Magufuli aliwaambia NHC wawatolee nje vitu wao Wapangaji wanaodaiwa Ndani ya Siku saba, Tena akakebehi, Kama "Yule Mjamaa" Nafikiri alisahau Kumalizia sentensi sijui ni kwa kuwa na Kazi nyingi, siju. Ila angekuwa Mkweli alingesema, "Kama Yule Jamaa tuliowatuma Mtupe vitu vyake nje"
Hilo sio langu leo Langu Ni Unnunuzi wa Ndege Mbili za ATC na Kufanya Mmiliki wake Kuwa serikali Ili Kukwepa Wadai wa ATC wasizichukue. Na Kadhalika Wazabuni wa Ndani, wanaolisha Shule za Sekondari, Wajenzi, Wasambaza madawa etc Wanaidai Serikali Madeni ya Karibu Trillion 4. Rais Mkapa alikuwa Mwaminifu Kulipa Madeni. Sasa Ukiwa Unamdai Mtu anakuambia Hela sina Nivumilie halafu Ukimfuatilia Unaona Akinunulia Watu Bia Clubuni na anafuungua Biashara kwa Majina Mwngine Huyu Utamwitaje, MTAPELI SIO?
Mh Magufuli, Ulitoa Siku 7 Kwa wadaiwa wa NHC Kuipa au watolewe nje, ingawa najua ilikuwa kujikosha kwa Uhuni wa siasa Uliomfanyia Mbowe, Na wewe Basi? Nakusihi, Ndani ya Siku saba, Lipa Wazabuni wa Ndani Pesa zao, by the way wakizipata na Kuzitumia Zitazunguka.
By the way Siku saba Ziliisha zamani, Mbona sijasikia Mali za Wengine zimetrupwa Nje na NHC au Wote Wameshalipa? Unafiki Unanuka Kama Mzoga!