Tonic water
JF-Expert Member
- Aug 29, 2016
- 219
- 99
Bado nafikiria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NitaMwambia asante Rais sasa hivi tunaheshimiana mtaani.Ntamshukuru kwa kurudisha heshima kwa jamii.
Huu ni uchochezi!!Nitamwambia ammpe tuzo jaji Lubuva kama yeye alivyomshauri Shein ampe tuzo Jecha
Pia akumbuke wananchi wanachagua viongozi kwa kura ila tume inachagua kwa masilahi
Safi hii nimeipenda mkuu!!Ntamshukuru kwa kurudisha heshima kwa jamii.
Kwanza mimi nitamshukuru sana kwa uongozi wake!ameleta heshma sana kwenye hii nchi!!alafu nitamwambia ajaribu kumwiga yule wa korea kaskazini zile sheria zake.!!alafu atie saini wale wote wenye kutakiwa kunyongwa asaini wapigwe kitanzi!!MH RAIS AKIKUPA NAFASI YA KUONGEA NAE LEO JAPO KWA DAKIKA MOJA TU,
JE UTAMWAMBIA NINI? PAMOJA NA...PONGEZI,USHAURI HATA MAOMBI n.k
Angalizo..maneno ya staha ni muhimu.
Nitamwambia kuwa Majiji makubwa hapa nchini, kama vile Dar, Arusha, Mbeya na Tanga, wananchi wa majiji hayo wamechagua Ukawa uongozi majiji hayo.MH RAIS AKIKUPA NAFASI YA KUONGEA NAE LEO JAPO KWA DAKIKA MOJA TU,
JE UTAMWAMBIA NINI? PAMOJA NA...PONGEZI,USHAURI HATA MAOMBI n.k
Angalizo..maneno ya staha ni muhimu.
Ningejibu kwa dhati lakini sina mil. 7MH RAIS AKIKUPA NAFASI YA KUONGEA NAE LEO JAPO KWA DAKIKA MOJA TU,
JE UTAMWAMBIA NINI? PAMOJA NA...PONGEZI,USHAURI HATA MAOMBI n.k
Angalizo..maneno ya staha ni muhimu.
Mkuu unaishi kurudi nyuma au? 2015 ipi tena?Nitamwambia SINA CHA KUKUAMBIA nasubiri 2015 ifike.Asante.