Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba sana tena sana Mungu awaamshe salama Magufuli na Majaliwa ili wakatumbue jipu la Tanesco kabla hajatangaza baraza la mawaziri ni muhimu sana ili waziri ajaye asiwe muoga.
Mungu ivisha hili jipu mapema.
Amen
jipu la tanesco usaha wake mwingi ukitumbua vibaya wote mnachafuka!
hahaha,hapa pamba ziwekwe vzr ili usaha usieneejipu la tanesco usaha wake mwingi ukitumbua vibaya wote mnachafuka!
Naomba sana tena sana Mungu awaamshe salama Magufuli na Majaliwa ili wakatumbue jipu la Tanesco kabla hajatangaza baraza la mawaziri ni muhimu sana ili waziri ajaye asiwe muoga.
Mungu ivisha hili jipu mapema.
Amen
Natamani aanze kulitumbua Tanesco Arusha wanakata umeme kama wanatuadhibu.Naomba sana tena sana Mungu awaamshe salama Magufuli na Majaliwa ili wakatumbue jipu la Tanesco kabla hajatangaza baraza la mawaziri ni muhimu sana ili waziri ajaye asiwe muoga.
Mungu ivisha hili jipu mapema.
Amen
Inatia moyo waliokuwa wakimpinga magufuli sasa wapo mstari wambele kumkubali ....
Hapa kazi tu