spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Z anto achana na ile jini jini ananipendaa mimi
kunayo ile nyingine
kunayo ile nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka kama upo kivulini kamwe huwez kuona maumivu wala kuhisi mateso wanayoyapata waliopo juaniPole kaka Rais awezi kukuletea ugali nyumbani kwako.
Natumia maneno makali kidgo ila cyo kwa nia mbaya ….. kwa kiufupi sana hizi ni kelele za chura au debe tupuWakuu
Mimi ni shabiki namba moja kabisa wa mama (kwa upande wangu) na nilianza kumkubali tangu aliposhika kiti rasmi
Mama alianza vizuri mnoo kiasi kwamba kila mtu kila mwananchi alimpenda na kumfurahia ila sasa hv kiukwel hali ni ngumu sana mama hatusikilizi tena...
Na ukifatilia speech zake hata haongelei kabsa madudu ya wasaidizi wake wala kuwakemeaNatumia maneno makali kidgo ila cyo kwa nia mbaya ….. kwa kiufupi sana hizi ni kelele za chura au debe tupu
Sema sisi vijana wa Tanzania ni wazembe sana a cha tunyooshwe akili zitukae sawaNa ukifatilia speech zake hata haongelei kabsa madudu ya wasaidizi wake wala kuwakemea
Daaah🤦♂️
Natamani sana mama afanye kitu kuhusu katiba mpyaUfisadi na tamaa ndo umeleta umaskini uliokithiri Africa. Hata nani aje kuwa rais kama ufisadi hupo hapo itazidi tu kuwa mbaya.
Imagine kiongoz badala ya kuja na suluhisho anakuja na maneno ya kejeli na mikwara af bi mkubwa hata haoni shida hapoSema sisi vijana wa tz ni wazembe sana a cha tunyooshwe akili zitukae sawa
Watanzania wanataman sana kuwa kama wakenya ila wanaogopa vipigo watakavyokutana navyo wanabaki kuwa keyboard warriors tuuHakuna ukweli kwenye shibe
KwaHAKUNA ukweli kwenye shibe
Wanajiamuliatu kwani nani atahoji? Ukihoji unaambiwa hamia BurundiMAKATO YA UMEME KWA MWEZI SASA NI 2,000Tsh NA SIYO 1500 🤨
Hata wakenya walianza kuhamasishana hivi hivi hatimaye kikaumana. Waache wazibe masikioWatanzania wanataman sana kuwa kama wakenya ila wanaogopa vipigo watakavyokutana navyo wanabaki kuwa keyboard warriors tuu