Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Huu Ni ushauri wangu kwa kasi yako ya kiuongozi Dr kimei atakufaa kwani Ni msomi aliyebobea katika masuala ya uchumi na fedha,mbunifu na mchapakazi anaweza kupanga mikakati uchumi WA nchi ukapaa.vilevile sio mwanasiasi ni mtendaji .
Kimei huyu huyu anayeajiri watu CRDB kwa ubaguzi wa kabila, ukiwa mchaga CRDB ndio una uwezekano mkubwa wa kuajiriwa ata kama ambaye siye mchaga amekudhidi vigezo. Sipendi watu wakabila na wadini ata kama ni wa kwetu kwani hivyo ni vyanzo vya migogoro na matabaka. Kimei hafai kabisa labda aongoze umoja wa wac...
.ga
Huyo ni mkabila sana.angalia alivyorundika wachaga wenzio crdb.
Dr. Kimei ni CEO wa a giant bank hapa nchini, anavuta super salary ya 100 milion plus!, wakati Dr. Magufuli ni mjamaa na mbana matumizi, jee ataweza kumlipa Dr. Kimei?!. Yaani umtoe mtu kwenye neema, umtupe kwenye dhiki?!.
Pasco
hakuna mwenye jeuri ya kumuondoa zaidi wa wazungu waliomuamini wakamkabidhi benk yao,au kwa akili yako unadhani kimei ni mteule wa rais, la hasha hakubebwa yule bali wazungu walimuona anatenda vizuri wakampa na maeipaisha ile benk hadi wazungu wameona wamuache apige mzigo
Huu Ni ushauri wangu kwa kasi yako ya kiuongozi Dr kimei atakufaa kwani Ni msomi aliyebobea katika masuala ya uchumi na fedha,mbunifu na mchapakazi anaweza kupanga mikakati uchumi WA nchi ukapaa.vilevile sio mwanasiasi ni mtendaji .
Hafai kwa sababu alikuwa upende wa Lowassa au kwa vile Hana sifa ambazo mleta thread kataja? kwa style hii naona tunarudi tulikotoka naona kuna kabila au Kanda fulani inapigwa vita.Hafai kabisa huyo Kimei. Yeye ndiye aliyekuwa anaratibu mkakati wa wafanyabiashara na taasisi za fedha kumhujumu Magufuli wakati wa kampeni. Kimei ni mkabila sana. Kimei aliona kuwa Lowasa ndiye Rais na akafanya kila jitihada kumhujumu Magufuli. Ilifikia hatua alichangisha kwa nguvu wafanyakazi wa CRDB fedha kwa ajili ya kampeni za Lowasa. Huyu mtu hafai kabisa na wala hastahili hata kufikiriwa
Huyo jamaa ni kimeo
Kuna watanzania wa ajabu kweli kwao hakuna kizuri jaribu kukubaliana na ukweli hakuna MTU aliye 100% perfect lakini jamaa kufanya CRDB kuwa moja ya walipa kodi wa kubwa nchini jiulize hivyo ni bank sio kiwanda cha pombe au sigara mwenye sifa tumpe sifa zakeNadhani humjuw kimei, ila wanao mjuwa wanataman hata kesho astaafu. Funguka ione kesho na usiuze almas kwa mlo wa siku moja.
pamoja na kumsifia hatumtaki kama bora mpe mtoto wako amuoe
Na wale Wafanyabiashara waliochangia kampeni za CCM nao?uchaguzi ushaisha sasa kilichobaki ni kuunganisha nguvu kuijenga nchi yetu.Dr Kimei kumuunga mkono Lowassa hakumuondolei sifa ya kuhudumu kama Waziri,kama anakidhi vigezo na achaguliwe tu.Hata Marekani Obama alimchagua Hillary Clinton kama Secretary of States licha ya kwamba alikuwa hasimu wake mkubwa wa kisiasa. Pia aliwachagua Republicans watatu ktk cabinet yake,unfortunately we Africans have turned politics into hostility. I wish you could learn about the diversity accommodation and the role it plays in bolstering the organisation's activities in this modern day world we living in.
Na kwa sifa hizi za kibongo hata riz one anafaa, maana amejipatia maendeleo kwa kasi ya ajabuRECORD MATTERS..!!
UNAYEMCHAGUA AMEWAHI KULETA UFANISI KTK LIPI?,AMBALO NI LA PUBLIC?/ TUNAWEZA CHAGUA MTU TU,ALIYESTAWISHA FAMILIA YAKE HAKAWA HAWEZI KUSTAWISHA GENERAL PUBLIC....!!
ii
Kimei ni mkabila sana
Yeah, sifa za kijinga!!mmesha ambiwa hata kumlipa hamwezi sembuse kumwajiri? nyie tafuteni mkwere mumpe hiyo nafasi ya uwaziri
Huyu hafai hafai kabisa. Hata kwao huku Kilimanjaro hatumtaki kakwapua fedha za crdb.bila aibu hapa kajenga majumba magorofa na kanisa la gorofa kwa sababu ya roho yake mbaya hakai mtu yeyote wala hakuna anaye sali hapa...huyu kimei ni tatizo. Hatufai hata kidogo.
Acha wivu we punguani kila jina la mchagga likitajwa tu lazima kuna assumption zinaibuka na viulizo why not other muache wivu wa kipumbavu kwa watu waliowazidi najua hata kama angependekezwa Mwingine unpopular lakini ana jina la kichagga mngepinga tu.Kimei huyu huyu anayeajiri watu CRDB kwa ubaguzi wa kabila, ukiwa mchaga CRDB ndio una uwezekano mkubwa wa kuajiriwa ata kama ambaye siye mchaga amekudhidi vigezo. Sipendi watu wakabila na wadini ata kama ni wa kwetu kwani hivyo ni vyanzo vya migogoro na matabaka. Kimei hafai kabisa labda aongoze umoja wa wac...
.ga