Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Huu Ni ushauri wangu kwa kasi yako ya kiuongozi Dr kimei atakufaa kwani Ni msomi aliyebobea katika masuala ya uchumi na fedha,mbunifu na mchapakazi anaweza kupanga mikakati uchumi WA nchi ukapaa.vilevile sio mwanasiasi ni mtendaji .

Nyie si ndio mlisema Rishade Bade awe waziri wa fedha ?? Mnaangalia kwa macho yenye matongotongo!!!
 
Kimei huyu huyu anayeajiri watu CRDB kwa ubaguzi wa kabila, ukiwa mchaga CRDB ndio una uwezekano mkubwa wa kuajiriwa ata kama ambaye siye mchaga amekudhidi vigezo. Sipendi watu wakabila na wadini ata kama ni wa kwetu kwani hivyo ni vyanzo vya migogoro na matabaka. Kimei hafai kabisa labda aongoze umoja wa wac...
.ga

Una uhakika na unachokiandika? Hivi kimei ni Mchagga wa wapi?
 
Huyo ni mkabila sana.angalia alivyorundika wachaga wenzio crdb.

Una evidence? Au CV yako haijitoshelezi, embu nikumbushe Kimei mchagga wa wapi? Hivi kila mzaliwa wa Dar ni mzaramo?
 


Dr. Kimei ni CEO wa a giant bank hapa nchini, anavuta super salary ya 100 milion plus!, wakati Dr. Magufuli ni mjamaa na mbana matumizi, jee ataweza kumlipa Dr. Kimei?!. Yaani umtoe mtu kwenye neema, umtupe kwenye dhiki?!.

Pasco

Du hapo CRDB kwenye neema asee atakuwa mzalendo kweli kuachia 100m + aende serikali ya bana mkanda
 
hakuna mwenye jeuri ya kumuondoa zaidi wa wazungu waliomuamini wakamkabidhi benk yao,au kwa akili yako unadhani kimei ni mteule wa rais, la hasha hakubebwa yule bali wazungu walimuona anatenda vizuri wakampa na maeipaisha ile benk hadi wazungu wameona wamuache apige mzigo

Sasa mbona unataka awe mteule wa Rais???
 
Huu Ni ushauri wangu kwa kasi yako ya kiuongozi Dr kimei atakufaa kwani Ni msomi aliyebobea katika masuala ya uchumi na fedha,mbunifu na mchapakazi anaweza kupanga mikakati uchumi WA nchi ukapaa.vilevile sio mwanasiasi ni mtendaji .

Nadhani humjuw kimei, ila wanao mjuwa wanataman hata kesho astaafu. Funguka ione kesho na usiuze almas kwa mlo wa siku moja.
 
Nashangaa sana Watz kwa usahaulifu. Huyu Kimei aliruhusu benki yake kupitisha miamala ya mabilioni ya pesa zilizochotwa BOT na mafisadi wa EPA. Hasa mtakumbuka zile bil 40 za Kagoda zilizolipwa cash over the counter usiku na kubebwa na maboksi.
Hadi leo hajatuambia ni nani alisaini na kutokomea na zile hela za wananchi. Hafai kabisa!
 
Hafai kabisa huyo Kimei. Yeye ndiye aliyekuwa anaratibu mkakati wa wafanyabiashara na taasisi za fedha kumhujumu Magufuli wakati wa kampeni. Kimei ni mkabila sana. Kimei aliona kuwa Lowasa ndiye Rais na akafanya kila jitihada kumhujumu Magufuli. Ilifikia hatua alichangisha kwa nguvu wafanyakazi wa CRDB fedha kwa ajili ya kampeni za Lowasa. Huyu mtu hafai kabisa na wala hastahili hata kufikiriwa
Hafai kwa sababu alikuwa upende wa Lowassa au kwa vile Hana sifa ambazo mleta thread kataja? kwa style hii naona tunarudi tulikotoka naona kuna kabila au Kanda fulani inapigwa vita.
 
