Kama Rais wetu asingeruhusu? Ni Nani wa kumtisha Rais wetu Hadi awaogope? Yaani mikutano aruhusu yeye halafu awaogope? Kwa hoja gani mlizo nazo? Kwa Sera na ajenda zipi?

Watanzania siyo wajinga Kama unavyofikiria wewe ukiwa unaota ndoto? Unafikiri watanzania hawaoni miradi ya maendeleo ikifanyika na kukamilika kwa ufanisi? Unafikiri hawaoni Elimu ikitolewa bure bila bughudha kwa wananchi kuwasumbua mamichango? Unafikiri hawaoni mabillioni ya Ruzuku katika mbolea? Unafikiri hawaoni miradi ya reli na bwawa inavyokwenda kwa Kasi? Unafikiri hawaoni namna mairadi Kama daraja la wami yalivyo amsha Tabasamu la watanzania?

Kwa hiyo hiyo ndio hoja dhaifu mnayokwenda nayo kwenye Hiyo mikutano? Hakika mmepotea njia kabla ya kuanza hata safari, Hamna Cha kuwaeleza watanzania kitakachoeleweka nakuungwa mkono maana watanzania wameridhishwa na kazi iliyotukuka ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia
Utagongewa mkeo ww. Endeleza ujinga tu
 
Magulification of Afrika and Beyond is Ongoing.

Muendelezo wa Ujasiri na Kiburi cha Hayati Magufuli Unaendelea Afrika na Duniani.

Hata Wa Denmark wameunga treni....

Tutazikwa Chato, na hata mtuuite gang yeyote ile tupo vile vile, weusi, werevu na tuna Kiburi.

Wananchi wana haki yao, Kikatiba.
Raisi anazo haki zake Kikatiba.

Tusichagazane


Weka tusi kwa Uangalifu....
 
Wewe jitambue,sio kila mtu anaehoji basi ni mwanasiasa.

Wengine tunachukia wizi wenu tu.
Kila binadamu ni mwizi tunatofatiana level tu. Usipokuwa mwizi lazima ufe haraka sana. This is the rule of life. Ndo mana hata ukiwa unakula peke yako lazima ujiibie kwanza
 
Ni mradi gani rasmi tutakaokukumbuka nao!
Hela ulizokwisha kopa,hazilingani na tunachokiona site.

Ulianza na Ndugai ukamla kichwa!
Kosa amehoji kuhusu Mikopo!

Akaja mbunge wa kisesa Luhaga Mpina mkamla kicha U-Nec CCM!
Kisa amehoji kuhusu mikopo!

Leo umesema wazi kwamba atakayehoji kuhusu Mikopo ajiandae kudeal na Mwenye Serikali yake.

Gerald Hando amepoteza kazi EFM- Radio.
Kisa Mmiliki wa Radio ametishika na kauli yako uliyoitoa live kwa wanasiasa ukiwa Ikulu.

Kama unakopa mikopo nje,kumbuka pia ulipewa pia mabilioni ya Uviko!

Wananchi wanalipa kodi zote stahiki.

Tozo kwenye Miamala yetu inaendelea.

Ebu tuambie tofauti na miradi ya ujenzi wa mashule,ambao pia ni muendezo wa serikali ya JPM.

Ni kipi ambacho ndio mradi mkubwa uliobuniwa na serikali yako wewe kama wewe!

Maana!
SGR,JNHP,Daraja la Tanzanite,
Daraja la Busisi Mwanza.
Madawati nchi nzima,
Meli ziwa Nyasa,
Meli ziwa Victoria,
Masoko makubwa Mwanza,
Morogoro na Stendi za mabasi kubwa zote,Daresalaam mwanza na kwingineko.

Ujenzi wa Ikulu ya Dodoma.

Ni mawazo na miradi iliyoanzishwa na JPM.ingawa sasa mnasema watu wazuri hawafi.

Maisha mtaani yanazidi kuwa Magumu.

Bei hadi ya bidhaa za humuhumu mfano kama nyama ya ngombe ziko juu.

