Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,224
- 234
Apitie Halmashauri zote. Baadhi ya Halmashauri hali si shwari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaanze na halmashauri ya ngorongoro
Muache mkuu....anauchungu na nchi yetu...ndio maana anajibidiishaMpwa hii ni thread ya ngapi kwa leo........andika mambo ya kueleweka, zamani mods walikuwa wanakueditia, sasa wamechoka wanabaki kuvuta tu
Kama kuna ufisadi upo kwa wakuu wa shule za serikali, wamehodhi shule na kuwa mali zao binafsi, elimu imekufa wanaendekeza majungu makazini ADA imekuwa vitega uchumi vyao hali ni mbaya wamekuwa malord father hawaambiliki, serikali tupia jicho hawa jamaa wanabagua walimu mashuleni. Kuna makundi ya team mkuu hao ni watu WA NDIO MKUU ILI WAPATE NIGHT PIA LIPO KUNDI LA ISOLATED YAANI HAWAKO GROUP LA MKUU. TAFADHALI WAMULIKE NI KIKWAZO KINGINE CHA ELIMU BORA TANZANIA.
Muda bado na tuone bidhaa zikishuka bei n.k.
Watanzania wanaomsifia magufuli wana akili ndogo, na kwa watu kama hawa itachukua karne nyingi sana nchi kuendelea mpaka kizazi hiki chenye wajinga wengi kimalizike, kazi ipi ambayo ameifanya ambayo mtanzania wa kawaida hawezi kuifanya?nani hajui wizi ulioko tra,bandarini, banks, rushwa mahakamani,police,afya?nk, ni rahisi kuwashika wezi wako pale wanafika asubuhi na kufunga milango jioni hata kipofu anaweza kuwashika kama anataka kuwashika, kusifia hili ni ujinga. Tujiulize swali moja kwa nini ameshindwa kutatua tatizo la umeme kwa siku 30, na tuna gesi imeshafika dar, mvua inanyesha, kuna generators zilizokua zinatumika kwenye mgawo wa umeme, kila siku ni mgao kazi zimesimama alafu wenye akili ndogo wanasifia. hii inaonyesha watz wanafikiri vitu vidogo ambavyo kimsingi hawawezi kunufaika navyo.