Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Wenzetu wanalilia uraia pacha waendeleze nchi, nayo iwe moja ya anayotakiwa kufanya, walete pesa na maendeleo nchibi.
 
Yote hayo yatafanyika. Tuwe na subira
Kwa jins mlivyofirisika mtaanzaje kwa mfano?
Kwa muujiza gani mtatumia?
Hakuna pesa, meshafirisika nyinyi.
Tunasubiria uhakiki wa vyeti vya ndoa na vya ubatizo
 
tuwe wavumilivu rais anania njema na watazania wa hali ya chini!
kila kitu kitaimarika tu na maisha yatarejea katika hali yake

uhakiki utapita mambo mazuri yanakuja, muda wa mwaka mmoja sio wa kukata tamaa jamani
 
Habari za muda wakuu!
wapinzani wameonekana bado wananguvu na wanajitaidi kujiongezea wafuasi siku zinavyozidi kusonga katika utawala huu wa JPM.

Nauhakika watanzania wengi kwa sasa wanaisoma namba ila Dr Magufuli akitimiza mambo mawili tu basi watanzania watasahau kadhia zote hizi wanazozipitia kwa sasa

1 Mh rais akiruhusu kibali cha ajira mpya na mfumo ukarejea kama kawaida kuajiari wahitimu wa vyuo, zaidi katika sekta ya elimu na afya.

2 kupandishwa madaraja kwa wafanyakazi, kulipwa madai yao na ongezeko la mishahara.

NB
Huku mitaani namba itaendelea kusomwa kama kawaida hata kama mambo yatarejea kama kawaida
Hawezi kufanya hayo kwa sababu anajiaminia polisi....sijui kama hao polisi watampa kura 2020!!
 
Pesa hizo zitatoka wapi kuajiri na kulipa waliopanda madarajs wakati hata za kununua dawa hakuna?
 
Habari za muda wakuu!
wapinzani wameonekana bado wananguvu na wanajitaidi kujiongezea wafuasi siku zinavyozidi kusonga katika utawala huu wa JPM.

Nauhakika watanzania wengi kwa sasa wanaisoma namba ila Dr Magufuli akitimiza mambo mawili tu basi watanzania watasahau kadhia zote hizi wanazozipitia kwa sasa

1 Mh rais akiruhusu kibali cha ajira mpya na mfumo ukarejea kama kawaida kuajiari wahitimu wa vyuo, zaidi katika sekta ya elimu na afya.

2 kupandishwa madaraja kwa wafanyakazi, kulipwa madai yao na ongezeko la mishahara.

NB
Huku mitaani namba itaendelea kusomwa kama kawaida hata kama mambo yatarejea kama kawaida


UNAZUNGUMZIA WATANZANIA WAAJIRIWA WA SEREKALI AU ?
 
Kwavile wewe umemaliza chuo sio..? sisi tunataka mikopo yetu, na kuhusu babu yangu aliyepata janga LA tetemeko bukoba NI lini ataacha kulala nje pamoja na kazia ya mvua na baridi usiku au zile pesa za maafa ndo zinajenga kale ka uwanja chato
 
tuwe wavumilivu rais anania njema na watazania wa hali ya chini!
kila kitu kitaimarika tu na maisha yatarejea katika hali yake

uhakiki utapita mambo mazuri yanakuja, muda wa mwaka mmoja sio wa kukata tamaa jamani
Umetokea mochwari gani? Mbona una mabarafu usoni..![emoji317]
 
Kwavile wewe umemaliza chuo sio..? sisi tunataka mikopo yetu, na kuhusu babu yangu aliyepata janga LA tetemeko bukoba NI lini ataacha kulala nje pamoja na kazia ya mvua na baridi usiku au zile pesa za maafa ndo zinajenga kale ka uwanja chato
kweli kabisa mikopo hapo pia wanapewa wenye mahitaji maalum
 
Habari wana jamii wenzangu matumaini yangu ni kuwa sasa Tumejipumzisha na kusubiria weekend ianze lakini nina wakumbusha haya,
Je ungepata fursa ya kupewa microphone pale ikulu kuuliza swali kama wenzako walivyopata fursa hii ungemuuliza swali gani?
Kabla ya kuhainisha maswali ambayo ningemuuliza kwanza tuone makundi ambayo yanapata fursa ya kumhoji mheshimiwa Rais na wanaishia kujikanyaga tu wakati katamka anataka wa kumchalenge postively , saa nyingine wakishindwa kuuliza maswali muhimu kwa kuogopa nini sijui,

Kundi la kwanza ni BUNGE Waandishi wa habari nwametuaminisha kuwa baadhi ya wabune na bunge kwa ujumla linamuogopa mheshimiwa na pengine wanapopata fursa wanashindwa kuitumia kuuliza mambo ya msingi,

Kundi la Pili ni .MAWAZIRI mheshimiwa aliwahi kusema kuna mawaziri wanalalamika chini chini juu ya baadhi ya maamuzi yake, lakin hawajitokez kumshauri,

