Alishasema kuwa wenye mawazo tofauti tuwashirikishe......uko sahihiNingewachukua Hawa wanaopiga kelele akina lisu, Shivji, mwabukusi, mdude, slaa nk nikawaambia twendeni Dubai tukaandike mkataba upya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alishasema kuwa wenye mawazo tofauti tuwashirikishe......uko sahihiNingewachukua Hawa wanaopiga kelele akina lisu, Shivji, mwabukusi, mdude, slaa nk nikawaambia twendeni Dubai tukaandike mkataba upya
Stupid, rekebisha hakuna anayepiga kelele, FUTA neno hiloNingewachukua Hawa wanaopiga kelele akina lisu, Shivji, mwabukusi, mdude, slaa nk nikawaambia twendeni Dubai tukaandike mkataba upya
Kelele. Nimeshafuta tayariStupid, rekebisha hakuna anayepiga kelele, FUTA neno hilo
Yaani bila hata hao ulio wataja, na hata kama ungekua hivyo hivyo ulivyo andaliwa! Kulikua na shida kuufikisha TLS waumulike kisha wafanye mapendekezo na kumshauri raisi kama alio nao karibu wameshindwaNingewachukua Hawa wanaopiga kelele akina lisu, Shivji, mwabukusi, mdude, slaa nk nikawaambia twendeni Dubai tukaandike mkataba upya
Unajuaje kama hawakushirikishwa. Umeshaona member yeyote wa TLS anasema hawajashirikishwa?Yaani bila hata hao ulio wataja, na hata kama ungekua hivyo hivyo ulivyo andaliwa! Kulikua na shida kuufikisha TLS waumulike kisha wafanye mapendekezo na kumshauri raisi kama alio nao karibu wameshindwa
Yasinge kua hivi yalivyo! Walio kaa kimya sio wao tuUnajuaje kama hawakushirikishwa. Umeshaona member yeyote wa TLS anasema hawajashirikishwa?
Kuongoza illiterates ni shida sana. Leo hii lisu akisema kwamba ameamua kukubaliana na mkataba kwa sababu hapo awali hakuuosoma vizuri, watakubaliana na yeye tena. Hivyo mara nyingi ni kazi kumuongoza mbumbu na watanzania wengi ni mbumbumbu inawezekana hawajui hata wanachobishia ilimradi lisu kasema au Shivji kasema au TEC imesema.Yasinge kua hivi yalivyo! Walio kaa kimya sio wao tu
Watanzania wa hivyo hawapo siku hizi, na hili ndilo mlilotegemea, ila mmekuja kushangaa mpo uchi kwenye kadamnasiKuongoza illiterates ni shida sana. Leo hii lisu akisema kwamba ameamua kukubaliana na mkataba kwa sababu hapo awali hakuuosoma vizuri, watakubaliana na yeye tena. Hivyo mara nyingi ni kazi kumuongoza mbumbu na watanzania wengi ni mbumbumbu inawezekana hawajui hata wanachobishia ilimradi lisu kasema au Shivji kasema au TEC imesema.