Hapokei vimemo ila anashaurika...said by Makamba seniorTumshauri nini sasa wakati mtu mwenyewe hashauriki?
Angekua anachukia asingekuwa anaingia na kusomamwenzio anachukia mitandao ya kijamii we unajifanya kumshauri kupitia social network.
Endelea kumuombea na omba pale ambapo unaona kunamakosa na Mungu ni Mwaminifu atatendaUshauri wangu kwa raisi ni kwamba, aruhusu bunge lirushwe moja kwa moja, mikutano ya kisiasa ya wazi, busara na hekima vitumike katika maamuzi na siyo ubabe. Neno la Mungu linasema hivi, ''heri wale wapatanishi maana wataitwa wana wa Mungu''. Awe mpatanishi na siyo mchonganishi hasa kwa suala la Zanzibar.
kwa hyo rais MWONGO amedanganya?Angekua anachukia asingekuwa anaingia na kusoma
Atalifanyia kaziSerikali yake iache kuwagawa watanzania kwa itikadi za kisiasa, hatukuwahi kutengwa kisiasa kama awamu hii, unamruhusu Lipumba anafanya mikutano ya hadhara kwa ulinzi wa jeshi la police wakati kuna zuio la police na halijatenguliwa, wakati huohuo unakataza vyama vingine kufanya mikutano ya hadhara, sisi tunaweza tusiwe na uwezo wa kuihukumu serikali yetu ila tunaamini Mungu anawaona.
Yupo humu humu....Namshauri ajiunge na JF
Unaumwa wewAifute jf
A verify account yake.Yupo humu humu....
Faiza katokomea toka wanna msoga. Wapigwe pini channel za madeal