Wewe kila uchao ni.... safari,Makongamano,warsha na mikutano kila idara ya serikali ikiendelea ili tu waweze kula urefu wa kamba zao.

Hilo bwawa la Nyerere tuliambiwa mkandarasi alikwisha lipwa awamu ya tano.

Na hadi sasa yeye mkandarasi ndie alipaswa kutulipa fidia ya 1.5 trilioni kwa kuchelewesha kazi.

Lakini hatumsikii Makamba wala Maharage wakiliongelea hilo.

Pamoja na kuhojiwa hadi huko bungeni.

Usitutishe maana walipaji ni sisi wala sio wewe.

Wakati tukilipa,wewe utakuwa ukifaidi kiinua mgongo chako cha 80% ya mshahara wa rais atakayekuwa madarakani kwa wakati huo.

Vinginevyo tutahisi kwamba kuna namna hiyo mikopo haitumiki sahihi.

Kuliko kutisha wahoji mikopo,wewe ungedhibiti ufisadi uliotamalaki huko kwenye miradi inayoendelea.

Dhibiti wizi kwenye Force Account s za ujenzi wa miradi.

Sio kujifanya msafi kumbe na wewe unao upande wako.

Kwa sababu umeruhusu mikutano,subiri uanze kupewa za uso.

Machawa wamejaa humu sababu wewe unaleta na wao wanaiba!

Kwa nini wasikusifie.......
MIRADI ILIYOACHWA NI MIKUBWA NA ILIACHWA IKIWA CHINI YA 20%,HUKU MWENDA ZAKE AKIWA AMEKWISHA KOPA MPAKA KUFIKISHA 71 TR, TUKUMBUKE KUIMALIZIA MIRADI NI LAZIMA, ITAKAPO KWISHA HII MIRADI HATUTAITAJI KUKOPA KWA STAHILI HII, BALI BIDII ITAWEKWA KATIKA KULIPA MADENI.
 
Wameshafungwa mdomo
Screenshot_20230104-090735.jpg
 
Ni mradi gani rasmi tutakaokukumbuka nao!
Hela ulizokwisha kopa,hazilingani na tunachokiona site.

Ulianza na Ndugai ukamla kichwa!
Kosa amehoji kuhusu Mikopo!

Akaja mbunge wa kisesa Luhaga Mpina mkamla kicha U-Nec CCM!
Kisa amehoji kuhusu mikopo!

Leo umesema wazi kwamba atakayehoji kuhusu Mikopo ajiandae kudeal na Mwenye Serikali yake.

Gerald Hando amepoteza kazi EFM- Radio.
Kisa Mmiliki wa Radio ametishika na kauli yako uliyoitoa live kwa wanasiasa ukiwa Ikulu.

Kama unakopa mikopo nje,kumbuka pia ulipewa pia mabilioni ya Uviko!

Wananchi wanalipa kodi zote stahiki.

Tozo kwenye Miamala yetu inaendelea.

Ebu tuambie tofauti na miradi ya ujenzi wa mashule,ambao pia ni muendezo wa serikali ya JPM.

Ni kipi ambacho ndio mradi mkubwa uliobuniwa na serikali yako wewe kama wewe!

Maana!
SGR,JNHP,Daraja la Tanzanite,
Daraja la Busisi Mwanza.
Madawati nchi nzima,
Meli ziwa Nyasa,
Meli ziwa Victoria,
Masoko makubwa Mwanza,
Morogoro na Stendi za mabasi kubwa zote,Daresalaam mwanza na kwingineko.

Ujenzi wa Ikulu ya Dodoma.

Ni mawazo na miradi iliyoanzishwa na JPM.ingawa sasa mnasema watu wazuri hawafi.

Maisha mtaani yanazidi kuwa Magumu.

Bei hadi ya bidhaa za humuhumu mfano kama nyama ya ngombe ziko juu.

Wewe kila uchao ni.... safari,Makongamano,warsha na mikutano kila idara ya serikali ikiendelea ili tu waweze kula urefu wa kamba zao.

