Mwasita Moja
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,903
- 2,580
Kama wameanza kuandamana na Moshi safi sana.Kama watanzania tusingekuwa na ubinafsi kusingekuwa na haja ya " ukuta" wala sakafu, tatizo la ubinafasi kila kigogo anatunisha misuli dhidi ya wenzake na haangalii maslahi ya watanzania!
Tunawaomba waandamane kabisa usiku na mchana ,tuwe tunaandamana kutoka moshi mjini hadi Hai kila siku , kwa sababu ndio tulichoahidi wakati wa uchaguzi