Sasa kundi la Tatu ni waandishi wa habari wamekuwa waoga mno ni aibu kwa wandishi wa habari. mekuwa kuwa mkisema juu ya Mawaziri kumuogopa Magufuli, sasa nao wameonekana kuwa miongoni mwa kundi linalomuogopa mheshimiwa Magufuli, unapataje fursa ya kukutana na Rais Magufuli akakuruhusu kumuuliza swali ukashindwa kuuliza yafuatayo?
NAANZA MASWALI YANGU OPENLY
1.Mheshimiwa Rais kuna tetesi kuwa ugumu wa uongozi wako unaletwa na mazingira mabovu uliyoachiwa na mheshimiwa KIKWETE na we umekuwa ukilalamika sana juu ya kwamba nchi imekuwa shamba la bibi, sasa mheshimiwa kutokana na kauli hizo je
a. unaweza kutuhakikishia vipi kuwa kuna kuhusika direct katika kutengeneza mazingira hayo magumu mpaka inakutesa wewe kuanza kusafisha upya?
b. katika juhudi zako za kusafisha nchi kuna sehem viongozi wa ngazi ya juu wa serikali ya awamu iliyopita wanavyokukwamisha au kuna jinsi unavyopata kigugumizi juu ya ilo?

2. Swali langu la pili ni kuhusu IPTL, mheshimiwa rais unazungumziaje suala la IPTL mkataba wa kihuni ambao umetuingiza hasara kubwa sana watanzania ,au kuna mkono wa mkubwa yeyote ambaye anakwamisha suala ili?

3. Kuhusu Elimu , mheshimiwa rais hivi kuna hathari yeyote ukiamua wewe na wataalamu wa elimu kwa mamlaka uliyonayo kuviangalian upya baadhi ya vyuo na taasisi ziziso kidhi vigezo ili kutengeneza mazingira kwa watu walio serious katika masuala ya uwekezaji kwenye elimu wakafanya hivyo? na ambavyo havikidhi vigezo kufungiwa bila kuingiza siasa?

4. Kuna Uwezekano wa kurejea upya mikataba juu ya uuzwaji wa nyumba za serikali kwa awamu ya uongozi wa mheshimiwa mkapa? ili kama kuna watu walipata nyumba katika mazingira yasiyoeleweka either warejeshe au walipe, na pia shirika la nyumba likatoa maelezo juu ya kwanini mazingira kama hayo yalijitokeza?

5.Mheshimiwa Rais swali ili linahusu AJIRA KWA VIJANA NA UHAKIKI, lina vipengere 3
a.mheshimiwa umejihakikishia vipi kuwa uhakiki unaoendelea hautochelewa tena na kusababisha ajira kuendelea kusubiriwa?
b. Je hakuna njia yeyote ambayo inaweza ikaundwa bodi ikibidi we uisimamie mwenyewe ianze mechanism ambayo itafanya uajiri bila kuleta Contradictions na kuvuruga zoezi la uhakiki uku zoezi la uhakiki likiendelea?
c. mheshimiwa kwanini zoezi la uhakiki lisiwe la miaka yote ili kuzuia kumaliza kuhakiki hapa wakingiza ujanja, ? yaan zoez la uhakiki liwe la miaka yote uku shughuli nyingine zikiendelea, maana haimaanishi kuwa uhakiki ukiisha ni kuwa pamesafishika hundred percent,


nimeishia hapo nakabidhi microphone


pia nina uhakika mheshimiwa atapitia uzi huu naomba muulize maswali mengine yasiyo ya uchochezi,

pia naomba JF MODERATORS MSIUNGANISHE UZI HUU MHESHIMIWA ATAUPITIA PLEASE,
 
Boss, ushaambiwa, Hajaenda (Ngosha) Ikulu kufukua Makaburi.
Au mpaka utafuniwe maana halisi ya Maneno haya?
Na akaenda mbali zaidi, kwa kusema akiyafukua hayo Makaburi, atashindwa kuyafukia.
Zaidi akakupa mfano wa Pesa za Kiwanda kuliwa, akasema Hakuna cha Kiwanda wala Pesa za Kiwanda.



Habari wana jamii wenzangu matumaini yangu ni kuwa sasa Tumejipumzisha na kusubiria weekend ianze lakini nina wakumbusha haya,
Je ungepata fursa ya kupewa microphone pale ikulu kuuliza swali kama wenzako walivyopata fursa hii ungemuuliza swali gani?
Kabla ya kuhainisha maswali ambayo ningemuuliza kwanza tuone makundi ambayo yanapata fursa ya kumhoji mheshimiwa Rais na wanaishia kujikanyaga tu wakati katamka anataka wa kumchalenge postively , saa nyingine wakishindwa kuuliza maswali muhimu kwa kuogopa nini sijui,

Kundi la kwanza ni BUNGE Waandishi wa habari nwametuaminisha kuwa baadhi ya wabune na bunge kwa ujumla linamuogopa mheshimiwa na pengine wanapopata fursa wanashindwa kuitumia kuuliza mambo ya msingi,

