Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Mimi napenda akanyagie hapo hapo na ikibidi aongeze makali ili watu waisome namba vizuri na wajute kuzaliwa na kukutana na awamu hii. Ikishakuwa hivyo akili itaingia vichwani na akili hiyo itakuwa msaada sana katika uchaguzi mkuu ujao.
Mkuu walizoea kuwa na vibur sasa ngoja wanyoke mana unakuta hata shule hamna lakin mtu kajaa kibur tele
 
Auna akili kwa iyo wewe unafuraia vijana wanazidi kumaliza chuo na ajira zimesitishwa
 
WHO KNOWS TOMORROW??
In 1985, Dasuki arrested Buhari.
In 2016, Buhari arrested Dasuki.
In 1995, Al Mustapha arrested Obasanjo on the order of General Abacha.
In 1999, Obasanjo arrested Al Mustapha and he was jailed for 8 years.

In 2005, Diego Simeone was under Fernando Torres. Torres was the Club Captain despite being far younger than Simeone; but He did what Torres ordered.

In 2016, Diego Simeone is now Fernando Torres coach. Torres now takes orders from Simeone.

In the 90's under Rawlings regime Dr. Spio Gabriel was the minister of communications and Mahama was his deputy.

Today John Mahama is the President and has employed his former boss as minister.

Life is like a COIN thrown up in the air. You can't really predict which side will turn up.

NO ONE STAYS ON TOP FOREVER. IT'S JUST A MATTER OF TIME AND SEASON.

That Person you Despised/Ridiculed/Treated like shits and act like GOD over today, may have control over your Life/Career or Save your head tomorrow. NO ONE KNOWS TOMORROW!.

Treat everyone with respect and show some kindness because there will always be a tomorrow. Be good to all!

A Boss today might become a Subordinate tomorrow bacause there's no parmanent state in life.

ALWAYS USE YOUR POWERS AND POSITIONS CAUTIOUSLY AND FOR THE BENEFIT OF ALL.

Always stand for what is right, fair and just.
Like Mugabe said: "...treat the towel with care because the same place you used in cleaning your bottom today might be the same place you will use in cleaning your face tomorrow."

REMEMBER THIS, NO ACT OF KINDNESS IS A WASTE! OUR PRIME PURPOSE IN LIFE IS TO HELP OTHERS AND IF YOU CAN NOT HELP THEM, AT LEAST DO NOT HURT THEM! -
 
Nimemkumbuka baba wa taifa mwl. Nyerere, Raisi asiyefuata sheria na katiba ya nchi hatujui kesho mke wake atamwambia nini
 
hii fursa adimu mno, yangu ni matano

1. Nyerere alidhamiria kuijenga bongo kuwa heaven kupitia ujamaa ila wasaidizi wake baadhi aidha hawakuwa competent enough, au hawakumwelewa na dira yake nzima au labda walimwangusha i do not know so it is a big lesson to him too! namuasa asimuamini kabisa msaidizi wake yoyote (ila hii iwe moyoni tu asiiseme) na awe anawapima wasaidizi wake performance regularly (kila 3 months wampe ripoti ya kazi zao na waprove kuwa watu sahihi kwa kazi walizopewa ) na anaezembea asimuoneee aibu amuondoe haraka bila kuchelewa

2. Elimu na technology ni engine ya maendeleo ya nchi yoyote, namuomba mkuu awalipe walimu vizuri zaidi ya sasa na aboreshe miundombinu mashuleni na vitabu viwe vya kutosha mashuleni na viboko vifutwe! mi naamini binadamu si ng'ombe wa kupigwa pigwa ovyo. watoto wanachukia shule , wanachukia elimu na walimu wao , wanachukia english na hisabati masomo muhimu sababu ya viboko! namuomba afumue haraka mitaala ya elimu ya sasa yote , awashukie watu wa taasisi ya ukuzaji mitaala watafakari mitaala yao inaleta watu wa namna gani maofisini na mitaani! kila mtoto sasa anataka kuwa msanii wa bongofleva tu! kila muajiriwa mpya anataka miezi sita tu ya ajira awe na nyumba na baloon! mi naona hii mitaala ya sasa inajenga jamii ya mafisadi na wapiga dili wa baadae tu!

