Mtihani wa kwanza kwa JPM ni kuondoamentality ya watanzania ya kutaka kufanyiwa kila kitu. Watanzania wana tabia ya kutaka vyabure.Watanzania wamezoea patronage andclientelistic system ya kuwa na mtu anayeweza kukufadhili kwa fedha na mambomengine.Ndiyo maana utaona wanasemambunge huyu ametufanyia hiki na kile ni lazima tumchague.Hata Magufuli (PhD) naye ameahidi vitu vingivya kuwafanyia watanzania wapenda dezo.Watanzania ni wavivu wa kufanya kazi.Kwa kuliona hili Magufuli (PhD) amekuja na msemo HAPA KAZI TU.Huu ni msemo wenye maana kubwa sana kwenyeuongozi wa JPM.Pamoja na kuwahidiwatanzania vitu vingi lakini ni wazi mwisho wa siku anataka watanzania wafanyekazi.Tabia ya watanzania wanataka serikaliiwanyie kila kitu.Jiji la Dar es Salaamni chafu kupindukia lakini wanataka halmashauri ya jiji ndiyo iwajibike kwayote.Lakini ni watanzania na wakazi wajiji hao hao wanaotupa taka hovyo mitaani na kujisaidia haja ndogo na kubwa nahata kuleta kipindupindu ugonjwa ambao ni wa aibu.
Ni mentality hii ya watanzania ndiyoinayofanya pamoja na kuwepo kwa kamati za shule lakini shule nyingi hazinavyoo. Watanzania wanataka mtu ajeafadhili ujdenzi wa choo.Watanzaniawanataka pia mtu aje afadhili utengenezaji wa madawati ya wanafunzi kwa shuleza msingi.Wananchi wenyewe wanashindwakujipanga kuendesha harambee ya kuhakikisha madawati yanatengenezwa.
Kila mji wa Tanzania wamejaa watu wanaoitwamadalali sijui wa nyumba, shamba, mazao na kadhalika. Madalali wana vitambi na kazi yao nikupandisha bei ya vitu ikiwemo mashamba, mazao, vyumba vya kupanga nakadhalika.Eti wao ni watoto wa mjinikazi yao ni kutumia kinachoitwa bongo......
Yaani watanzania ni watu wa ajabu kwa mambomengi, watu wanaotaka sifa, wanaotaka kutumia bila kufanya kazi, walalamishi,wapenda sifa, wapika na wapiga majungu, wanaolialia hovyo, wasio na ni nidhamuya maisha, wavivu na wapenda vya dezo.....
Kwa hakika JPM (PhD) ana kazi kubwa yakubadili mentality hii miongoni na ndani ya jamii.