assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,905
- 4,054
unaishi katika ndoto za kuifikia nchi ya ahadi? can never happenNashauli tusiangalie sana nyuma, ila tubobee kwenye kuangalie mbele zaidi, hasa kwenye kipengere cha ujenzi wa Taifa na kwa maslah ya taifa kama Watanzania.
Nakubali!"Mkuu bahati mbaya wewe sie"
Nadhani hatutaelewna, kwaheri!Hata USA yenye vyama vingi kwa zaidi ya miaka 100.
Uchaguzi ukipita kinachofuata ni kuwapa nafasi walioshinda kutimiza ahadi zao kwa wananchi.
Kama una kitu unataka kusema utatumia vyombo Vya habari na siyo kuandamanisha watu na kuwashindisha juani
Mbona kwenye mambo mazuri huwa hatujilinganishi na USA ikifika zamu ya kukandamiza watu inakuwa ya mfano.Hata USA yenye vyama vingi kwa zaidi ya miaka 100.
Uchaguzi ukipita kinachofuata ni kuwapa nafasi walioshinda kutimiza ahadi zao kwa wananchi.
Kama una kitu unataka kusema utatumia vyombo Vya habari na siyo kuandamanisha watu na kuwashindisha juani
Baati mbaya hapa si USAHata USA yenye vyama vingi kwa zaidi ya miaka 100.
Uchaguzi ukipita kinachofuata ni kuwapa nafasi walioshinda kutimiza ahadi zao kwa wananchi.
Kama una kitu unataka kusema utatumia vyombo Vya habari na siyo kuandamanisha watu na kuwashindisha juani
Ndio maana sio Magufuli. Maana hujui sheria zingine kama CAP 322 ibara 43 mpaka 45Ningelikuwa Bwana Magufuli ningeliwaachia wapinzani wakafanya siasa zao MRADI HAWAVUNJI SHERIA, na kuwaacha wanachi wakaamua siku ya kura.
Kwahiyo kila kitu lazima tuige USA. Naona unataka tuige na mfano wao wa kuruhusu ushoga.Hata USA yenye vyama vingi kwa zaidi ya miaka 100.
Uchaguzi ukipita kinachofuata ni kuwapa nafasi walioshinda kutimiza ahadi zao kwa wananchi.
Kama una kitu unataka kusema utatumia vyombo Vya habari na siyo kuandamanisha watu na kuwashindisha juani
Mambo ya ushoga wako hayatuhusuKwahiyo kila kitu lazima tuige USA. Naona unataka tuige na mfano wao wa kuruhusu ushoga.
APA maana yake nini?Kwa cheo chako ambacho ndio cheo kikubwa APA nchini , tegemea kupata misukosuko kama hii, na mingine itagusa moja kwa moja kwenye familia.
Kwa kumsaidia binti kisaikolojia na kumhakikishia future nzuri omba uongozib wa udom kusitisha masomo ya binti.
Fedha unayo bwana mpeleke uko ulaya au Malaysia binti apate elimu kwani APA bongo imeshakua taabu.
APA=apaAPA maana yake nini?
We endekeza wamarekani... wakikufumua marinda ndo utaelewa.Mambo ya ushoga wako hayatuhusu