3. Abane pesa zaidi ya sasa na matumizi yasiyo ya lazima serikalini yaondolewe yote , abane mianya yote ya rushwa na ufisadi , akomeshe ujambazi na ujangili vibaki historia na asijali kabisa mayowe ya watu kuwa hali ngumu kwa maana baada ya muda mrefu kidogo (maybe 2 to 3 years ) ubanaji huu wa mission town ndo utaleta matunda na faida kubwa kwa nchi na utaibua utamaduni mpya na bora kwa wabongo , utamaduni wa kufanya kazi kwa bidii bila kuchagua kazi na bila kuona aibu ya kazi yoyote ilimradi watoto na mke wapate MENU! kwasaasa kizazi hiki tumejaa uvivu, tunashinda vijiweni na kucheza pool table na bao, tunataka pesa za haraka haraka kwa njia za ujanja ujanja, tunapenda udalali , showing off, kupiga mizinga wapiga dili , wizi na ufisadi! na tukifika mahali hakuna baba au kijana anaona aibu kubeba zege au kuuza karanga mitaani , hapo sasa ndio penyewe mkuu akusanye kodi za kutosha kwa kila mtu hata anaeingiza 500 kwa siku japo hata 20! viwanda vikijengwa na tayari tukiwa na utamaduni mpya wa kupiga kazi bila aibu wala kuchagua kazi ndo tutaendelea, ila kwasasa tumejaa uvivu hata mtu umuwekee kiwanda mlangoni pake , ataenda kwanza kijiweni kubarizi halafu baadae ndo atakuja kiwandani kuzuga kuwa anapiga kazi!

4. aondoe ushirikiano wa kiuchumi na wazungu achukue wachina! unyonyaji wa wazungu kupitia riba za mikopo yao ni sumu ya maendeleo!

5. wageni wanaoishi bongo bila vibali vya kuishi na kufanya kazi waondolewe kila ofisi warudi makwao, vitambulisho vya taifa viharakishwe! wageni ni hatari kwa usalama na uchumi wa nchi, wanachuma bongo , wanawekeza makwao!
Hii imekaa kinadharia kweli. Unamsimika Nyerere ushindi wa mabadiliko yaliyoshindwa. Nyerere failed on the outset. Hakuna cha wasaidizi wala blah blah. The policy was poor and impracticable. We lost so many years under his watch.
Kusingizia uwekezaji na wageni ni kujiwekeza kwenye visababu. We as a national ujinga wa siasa za kijamaa ndio unatukwamisha.
Elimu ni tatizo. Ninakubaliana na wewe. Ila kodi kwenye tshs 500 ni kutokuelewa falsafa ya kodi. Kwamba mtu hata nauli hana ya kwenda kuuzia karanga, unadai kodi.
 
Kwahiyo nia yako ni kutaka tujue kuwa unampango wa kununua kiwanja ila hela ilikuwa haijatoshea na sasa unabembelezwa? Je kama anauza kwa kuwa na shida binafsi au ana matatizo? Au kwako we unadhani magufuli ameathiri kila mtu?
Najua sababu mjomba kabana nam nasema ashikilie hapohapo wanyooke
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
 
Kaa usubirie hiyo December kama na chenyewe kitakusubiri uone kama hujaenda nunua kishumundu ama kilindi
Wenye jeuri ya kununua viwanja mbweni kwa asaiv tupo wachache ndo mana kaning'ang'ania mimi mkuu
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une. ..
 
Many adults are acting more like children. We need men to act like husbands and fathers. We need women to act like wives and mothers. We cant move forward acting backward.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom