Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

Sijaona uzi unaozungumzia bei mpya ya mafuta.
 
Leo unasifia kesho unalalama duh aiseee
Mama anaupiga mwingi katiba ibadilishwe atawale hadi 2080[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we huoni uchumi unakua?
 
1687900646502-jpg.2674384_1.jpg

Mama anaupiga mwingi katiba ibadilishwe atawale hadi 2080[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we huoni uchumi unakua?
 
Yaani ni wiki iliyopita tu nimenunua petrol kwa lita moja 3200+ halafu kuna watu mnatoa mpaka pongezi!! Na wakati huyu Mama alipopewa tu madaraka ya kutawala, bei ya mafuta ilikuwa ni nusu ya hii ya sasa!!
 
Hi. Jfmembers, I would like to identify and appreciate the president of Tanzania as a Symbol of Tanzanians,since her efforts on upgrading Tanzanians life pillars socially, politically,and economically. Congratulations our president live long. I am from Haiti Island.
 
Hi. Jfmembers, I would like to identify and appreciate the president of Tanzania as a Symbol of Tanzanians,since her efforts on upgrading Tanzanians life pillars socially, politically,and economically. Congratulations our president live long. I am from Haiti Island.
Ukatibu waenezi wa chama umeanza kuutafuta kwa style hi au?
 
Mkuu hiyo heading yako ipo sawa sawa kweli?

Stool = Mkojo ama ulikuwa na maana nyingine?

Labda Madaktari watakuja kunisahihisha
 
Mama awe makini anagombanishwa na Walimu maana huu mwezi wa Tatu Fedha za Posho zao na Fedha na uendeshaji Shule hawajawekewa Hivi Vuta picha saivi wizara yoyote ingelikua haipokei mafungu toka s/kuu Hali ingekuaje? Hivyo nashauri uongozi wake uwe makini na Hili sana

Shukran
 
Hongera sana mama kwa kuapishwa kuwa Rais wa Sita wa Tanzania.

Sasa baada ya Tanzania kupata uzoefu wa kutosha kutokana na awamu zake za uongozi, na tukaona mazuri na mapungufu yake, na wewe pia kupata uzoefu wa kutosha chini ya Mzee Magufuli ninakuomba haya yafuatayo:

Kwanza, usiturudishe nyuma tena. Awamu ya tano imetuonyesha nini maana ya uhuru na kujitegemea. Tanzania haina mjomba wala shangazi huko nje. Maendeleo ya watanzania yataletwa na watanzania wenyewe. Jukumu lako ni kutupanga, kutuvuvia, kutushawishi na kutuonyesha kwa mfano wako wewe mwenyewe kwamba inawezekana, tunaweza, tusonge mbele.

Pili, Mzee Magufuli amefariki, lakini spirit yake inaishi. Ni askari aliyefia vitani akiwa mstari wa mbele, katika kupambania uhuru wetu na kujitegemea kwetu. Usije kufanya kosa kufanya mapungufu ya style ya Magufuli ya uongozi, iwe kigezo cha wewe kubadili uelekeo wa nchi yetu katika kujiamini na kuthubutu. Magufuli amefariki lakini kaacha alama na kaacha spirit. Wenye hiyo spirit wamo ndani ya chama tawala, vyama vya upinzani, serikalini, sekta binafsi, kwa wakulima na wafanyakazi. Hili ni jeshi kubwa sana, usicheze nalo.

Tatu, tutakusikiliza kwa umakini, tutakuangalia sana mienendo yako, tutatizama sana namna zako kama zinaturudisha nyuma au zinatupeleka mbele. Nisiseme sana katika hili, lakini itoshe tu kwamba spirit ya Mzee Magufuli inaishi. Tukiona tu dalili kwamba unakotupeleka siko hatutakuvumilia. Tushaonjeshwa uhuru hatutarudi tena kwenye utumwa. Tushaonjeshwa kujitegemea hatutarudi kwenye utegemezi tena.

Mwisho, Mungu akupe hekima ya kuongoza watu milioni 60 kwa akili na ujasiri. Ninaamini utatuvusha salama, karama ya uongozi unayo, itendee haki. Tegemea ushirikano wetu.

Pia soma: Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli
Mama anaupiga mwingi sana
 
Fanyeni haraka mnijibu kwani Waganda wananisumbua mno kuhusu Uongozi wa Rais Samia na Mimi sina jibu sasa Oky?
 
Back
Top Bottom