Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Marais waliomtangulia walijuvunia kukua kwa democrasia je yeye anajisikiaje akiambiwa democrasia imedidimia? Je anajua kuwa hakuna maendeleo kama hakuna democrasia?
Wewe ndiye uliyedidimia kidemocrasia.
 
Nitamwambia wapinzani ni watanzania , chuki kwa watu wanaompinga aziondoe. Akubali kukosolewa yeye ni binadamu mkosefu.
La mwisho uongoz ni kushirikiana na si kujitizama yeye
 
Ntamwambia kwenye hotuba zake nyingi anatumia lugha isiyo ya staa kama mkuu wa kaya ajitaidi kuwa na akiba ya maneno hotuba zake nyingi zinaacha mtifuano mitaani na haziwezi kuwekwe kwenye history kwa Faida ya vizazi vijavyo ajaribu kusikiliza hotuba za mwalimu mpaka Leo mtu unatami kuzikiliza na hazichoshi
 
Ntamkumbusha akiwa jukwaani asiongee kufurahisha wasikilizaji. Aongee vitu vyenye kufikirika na vyisivyo na madhara kwa taifa
 
Nitamshauri raisi kuna viwanda vingi ambavyo vilikufa kutokana na sababu mbalimbali mfano Tanga. hivyo basi katika safari hii ya viwanda kufanyike tafiti za kuweza kufufua viwanda hivi na kuviboresha kwa teknolojia ya kisasa.
 
MH RAIS AKIKUPA NAFASI YA KUONGEA NAE LEO JAPO KWA DAKIKA MOJA TU,

JE UTAMWAMBIA NINI? PAMOJA NA...PONGEZI,USHAURI HATA MAOMBI n.k

Angalizo..maneno ya staha ni muhimu.
Ningemshauri swala la Tanzania ya viwanda ahusishe sana wadau na wataalam wa mipango kabla ya kuingia mikataba ili kupunguza uwezekano wa kuwa na viwanda white elephants.
 
Ntamuambia kwamba, kwa sababu yeye ni msema kweri na ni mpenzi wa Mungu, atuweke wazi kuhuxu mikata ya madini, gas na mafuta.
 
Nitamshauri atekeleze kauli mbiu yake ya HAPA KAZI TU,.

Apige kazi, awaache wanasiasa wa upinzani wapige kazi tu maana siasa ni kazi yao; sisi tutampima kwa kazi tu sio kwa kupambana na upinza.

Vv
 
Kuongea na RAIS sio kutenda kosa usiogope...
Inategemea na nitakachokisema kwa dhati na jinsi gani atakichukulia. Ukweli wa mtazamo wangu unaweza kuwa uchochezi kwa maono yake na hapo mil 7 itanihusu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…