abdalahkova
Member
- Aug 31, 2016
- 22
- 7
Kwani hamsikilizi mkuu.Hao wote hawawezi kumsaidia.....
yuko Benno Ndulu.....ndie aliepaswa kumsikiliza kwa masuala yote ya uchumi ..hamsikilizi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hamsikilizi mkuu.Hao wote hawawezi kumsaidia.....
yuko Benno Ndulu.....ndie aliepaswa kumsikiliza kwa masuala yote ya uchumi ..hamsikilizi...
Nitafuatilia maana maandiko yake mhTokea mwaka jana. Na wakina Mkenda
TENA MUULIZE IDADI YA KESI ZA KI FISADI ZILIZOPO KWENYE VYOMBO VYA SHERIA TULINGANISHE NA KESI ZA FYOKOFYOKO ZILIZOFUNGULIWA NA SERIKALI MAHAKAMANI NA KWENYE MUHIMILI WA BUNGE HAPO ZA FYOKOFYOKO HESABIA NA MAGAZETI RADIO NA TV ZILIZOPO MAHABUSU FYOKOFYOKO TUNAONEWA SANA HATUA WANAZOTUCHUKULIA ZIMEKUWA KALI KULI ZA KINA MAPUNDA WALIOUZA SHAMBA LA UVFISIEM IGUMBILO NA HATA WALIOGAWANA APARTMENT PALE UVFISIEM HQChadema ni chama, Umaskini ni jadi lakini uchwara huu ndio ukatili.
Mkuu usinichekesha bwana mafisadi hawafungwi nchi hii hata siku moja kila kiongozi fisadi. tokea lini panya akamfunge panya na wote wadokozi?TENA MUULIZE IDADI YA KESI ZA KI FISADI ZILIZOPO KWENYE VYOMBO VYA SHERIA TULINGANISHE NA KESI ZA FYOKOFYOKO ZILIZOFUNGULIWA NA SERIKALI MAHAKAMANI NA KWENYE MUHIMILI WA BUNGE HAPO ZA FYOKOFYOKO HESABIA NA MAGAZETI RADIO NA TV ZILIZOPO MAHABUSU FYOKOFYOKO TUNAONEWA SANA HATUA WANAZOTUCHUKULIA ZIMEKUWA KALI KULI ZA KINA MAPUNDA WALIOUZA SHAMBA LA UVFISIEM IGUMBILO NA HATA WALIOGAWANA APARTMENT PALE UVFISIEM HQ
NDI HAPO SASA MWAMBIE SIE KINA FYOKOFYOKO TUNANENEPA KWA KWA KULETA FYOKOFYOKO HAO MAFISADI UPANDE WAKE WAMENENEPA KWA KULA MIKONO YA KINA SUGU MBOWE TUNDU LEMA NA SARA MAALIMU SEIF WAMEMPANDIA PANTOON KUTOKA PALE MAGOGONI SAA HIZI MIE FYOKOFYOKO NAHESABIA BORITI KWA NJAA YA KUFUNGWA MDOMO NISISEME FYOKOMkuu usinichekesha bwana mafisadi hawafungwi nchi hii hata siku moja kila kiongozi fisadi. tokea lini panya akamfunge panya na wote wadokozi?