tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Hi post ni bora zaidi kwa wiki hii naomba jitihada zifanyike ili imfikie JPM
bila shaka kuna vibaraka wake humu, watamfikishia ujumbe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hi post ni bora zaidi kwa wiki hii naomba jitihada zifanyike ili imfikie JPM
Unauhakika au unaishi kwa kukalili? 2005 sio 2015, kuna mabadiriko, yeye anajua anachokifanya,
Usiwe na tomaso magufuli usimfananishe na jk hata robo subili uone tatizo in mfumo ndo unafanya watu wasifanye Kazi ofisini au walikosa MTU wa kuwasimamia
Kubenea mwandishi wa habari toka lini. Yule kanjanja wa utapeli kwa wananchi.?Waandishi wa habari mithili ya kubenea ...!!
Hawa ndio sumu ya maendeleo ya Taifa.
Kwa mini unafikiria kuwa atashidwa ? Na usifikikie ataweza? Je kama aliweza alikokuwa kwanini hasiweze sasa?
Kuna haja ya kutohukumu kitu usichokijua matokeo yake,
watu wengi hawa CHADEMA wanataka kumuona magufuli akifeli.... mtasubiri saaaaaaaaaaana
Waandishi wa habari mithili ya kubenea ...!!
Hawa ndio sumu ya maendeleo ya Taifa.
Watu wengi wanaishi wilayani na mahitaji yao mengi yanatatuliwa wilayani hukohuko, hivyo kuweka watendaji mahili na wabunifu kwenye ngazi ya wilaya ndio mtihani wa kwanza wa rais Magufuli. Wakuu wa wilaya na watendaji wengine wa JK sio kabisa, na huwenda ndio chanzo cha migogoro mingi ya wananchi dhidi ya serikali yao. JPM hana namna nyingine zaidi ya kuwaweka pembeni watendaji wote wavivu na wabadhilifu wilayani na mikoani ambao wengi wao wameshachukiwa tayari na wananchi wao.
Mtihani wa pili ni namna atakavyo atakavyotumia uwezo wake kupambana wa watu wajanjawajanja kama vile akina Lyatonga, Chenge, Tibaijuka, Manji, Aziz, Nazir, Harison, Samuel na wengine. Kwa muonekano wao ni wapenda sifa binafsi na kujali maslahi yao tu.
Mtihani wa tatu ni namna atakavyoweza kukaa mbali na kundi la mzee Mkapa waliohusika na kuuza viwanda, migodi, mabenki, mashamba, nyumba za serikali na hata waliotajwa kwenye kashifa ya EPA, meremeta, rada, ndege ya rais, n.k, ambao ni chanzo kikubwa leo cha ukosefu wa ajira kwa vijana na ongezeko kubwa la deni la taifa.
Mtihani wa Nne ni namna ya atakavyopambana na wimbi la watoto na wajukuu wa viongozi wa wakuu wa CCM wanaotaka kupewa nafasi serikalini kwa upendeleo kutumia nafasi za wazazi wao.
Mtihani wa Tano ni namna atakavyoweza kupambana na udini, ukabila, na ukanda katika kutoa nafasi za ajira nchini. Hali ilivyo hivi sasa ni mbaya sana, ajira wizarani, kwenye vitengo mbalimbali, mialiko kwenye mikutano, semina na nafasi za mafunzo inatolewa kwa ukanda, ukabila, udugu na udini.
Asipozingatia haya atahesabika kuwa ameanza na mguu mbaya sana utakaomgarimu sana uchaguzi wa 2020.
Watu wengi wanaishi wilayani na mahitaji yao mengi yanatatuliwa wilayani hukohuko, hivyo kuweka watendaji mahili na wabunifu kwenye ngazi ya wilaya ndio mtihani wa kwanza wa rais Magufuli. Wakuu wa wilaya na watendaji wengine wa JK sio kabisa, na huwenda ndio chanzo cha migogoro mingi ya wananchi dhidi ya serikali yao. JPM hana namna nyingine zaidi ya kuwaweka pembeni watendaji wote wavivu na wabadhilifu wilayani na mikoani ambao wengi wao wameshachukiwa tayari na wananchi wao.
Mtihani wa pili ni namna atakavyo atakavyotumia uwezo wake kupambana wa watu wajanjawajanja kama vile akina Lyatonga, Chenge, Tibaijuka, Manji, Aziz, Nazir, Harison, Samuel na wengine. Kwa muonekano wao ni wapenda sifa binafsi na kujali maslahi yao tu.
Mtihani wa tatu ni namna atakavyoweza kukaa mbali na kundi la mzee Mkapa waliohusika na kuuza viwanda, migodi, mabenki, mashamba, nyumba za serikali na hata waliotajwa kwenye kashifa ya EPA, meremeta, rada, ndege ya rais, n.k, ambao ni chanzo kikubwa leo cha ukosefu wa ajira kwa vijana na ongezeko kubwa la deni la taifa.
Mtihani wa Nne ni namna ya atakavyopambana na wimbi la watoto na wajukuu wa viongozi wa wakuu wa CCM wanaotaka kupewa nafasi serikalini kwa upendeleo kutumia nafasi za wazazi wao.
Mtihani wa Tano ni namna atakavyoweza kupambana na udini, ukabila, na ukanda katika kutoa nafasi za ajira nchini. Hali ilivyo hivi sasa ni mbaya sana, ajira wizarani, kwenye vitengo mbalimbali, mialiko kwenye mikutano, semina na nafasi za mafunzo inatolewa kwa ukanda, ukabila, udugu na udini.
Asipozingatia haya atahesabika kuwa ameanza na mguu mbaya sana utakaomgarimu sana uchaguzi wa 2020.
Magufuli ni Intelligent sana. Anajua jinsi ya kucheza na kila mtu
Mbona mtihani wa kwanza ameshafeli........... AG
watu wengi hawa CHADEMA wanataka kumuona magufuli akifeli.... mtasubiri saaaaaaaaaaana
Ulitaka AG amchague lissu mkuu? Au yupo ambae unamuona anafaa zaidi ya huyo alieteuliwa na Rais?kwa sisi tunaemfahamu AG sio bwanyenye huingia front mwenyewe kwa ishu nyingi za kimahkama.