Hilo bwawa la Nyerere tuliambiwa mkandarasi alikwisha lipwa awamu ya tano.

Na hadi sasa yeye mkandarasi ndie alipaswa kutulipa fidia ya 1.5 trilioni kwa kuchelewesha kazi.

Lakini hatumsikii Makamba wala Maharage wakiliongelea hilo.

Pamoja na kuhojiwa hadi huko bungeni.

Usitutishe maana walipaji ni sisi wala sio wewe.

Wakati tukilipa,wewe utakuwa ukifaidi kiinua mgongo chako cha 80% ya mshahara wa rais atakayekuwa madarakani kwa wakati huo.

Vinginevyo tutahisi kwamba kuna namna hiyo mikopo haitumiki sahihi.

Kuliko kutisha wahoji mikopo,wewe ungedhibiti ufisadi uliotamalaki huko kwenye miradi inayoendelea.

Dhibiti wizi kwenye Force Account s za ujenzi wa miradi.

Sio kujifanya msafi kumbe na wewe unao upande wako.

Kwa sababu umeruhusu mikutano,subiri uanze kupewa za uso.

Machawa wamejaa humu sababu wewe unaleta na wao wanaiba!

Kwa nini wasikusifie.......
Hoja nzuri ila umetumia maneno makali sana kumtisha rais wetu
 
Ni mradi gani rasmi tutakaokukumbuka nao!
Hela ulizokwisha kopa,hazilingani na tunachokiona site.

Ulianza na Ndugai ukamla kichwa!
Kosa amehoji kuhusu Mikopo!

Akaja mbunge wa kisesa Luhaga Mpina mkamla kicha U-Nec CCM!
Kisa amehoji kuhusu mikopo!

Leo umesema wazi kwamba atakayehoji kuhusu Mikopo ajiandae kudeal na Mwenye Serikali yake.

Gerald Hando amepoteza kazi EFM- Radio.
Kisa Mmiliki wa Radio ametishika na kauli yako uliyoitoa live kwa wanasiasa ukiwa Ikulu.

Kama unakopa mikopo nje,kumbuka pia ulipewa pia mabilioni ya Uviko!

Wananchi wanalipa kodi zote stahiki.

Tozo kwenye Miamala yetu inaendelea.

Ebu tuambie tofauti na miradi ya ujenzi wa mashule,ambao pia ni muendezo wa serikali ya JPM.

Ni kipi ambacho ndio mradi mkubwa uliobuniwa na serikali yako wewe kama wewe!

Maana!
SGR,JNHP,Daraja la Tanzanite,
Daraja la Busisi Mwanza.
Madawati nchi nzima,
Meli ziwa Nyasa,
Meli ziwa Victoria,
Masoko makubwa Mwanza,
Morogoro na Stendi za mabasi kubwa zote,Daresalaam mwanza na kwingineko.

Ujenzi wa Ikulu ya Dodoma.

Ni mawazo na miradi iliyoanzishwa na JPM.ingawa sasa mnasema watu wazuri hawafi.

Maisha mtaani yanazidi kuwa Magumu.

Bei hadi ya bidhaa za humuhumu mfano kama nyama ya ngombe ziko juu.

Wewe kila uchao ni.... safari,Makongamano,warsha na mikutano kila idara ya serikali ikiendelea ili tu waweze kula urefu wa kamba zao.

Hilo bwawa la Nyerere tuliambiwa mkandarasi alikwisha lipwa awamu ya tano.

Na hadi sasa yeye mkandarasi ndie alipaswa kutulipa fidia ya 1.5 trilioni kwa kuchelewesha kazi.

Lakini hatumsikii Makamba wala Maharage wakiliongelea hilo.

Pamoja na kuhojiwa hadi huko bungeni.

Usitutishe maana walipaji ni sisi wala sio wewe.

Wakati tukilipa,wewe utakuwa ukifaidi kiinua mgongo chako cha 80% ya mshahara wa rais atakayekuwa madarakani kwa wakati huo.

Vinginevyo tutahisi kwamba kuna namna hiyo mikopo haitumiki sahihi.