Nadhani humjuw kimei, ila wanao mjuwa wanataman hata kesho astaafu. Funguka ione kesho na usiuze almas kwa mlo wa siku moja.
Kuna watanzania wa ajabu kweli kwao hakuna kizuri jaribu kukubaliana na ukweli hakuna MTU aliye 100% perfect lakini jamaa kufanya CRDB kuwa moja ya walipa kodi wa kubwa nchini jiulize hivyo ni bank sio kiwanda cha pombe au sigara mwenye sifa tumpe sifa zake
 
huyu jamaa katumwa kumpigia kampeni kimei humu anasahau magufuli yupo busy na safisha safisha hana muda wa kusoma jf
 
Na wale Wafanyabiashara waliochangia kampeni za CCM nao?uchaguzi ushaisha sasa kilichobaki ni kuunganisha nguvu kuijenga nchi yetu.Dr Kimei kumuunga mkono Lowassa hakumuondolei sifa ya kuhudumu kama Waziri,kama anakidhi vigezo na achaguliwe tu.Hata Marekani Obama alimchagua Hillary Clinton kama Secretary of States licha ya kwamba alikuwa hasimu wake mkubwa wa kisiasa. Pia aliwachagua Republicans watatu ktk cabinet yake,unfortunately we Africans have turned politics into hostility. I wish you could learn about the diversity accommodation and the role it plays in bolstering the organisation's activities in this modern day world we living in.

We jamaa una akili pana sana!
 
RECORD MATTERS..!!
UNAYEMCHAGUA AMEWAHI KULETA UFANISI KTK LIPI?,AMBALO NI LA PUBLIC?/ TUNAWEZA CHAGUA MTU TU,ALIYESTAWISHA FAMILIA YAKE HAKAWA HAWEZI KUSTAWISHA GENERAL PUBLIC....!!
ii
Na kwa sifa hizi za kibongo hata riz one anafaa, maana amejipatia maendeleo kwa kasi ya ajabu
 
Huyu hafai hafai kabisa. Hata kwao huku Kilimanjaro hatumtaki kakwapua fedha za crdb.bila aibu hapa kajenga majumba magorofa na kanisa la gorofa kwa sababu ya roho yake mbaya hakai mtu yeyote wala hakuna anaye sali hapa...huyu kimei ni tatizo. Hatufai hata kidogo.

acha unafiki poyoyo wewe unafikiri hiyo benk ni ya serikali? inaonyesha wewe ni mchawi hata kanisa likijengwa unachukia
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho akiamka atasema nini au ameambiwa na mke wake afanye nini. Kwa kuzingatia hayo niliandika humu hatuhitaji rais kiranja bali waziri mkuu wa aina ya kiranja tunaweza kumvumilia

Sasa ni tofauti, rais anaonekana kiranja na waziri mkuu anaonekana rais. Najiuliza kama rais ndiye angeenda bandarini wakati wa kumtimua mkurugenzi wa TRA nini kingetokea, nadhani hata meza zingepinduliwa pale. Pasingetosha!..

Tunahitaji kuona action plan, tunahitaji kuona mipango endelevu, tunahitaji kujua kilimo kitakuwaje miaka 20 ijayo, elimu, afya, michezo nk. Hizi zimamoto amwachie waziri mkuu.
 
Kimei huyu huyu anayeajiri watu CRDB kwa ubaguzi wa kabila, ukiwa mchaga CRDB ndio una uwezekano mkubwa wa kuajiriwa ata kama ambaye siye mchaga amekudhidi vigezo. Sipendi watu wakabila na wadini ata kama ni wa kwetu kwani hivyo ni vyanzo vya migogoro na matabaka. Kimei hafai kabisa labda aongoze umoja wa wac...
.ga
Acha wivu we punguani kila jina la mchagga likitajwa tu lazima kuna assumption zinaibuka na viulizo why not other muache wivu wa kipumbavu kwa watu waliowazidi najua hata kama angependekezwa Mwingine unpopular lakini ana jina la kichagga mngepinga tu.
 
fikra za kunguni haziwezi kulingana na za mwanadamu!!!angekuwa aina ya mkwere mungetukana sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom