Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Usiseme 'madrasul' bali sema 'chuo'! Wana-graduate chuo before primary & secondary education. Wanafaulu chuo but wanafeli sekondari then wana-transfer lawama kwa mama Ndalichako. Horrendous!
Jibiidishe kusoma siyo kutafuta huruma. Don't waste your time ni Madrasul
Huwa siwaelewi watu wanaomponda mama ndalichako .
Huyo mama kafanya kazi kubwa sana na kwa miaka mingi.
Chini yake angalau Elimu ilikuwa ina thamani .
Tangu ameondoka pale necta ni vurugu tu zimejaa pale
Na wale wa dini ile acheni mawaso potofu shule zenu nq watoto wenu muwakazie kusoma kwa bidii .
Sio kuwaza upendeleo kila siku
Ova and out.
Hatutaki wabaguzi wa kiimani serkalini! Huyu mama alitolewa kwa sababu za kubagua wanafunzi wa kiislam kwenye usahihishaji mitihani ya taifa. Hatutaki,taifa limejaa wasomi wengi wenye weledi hatutaki wabaguzi.
acha upumbavu wewe nani asiyejua upuuzi aliokua anaufanya ndalichako?mna akili gani nyie mbona class tulikua tunapambana kwa level sawa ila kwa kua jina lako ni jackson na mimi ni abdallah basi nimeumia yaani jina langu ndio kufeli kwangu,namchukia huyo mwanamke kuliko shetani
Ameshindwa baraza la mitihani itaweza wizara
Madrasa ni elimu ya muhimu kuliko unavofikilia wewe, hiyo inampa mtu utu,huruma, kutambua utu wa mwenzio na uwepo wako katika dunia na lengo lake, vitu ambavyo huwezi kuvipata kwingineko na ukivikosa hivi lzm utaishi maisha yasiyo ya mwanadamu na hali ww ni binadamu uliyepewa kipawa kikubwa. Ndo hayo yakikosekana unasikia mtu mmoja kaiba vifaa vya hospital na kuacha watu wanakufa, kaiba rasilimali na kuacha wananchi wengine masikini wa kutupwa nk. Hivyo unaeibeza elimu yeyote inayompa ustarabu mwanadamu lzm uiweke akili yako katika mizani au uivishe miwani ya sawasawa ili kubaini mambo.
Hivi unapofanya mtihani wa taifa huwa unaandika jina lako au namba ili kujua huyu mkristo au muislam? Unafikiri mtihani wa dini unakusaidia kuchaguliwa kwenda high level au inahusishwa kwa cut point ya kwenda Chuo kwa mfumo wa elimu ya Tanzania. Chukia mtu kwa hoja ya msingi sio udini.
Ameshindwaje mkuu? Au ndiyo elimu yako ya madrassa inavyokuelekeza?
akipewa hiyo wizara, waislamu tunaandamana nchi nzima. mdini hatumtakih...
Madrasa ni elimu ya muhimu kuliko unavofikilia wewe, hiyo inampa mtu utu,huruma, kutambua utu wa mwenzio na uwepo wako katika dunia na lengo lake, vitu ambavyo huwezi kuvipata kwingineko na ukivikosa hivi lzm utaishi maisha yasiyo ya mwanadamu na hali ww ni binadamu uliyepewa kipawa kikubwa. Ndo hayo yakikosekana unasikia mtu mmoja kaiba vifaa vya hospital na kuacha watu wanakufa, kaiba rasilimali na kuacha wananchi wengine masikini wa kutupwa nk. Hivyo unaeibeza elimu yeyote inayompa ustarabu mwanadamu lzm uiweke akili yako katika mizani au uivishe miwani ya sawasawa ili kubaini mambo.
watu waliolawitiwa utawajua tu,nafsi yako inajua ndalichako ni mdini na mmependelewa vya kutosha now mambo yako vizuri
mkuu usiwe na wasiwasi haya ni mawazo ya kichaa mmoja kakaa bar kashiba nguruwe akaanza kutapikia jf?ndalichako anafaa kua mzee wa kanisa
Aliyekuwa anasahihisha mtihani ni mama joyce. Alikuwa anawabagua kwa namna gani. Matusi hayasaidii kwa muelewa toa hoja za msingi ili ueleweshwe kama hauelewi utaratibu wa necta.
Kuna KY hapa kuna mtu anahitaji hio kitu yako aipake asee sijui unasemaje?
mwambie aje kinyumenyume
Huyo NECTA ilimshinda...ataiweza wizara? Tutolee utani hapa.
kaa kimya kafili now waislam wanapumua matokeo yanaonekana mmeanza kuumia mashetan utawajua tu,huyo mama kama mnampenda mpeni uaskofu