Kundi la Pili ni .MAWAZIRI mheshimiwa aliwahi kusema kuna mawaziri wanalalamika chini chini juu ya baadhi ya maamuzi yake, lakin hawajitokez kumshauri,

Sasa kundi la Tatu ni waandishi wa habari wamekuwa waoga mno ni aibu kwa wandishi wa habari. mekuwa kuwa mkisema juu ya Mawaziri kumuogopa Magufuli, sasa nao wameonekana kuwa miongoni mwa kundi linalomuogopa mheshimiwa Magufuli, unapataje fursa ya kukutana na Rais Magufuli akakuruhusu kumuuliza swali ukashindwa kuuliza yafuatayo?
NAANZA MASWALI YANGU OPENLY
1.Mheshimiwa Rais kuna tetesi kuwa ugumu wa uongozi wako unaletwa na mazingira mabovu uliyoachiwa na mheshimiwa KIKWETE na we umekuwa ukilalamika sana juu ya kwamba nchi imekuwa shamba la bibi, sasa mheshimiwa kutokana na kauli hizo je
a. unaweza kutuhakikishia vipi kuwa kuna kuhusika direct katika kutengeneza mazingira hayo magumu mpaka inakutesa wewe kuanza kusafisha upya?
b. katika juhudi zako za kusafisha nchi kuna sehem viongozi wa ngazi ya juu wa serikali ya awamu iliyopita wanavyokukwamisha au kuna jinsi unavyopata kigugumizi juu ya ilo?

2. Swali langu la pili ni kuhusu IPTL, mheshimiwa rais unazungumziaje suala la IPTL mkataba wa kihuni ambao umetuingiza hasara kubwa sana watanzania ,au kuna mkono wa mkubwa yeyote ambaye anakwamisha suala ili?

3. Kuhusu Elimu , mheshimiwa rais hivi kuna hathari yeyote ukiamua wewe na wataalamu wa elimu kwa mamlaka uliyonayo kuviangalian upya baadhi ya vyuo na taasisi ziziso kidhi vigezo ili kutengeneza mazingira kwa watu walio serious katika masuala ya uwekezaji kwenye elimu wakafanya hivyo? na ambavyo havikidhi vigezo kufungiwa bila kuingiza siasa?

4. Kuna Uwezekano wa kurejea upya mikataba juu ya uuzwaji wa nyumba za serikali kwa awamu ya uongozi wa mheshimiwa mkapa? ili kama kuna watu walipata nyumba katika mazingira yasiyoeleweka either warejeshe au walipe, na pia shirika la nyumba likatoa maelezo juu ya kwanini mazingira kama hayo yalijitokeza?

5.Mheshimiwa Rais swali ili linahusu AJIRA KWA VIJANA NA UHAKIKI, lina vipengere 3
a.mheshimiwa umejihakikishia vipi kuwan uhakiki unaoendelea hautochelewa tena na kusababisha ajira kuendelea kusubiriwa?
b. Je hakuna njia yeyote ambayo inawezwa ikaundwa bodi ikibidi we uisimamie mwenyewe ianze mechanism ambayo itafanya uajiri bila kuleta Contradictions na kuvuruga zoezi la uhakiki uku zoezi la uhakiki likiendelea?
c. mheshimiwa kwanini zoezi la uhakiki lisiwe la miaka yote ili kuzuia kumaliza kuhakiki hapa wakingiza ujanja, ? yaan zoez la uhakiki liwe la miaka yote uku shughuli nyingine zikiendelea, maana haimaanishi kuwa uhakiki ukiisha ni kuwa pamesafishika hundred percent,


nimeishia hapo nakabidhi microphone


pia nina uhakika mheshimiwa atapitia uzi huu naomba muulize maswali mengine yasiyo ya uchochezi,

pia naomba JF MODERATORS MSIUNGANISHE UZI HUU MHESHIMIWA ATAUPITIA PLEASE,
 
Boss, ushaambiwa, Hajaenda (Ngosha) Ikulu kufukua Makaburi.
Au mpaka utafuniwe maana halisi ya Maneno haya?
Na akaenda mbali zaidi, kwa kusema akiyafukua hayo Makaburi, atashindwa kuyafukia.
Zaidi akakupa mfano wa Pesa za Kiwanda kuliwa, akasema Hakuna cha Kiwanda wala Pesa za Kiwanda.
hapo sasa duh lakin asizunguke aseme direct
 
nina maswali mengi ya kuuliza,lakini najua hata nikiuliza hayatajibiwa zaid ya kuambiwa bado kuna changamoto na anahitaji kuombewa!!..sipendagi majibu mepesi na ya kipuuzi kama hayo ktk maswali yangu ya msingi..
 
nina maswali mengi ya kuuliza,lakini najua hata nikiuliza hayatajibiwa zaid ya kuambiwa bado kuna changamoto na anahitaji kuombewa!!..sipendagi majibu mepesi na ya kipuuzi kama hayo ktk maswali yangu ya msingi..
weka hata moja bas
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom