Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
ndo umeandka nin? Halafu si ajabu kuwa wa kwanza kutukana waliosoma madrasa..pengine umesoma hadi chuo,uliiba mitihani?

Utaelewa tu compline au complain ndo msingi wa kuiba mtihani kama wapenda vya bure.
 
Utaelewa tu compline au complain ndo msingi wa kuiba mtihani kama wapenda vya bure.

anaependa vya bure nani kati ya nyie na wale?..anaepewa zaid nusu ya bajet ya bajet ya wizara ya afya kuendesha hospitali zake nani?
 

Ni mtazamo wako tu. Nimesoma na waislamu chuoni je hao walipitaje huko necta. Mambo mengine kupandikizwa tu tena hayana maana katika jamii.
 

kwa nini alama za mtihani uzigawe kwa tatu badala ya mbili kama utaratibu unaousimamia unavotaka?
 
Takwimu ya walioingia chuoni 2006 udsm ilikuwaje kwa upande wa udini. Afu mnatuletea story za ajabu. Nenda udom udini hupo wazi kwa wafanyakazi wanaoajiliwa.
 
Ni mtazamo wako tu. Nimesoma na waislamu chuoni je hao walipitaje huko necta. Mambo mengine kupandikizwa tu tena hayana maana katika jamii.

hata afrika kusini ya kaburu palikua na maofisa weusi,ila ubaguzi wa rangi ulikuwepo,hao wachache walptishwa kwa ajili ya kufumba watu wenye akili nyepesi kama zako
 

Naunga mkono hoja!!!! Nashangaa leo tu gpa olevo!!! Bora mama arudi.
 
kwa nini alama za mtihani uzigawe kwa tatu badala ya mbili kama utaratibu unaousimamia unavotaka?

Mfumo wa zamani ulikuwa ni kugawa mara tatu na system ilikuwa haijabadilishwa. Kosa lililotokea ni la kiufundi tena kwa somo lenu hilo. Basi mkadai masomo yote. Hivi unafahamu utaratibu wa kusahihisha mitihani. Huwa kuna vituo vingapi vya kusahihisha. Namna ya kuunganisha matokeo au unasema tu. Je huo mtihani wenu unawasaidia kuwaongezea credit eeh sema na sisi tudai maake hatuonagi kwa upande wetu.
 
hata afrika kusini ya kaburu palikua na maofisa weusi,ila ubaguzi wa rangi ulikuwepo,hao wachache walptishwa kwa ajili ya kufumba watu wenye akili nyepesi kama zako

Ndo umefika mwisho hata mohamad wako akija atakukana
 
nakuunga mkono mama anauwezo uliza mtu yeyote aliye wahi kwenda kusahisha mtihani wa taifa wakati wa uongozi wake. hakukuwa na masihara na pia kuwa necta anaijua elimu yetu vizuri kuanzia msingi hadi a level kupitia majukumu yake pale necta. Elimu ya chuo nayo anaijua vizuri kwa kuwa muhadhiri
ANAFAA SANAKAMA HATUTAKI SIASA KWENYE ELIMU
 
nimekurupuka kama nguruwe wako alie kwenye siku zake huko nyuma bandani?

Aliyekuzaa ni nguruwe unashangaa nini hata uliyenaye nguruwe wewe utashindwa kuwa nguruwe tena pori. Hacha sindano ikuingie vizuri alshabab wewe.
 
Aliyekuzaa ni nguruwe unashangaa nini hata uliyenaye nguruwe wewe utashindwa kuwa nguruwe tena pori. Hacha sindano ikuingie vizuri alshabab wewe.

empty head...!!merely scum,knowing nothing than food and sleep
 

kwa nini kwenye somo hilo tu?
 
Utaelewa tu. Joyce Ndalichako ndo habari ya mjini hutaki rudisha vyeti vyenye sahihi yake.

bahati mbaya kwako mie sijasoma kipindi cha ndalichako..sikujua kama najadili na toto la juzi,tuition zimekuharibu wewe,kichwa yako vivu ya kufikiri
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…