Kuliko kutisha wahoji mikopo,wewe ungedhibiti ufisadi uliotamalaki huko kwenye miradi inayoendelea.

Dhibiti wizi kwenye Force Account s za ujenzi wa miradi.

Sio kujifanya msafi kumbe na wewe unao upande wako.

Kwa sababu umeruhusu mikutano,subiri uanze kupewa za uso.

Machawa wamejaa humu sababu wewe unaleta na wao wanaiba!

Kwa nini wasikusifie.......
Jana anasema anaomba akosolewe
Leo anasema atakayemkosoa atadeal naye.

Tujiandae kuokota maiti kwenye viroba. Ni suala la muda tu
 
Miradi mingi unayoitaja kuanzishwa na Magufuli ilianzishwa wakati wa Kikwete. Magufuli alikutana na wakati wa kuiyekeleza tu. Hii ni pamoja na Daraja la Tanzanite, Reli ya SGR (Magufuli aliongeza SHR kuwa ya Umeme), Flyovers zote za Dar, Barabara za Kisasa katika Miji yetu na mingineyo.

Mradi rasmi aliounzisha ni wa Bwawa la Umeme Rufiji, Chato Airport na mingineyo. Kama alivyokuwa Magufuli kutekeleza miradi iliyoanzisha na Kikwete, Mama Samiha pia inabidi aendeleze miradi iliyotokea kwa Magufuli kabla hajaanzisha miradi mingine mikubwa.

Kazi ni kupokezana vijiti.
 
Ni mradi gani rasmi tutakaokukumbuka nao!
Hela ulizokwisha kopa,hazilingani na tunachokiona site...
Kiwango Cha uhimilivu wa mikopo kinachokubalika na Wachumi ni 70%. Sisi bado tuko kwenye 40%. Maana yake ni kwamba hatukopi kiasi Cha kutosha. Ili tuendekee kwa haraka zaidi tunatakiwa tukope zaidi.
 
Mi bado nasoma, nikitoboa maisha nahama nchi
Huyu bibi anatupeleka pabaya sana. Kwanza mswahili balaa, ukimwambia ukweli anakujibu kwa michambo na maneno ya dharau kabisa.

Ipo siku Tanzania itapitia hali ngumu kiuchumi, halafu tutabaki kukumbuka tu chanzo cha hayo yote ni nani na tutajuta kumwachia huyu bibi aongoze nchi.

Binafsi naona na elimu yangu hii ya sasa, ukinipa urais nitaongoza nchi vizuri kuliko huyu bibi
Subirini tu.

Mipango yangu ikitiki naenda zangu Marekani. Hayo matatizo ya kizazi kijacho yawakute wajukuu zenu tu.... sio wangu[emoji38][emoji38]
 
Mkuu

Kuna legacy NYINGI tu zinazungumzwa we unaonaje!!?

-Ndie Rais PEKEE aliejenga Madarasa mengi Sana kea mkupuo tangu Uhuru!

-Ndio Rais PEKEE aliegawa vyeti vya kuzaliwa kwa Watoto chini ya miaka mitano vijijini tangu Uhuru!!

-Ndio Rais PEKEE ambaye amefanya maridhiano na kuahidi marekebisho ya Katiba iliyopo kwa kuita vyama vya UPINZANI vyote,sidhani kama kuna Rais amewahi kuviita vyama vya UPINZANI na kuwaahidi marekebisho ya Katiba iliyopo hapa nchini!!

Mkuu hizo Ndio legacy AMBAYO chama chetu kitazipigia chapuo na nyingine zitakuja Baadae we waonaje MKUU!!!?
 
Huu ni ushauri wangu kwa Rais wa JMT mh Samia

Tujikite kwenye kuimarisha Uchumi kwanza na kuwatengenezea vijana mifumo sahihi ya Kujiajiri

Hali ya Uchumi wa dunia siyo ya kufurahisha

Katiba mpya itakuja lakini kwanza tujikite kwenye hili la Uchumi

Mungu wa mbinguni akubariki sana Rais Samia
 
Back
Top Bottom