Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kila kitu,Rais anasema tuwe wazalendo kwa kusifia vya kwetu,hii ni ngumu sana kwa sababu hivyo vitu anavyotaka tujivunie vingi ni vibovu na vya hovyo ingawa ni vya serikali. Hii haihitaji mganga ili kujua kua shule hospitali pamoja na mashirika mbalimbali ya binafsi ni bora mara dufu kuliko ya serikali. Kwani uzalendo ni kusifia k2 chako hata kama cha hovyo?
Akiwa TCRA ndiye aliidhinisha kununua mtambo wa TTMS ambao hauwezi kucharge simu za ndani, akatumbuliwa na JPM hivi majuzi, akiwa TANESCO aliboronga Bodi ikavunjwa na MuhongoWadau habari,
wote tumeshuhudia ubunifu na uchapakazi wa huyu Profesa Semboja tangu akiwa mwenyekiti wa bodi za mashirika kadhaa mfano Tanesco na TCRA. Aidha, katika kutekeleza majukumu yake ametoa mchango wake kama mtaalamu wa uchumi katika kuboresha tija katika taasisi alizopitia.
Nawasilisha.
na yeye ana tabia ya kujenga masji d maofisini kama yule wa ene eth eth efu?Dini yake itamcost
na yeye ana tabia ya kujenga masji d maofisini kama yule wa ene eth eth efu?