Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Hii Mchana Napita zangu Mahali Nakuta Vijana Wa Chuo X wakisema Sisi Samia Tutamlipa 2025 Maana Hili Boom limekuja Kukidhi Haja zetu Kwa Kiasi Kikubwa. Kutoka 8500 Hadi 10000 kwa siku.

#Samia kawafikia Wanazuoni.
#2025 ni yeye Tena
#2025 Tutakulipa Dkt. Samia Suluhu Hassan
 
Hii Mchana Napita zangu Mahali Nakuta Vijana Wa Chuo X wakisema Sisi Samia Tutamlipa 2025 Maana Hili Boom limekuja Kukidhi Haja zetu Kwa Kiasi Kikubwa. Kutoka 8500 Hadi 10000 kwa siku.

#Samia kawafikia Wanazuoni.
#2025 ni yeye Tena
#2025 Tutakulipa Dkt. Samia Suluhu Hassan
Chuo X wanasomea vitu gani huko?😀😀
 
Leta Ushaidi Ni Msitu Gani mkuu

Leta Ushaidi Ni Msitu Gani mkuu
Screenshot_20231124-161250.png
 
Mkuu unahukumu watu sana sana
Kumwambia mtu umuhimu wa lishe na matokeo ya kutopata lishe bora ni kuhukumu?

Mbona serikali inachukua pesa kwa wahisani ili kutokomeza matatizo ya lishe kama utapiamlo ila hiyo hamsemi ni kuwahukumu wenye lishe duni?
 
Hongera mheshimiwa Rais Mama Samia kazi unayoifanya ni kubwa, japo wengine hawaoni ukubwa wa kazi unayoifanya lakini Mimi nakupa zangu pongezi.
Nguvu kubwa uliyoiweka kwenye sekta mbalimbali za kimaendeleo kama vile elimu,afya,miundombinu n.k hakika zitakumbukwa na vizazi vyote
Neno langu kwako kama Mtanzania mpenda maendeleo ni kwamba usichoke,usikate tamaa endelea kupambana japo wapo watu hawakuelewi lakini tupo vijana wengi tuko pamoja nawe
Kila la heri Mama Samia.
Rugambwa Gabriel,
Mpenda maendeleo.
 
WanaMbeya Tunakushukuru Kwa Kutuletea Mradi Mkubwa wenye Thamani zaidi Ya Billion 20 wa Barabara Ya Njia Nne na Baadae Tena Baada Ya Kukamilisha Mradi Huo Ukatuahidi Kuwepo Kwa Mradi Wa Barabara Za Magari Yaendayo Kasi Yaani Mwendo Kasi Tunasema Ahsante sana Dr. Samia Suluhu Hassan.

#2025 ni Yeye Tena Dr. Samia Suluhu Hassan.
#2025 Mimi na Kijiji Changu Tutakulipa
#2025 Tumepata Suluhuhisho na Samia.
 
Niende moja kwa moja kwenye hoja ya msingi tukirudi nyuma awamu ya nne NI kipindi CCM ilikuwa imegawanyika kwa kuonekana bila pesa huwezi kuwa mwenyekiti wa mtaa diwani wala mbunge, ni kipindi ambapo kashifa mbalimbali ziliiandama Serikali hiyo wizi uzembe kazini watumishi hewa n.k.

Iweje mtu huyu amshauri jinsi ya kuongoza serikali huku yeye alifeli pakubwa.

Navyoona Mimi huyo mzee angekaa akatulia akamuacha mama afanye kazi yake .
 
Sina tabia ya uchawa!

Namuona Rais Samia akifanikiwa na akifanikisha maswala mbalimbali kwa weledi mkubwa.namuona kama mwamba wa kutoa majibu (decision maker) kwa maswala magumu bila kigugumizi.

Mdogo mdogo anatatua kero za nchi kwa kutazama kiini cha kero.

Mungu ampe maisha marefu na uongozi mwema.

Anatoa suluhisho kwenye maswala magumu bila uoga wa kukosea.

Anaamua pale panapohitaji uamuzi ili tusonge mbele.

Hakika hatukukosea kumpa hatamu.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Sina tabia ya uchawa !
Namuona Rais Samia akifanikiwa na akifanikisha maswala mbalimbali kwa weledi mkubwa.namuona kama mwamba wa kutoa majibu (decision maker) kwa maswala magumu bila kigugumizi.
Mdogo mdogo anatatua kero za nchi kwa kutazama kiini cha kero.
Mungu ampe maisha marefu na uongozi mwema.
Anatoa suluhisho kwenye maswala magumu bila uoga wa kukosea.
Anaamua pale panapohitaji uamuzi ili tusonge mbele.
Hakika hatukukosea kumpa hatamu...

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Hilo la kuwa Huna uchawa inaweza kuwa una ukunguni, tangu enzi ile ya awamu uchawa ulipozaliwa,ila sikatai ila inawezekana yapo mabadiliko chanya uliyoshuhudia,ila mapungufu mengi mno yanazaliwa kwa kasi kubwa mno kuliko uwezo wetu wa kuyadhibiti.Usiache kuyasema hayo kama umeamua kuacha kuwa chawa😁
 
Tuendelee kumuombea japo yule mchungaji kamanda mwamakula hataki kumuombea!
 
Hilo la kuwa Huna uchawa inaweza kuwa una ukunguni,tangu enzi ile ya awamu uchawa ulipozaliwa,ila sikatai ila inawezekana yapo mabadiliko chanya uliyoshuhudia,ila mapungufu mengi mno yanazaliwa kwa kasi kubwa mno kuliko uwezo wetu wa kuyadhibiti.Usiache kuyasema hayo kama umeamua kuacha kuwa chawa😁
Hakuna awamu niliyowahi kuwa chawa au kunguni kama ulivyosema
 
Heshima kwenu wanajamvi.

Nisiwachoshe naenda moja kwa kwenye mada.

Zimekuwepo tabia za ajabu ajabu kama si kushangaza za kupenda kutoa sifa za kijinga hata zisizokuwa na maana.

Utasikia tunamshukuru Rais Samia katuletea fedha za kujenga matundu sita ya choo.

Rais ametoa Tsh bilion 15 za mbolea kwa wakulima wa Tumbaku Kaliua.

Rais ametoa Tsh milion 300 za upimaji wa makazi Kimanzichana.

Hizi fedha zote tunazoambiwa Rais ametoa ili tumshukuru, tumwabudu, tumnyenyekee, tumtukuze ni kodi zetu, mikopo ambayo tutakuja kuilipa na misaada. Fedha hizi hupitishwa na Bunge letu kibogoyo. Sasa tunapoambiwa Rais katoa ni ushamba wa kiwango cha kusikitisha.

Kwakuwa watanganyika tumeendekeza ushamba, ujinga na uzwazwa nimeona si vibaya nikamshukuru Rais wa JMT nimeamka salama buheri wa afya.
 
Back
Top Bottom