Mheshimiwa Magufuli Rais wangu niliye na imani na wewe kulingana na kufanya kazi kujitofautisha na mkwere JK ambapo alikuwa akichekacheka huku taifa linatafunwa...Kwa muda wote huu pamoja na watu wengine naamini wanafanya upembuzi watu gani wanafaa na hawafai kwenye baraza lako lijalo....katika hili naomba ulitambue na wengine wajue pia hasa hsa suala la makontena bandarini na issue ya TRL na mabehewa makuukuu toka INDIA...Mh. Magufuli hawezi kushughulikia vidagaa kama kina Masamaki wakati wa kina Mwigulu Nchemba, Dr. Mwakyembe na wengineo kuwaruhusu watambe kwenye baraza lijalo hasa kwenye wizara walizokuwepo zikiwa zimefanya madudu...Tuanze na Dr Mwakyembe alihujumu sana kwenye mabehewa apate pesa za kampeni za kutosha ndicho kilichotokea huko wilayani Kyela mbeya mikopo ambayo wamama walipewa kwa riba ndogo kwa kianzio kidogo wakiwa kwenye vikundi wenyewe huita VICOBA ndio maana alipata kiburi sana na kujiapiza kwa wanakyela kwamba atakuwa waziri mkuu wa serikali ya MAGUFULI kilichotokea ni contrary kabisa....nijikite kwenye hoja ya ufisadi wake dr. mwakyembe hana usafi kwa jinsi magufuli alivyoanza maana ana kashfa za huko bandarini kipindi akiwa huko wizarani, kingine akiwa uchukuzi alishiriki ununuzi mabehewa chakavu ambayo kila mtu anajua...HIVYO HAFAI Hta kupata wizara (ikumbukwe sina chuki naye ila uhujumu uchumi na wizi ndicho ninachokichukia)
MWIGULU NCHEMBA hakuna kilichofanyika TRA hakjui huyu alikuwa naibu waziri anajua kila kitu Magufuli aanze na hawa mafirauni wanaoitafuna nchi yao bila kujali chama chao hicho ambacho magufuli hafuati mambo ya kijinga ya CCM na nimeona wanamchukia sana sana kama January makamba n.k hawa hawafai kurudi tena kwenye wizara MAPAPA YAPO MAGUFULI YACHOME HAYOOO HAPO NI KAZI TUUUU