Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Tupo katika pilika pilika za usafiri wa kwenda ofsn

Ngoja tukikaa vzr tutakuja na Mashambukiz yenye Hoja nzito
 

Hivi zile kesi za kina Masamaki na wenzake zimeishia wapi?
 
Hilo swali mkaulizane ufipa. HAPA KAZI TU.
Mwenyekiti CCM JF
kweli ccm mmechoka, maskini ambao ndio mtaji wenu Leo hii mnawasaliti, laiti nguvu inayotumika kidhibiti chadema ingetumika kupambana na umaskini hakiyanani umaskini ungepotea kabisa.
 
Anaogopa zaidi ukawa na hasa chadema kuliko, kitu kingine chochote kile
 
Kwa tabia tulizonazo waafrika sijui kama tuta pata rais mwenye kukidhi matakwa ya wengi kama huyu!

Viva Magufuli!
 
Wewe ndio unaogopa, Rais hana sababu na wala hawezi kuogopa chochote jiangalie sana kijana.
 
Na bado....yaani hawa wanajiita wafanyabiashara wakubwa....hii nchi sio yenu ni ya watanzania wote!
 
Awaogope mafisadi asiwape nafasi hata chembe ingekuwa korea ungeamuru wapigwe bomu
 
Ss hivi ni mwendo wa kujikosha tu kama ulivofanya wewe.
 
Another super thread
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…