Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Rais magufuli
Waenga walisema ukicheka na nyani utavuna mabua,"
Jk alicheka na nyani akavuna mabua" sasa ni zamu yako ukicheza na upinzani huu inaongozwa na MZEE wa mbinu chafu inakura kwako,
Ushauri wangu
Achana nao tumikia wananchi michezo yao ya kugoma ni kukupotezea muda maana ndo MBINU yao waliyobaki nayo baada ya kupoteza falsafa ya ufisadi,
Kuwa makini usijaribu kulegeza hata kidogo hata ,kama iweje kama hawataki waache,
Maana
Jua mtaji wao ni umasikini wa watanzania kwahiyo jitiada zako kwao sio nzuri,
 
Mkuu nimekusoma kwa umakin sana...

Nadhan wasaidiz wake wanapita pita huku...

Huenda wakamfikishia hilo...

Shukran
 
Rais magufuli
Waenga walisema ukicheka na nyani utavuna mabua,"
Jk alicheka na nyani akavuna mabua" sasa ni zamu yako ukicheza na upinzani huu inaongozwa na MZEE wa mbinu chafu inakura kwako,
Ushauri wangu
Achana nao tumikia wananchi michezo yao ya kugoma ni kukupotezea muda maana ndo MBINU yao waliyobaki nayo baada ya kupoteza falsafa ya ufisadi,
Kuwa makini usijaribu kulegeza hata kidogo hata ,kama iweje kama hawataki waache,
Maana
Jua mtaji wao ni umasikini wa watanzania kwahiyo jitiada zako kwao sio nzuri,
Hivi wewe hadi leo hii bado kiswahili kinakuburuza tu?...UPINZANI ULIMYUMBISHA ndio lugha ya wapi au una maanisha nini?
 
Rais magufuli
Waenga walisema ukicheka na nyani utavuna mabua,"
Jk alicheka na nyani akavuna mabua" sasa ni zamu yako ukicheza na upinzani huu inaongozwa na MZEE wa mbinu chafu inakura kwako,
Ushauri wangu
Achana nao tumikia wananchi michezo yao ya kugoma ni kukupotezea muda maana ndo MBINU yao waliyobaki nayo baada ya kupoteza falsafa ya ufisadi,
Kuwa makini usijaribu kulegeza hata kidogo hata ,kama iweje kama hawataki waache,
Maana
Jua mtaji wao ni umasikini wa watanzania kwahiyo jitiada zako kwao sio nzuri,
Hadi AKASINDWA? Unatutia aibu hapa jamvini
 
Rais magufuli
Waenga walisema ukicheka na nyani utavuna mabua,"
Jk alicheka na nyani akavuna mabua" sasa ni zamu yako ukicheza na upinzani huu inaongozwa na MZEE wa mbinu chafu inakura kwako,
Ushauri wangu
Achana nao tumikia wananchi michezo yao ya kugoma ni kukupotezea muda maana ndo MBINU yao waliyobaki nayo baada ya kupoteza falsafa ya ufisadi,
Kuwa makini usijaribu kulegeza hata kidogo hata ,kama iweje kama hawataki waache,
Maana
Jua mtaji wao ni umasikini wa watanzania kwahiyo jitiada zako kwao sio nzuri,
AFAYE NINI? Nina wasiwasi mkubwa na elimu yako ya MEMKWA
 
Ujumbe mzuri sana, JPM ni kiburi kuliko kiongozi yoyote yule wa upinzani. Awamu hii wajipange kweli kweli, hakuna tena mambo ya watu kupewa sifa wasizostahili.
 
Rais magufuli
Waenga walisema ukicheka na nyani utavuna mabua,"
Jk alicheka na nyani akavuna mabua" sasa ni zamu yako ukicheza na upinzani huu inaongozwa na MZEE wa mbinu chafu inakura kwako,
Ushauri wangu
Achana nao tumikia wananchi michezo yao ya kugoma ni kukupotezea muda maana ndo MBINU yao waliyobaki nayo baada ya kupoteza falsafa ya ufisadi,
Kuwa makini usijaribu kulegeza hata kidogo hata ,kama iweje kama hawataki waache,
Maana
Jua mtaji wao ni umasikini wa watanzania kwahiyo jitiada zako kwao sio nzuri,
Aliyumbishwa kivipi wakati muda wote alikuwa hewani kwenye airbus
 
Hahahaaa. Mimi nimesoma hapo mwishon tu. MPIGA MITI. hahahahaaaaaaaaaa
 
N
Rais magufuli
Waenga walisema ukicheka na nyani utavuna mabua,"
Jk alicheka na nyani akavuna mabua" sasa ni zamu yako ukicheza na upinzani huu inaongozwa na MZEE wa mbinu chafu inakura kwako,
Ushauri wangu
Achana nao tumikia wananchi michezo yao ya kugoma ni kukupotezea muda maana ndo MBINU yao waliyobaki nayo baada ya kupoteza falsafa ya ufisadi,
Kuwa makini usijaribu kulegeza hata kidogo hata ,kama iweje kama hawataki waache,
Maana
Jua mtaji wao ni umasikini wa watanzania kwahiyo jitiada zako kwao sio nzuri,
Ni kweli maana ndio walioba Escrow,EPA,na sasa Lugumi.Shame on you.
 
Kha, kwa maoni yangu JPM anapaswa kuwa makini zaidi na wana CCM wenzie. Wapinzani wa nn? Wao ni kuwapuuza tu. Tatizo ni watu anaowasikiliza na kuwaamini, lkn wengi wao ndio walioifikisha nchi hii hapa ilipo. Hao ndio hatari!
 
Wizara ya elimu itusaidie watanzania kwa kufufua EWW.
 
Sidhani kama kuna mwanachama wa CCM atabisha kuwa Mh.Magufuli anahangaika kuyatumbua majipu yaliyozaliwa Na CCM kulelewa kusomeshwa Na kutunzwa Na CCM.Mh.Magufuli zoezi la kutumbua majipu ni gumu sana Na litakuchukulia muda wako mwingi badala ya kuwaletea maendeleo watanzania unaowapenda Na kuwaonea huruma Kwa mateso Na machungu waliyoyapata kupitia WanaCCM wenzao ambao walikuwa wanawaibia Na kuwatesa mchana kweupe.Mh.Magufuli napata uchungu sana kukuona unahangaika huku Na kule ili wananchi wako nao waishi maisha mazuri ila Viongozi waliopewa dhamana ya kuwaongoza hawakuwa Na huruma.Mh.Magufuli Majipu unayoyatumbua ni Zao la CCM .Nakuomba uisafishe nchi hii bila kujali Chama yeyote aliyehusika Na dhambi ya kuwatesa watanzania ahukumiwe hapa hapa duniani Mungu yupo nawe kwani uyafanyayo ni mema pia waogope wanaCCM wenzako kwani in Majipu wanataka wakukosanishe ni Wapinzani Kwamanufaa yao kwani wanajua in Wapinzani ndio wenye udhubutu wa kuyataja maovu yao.Kidumu chama cha Mapinduzi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom