Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,556
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha muhimu kwake ni kuwasomesha wale ndugu zake wanaomzunguka bibi yake siku nzima wakiwa vifua wazi ili waje wamjenge nyumba ya kisasa yenye kila kitu ndani.Anauliza zina tija gani kwa bibi yake kule kijijini??
Mwambie hata tungechonga barabara,bibi yake hana gari maana ndio uwezo wake wa kufikiri umefikia.
The east african this deal is completely a nutsMwaga nyongo zako zote hapa,matapishi,kuhara,jasho,povu la mswaki,makamasi na kila kitu hapa.
Niko tayari kukusaidia
Wewe umefuata nn hukuHuu uzi haufai kuishi. Kumkosoa mtu sio kumchukia.
Na kwa taarifa yako mmeanzisha ukabila kwa kujaza wasukuma kila kona ,Hahah umeita Wachaga kijanja, ngoja tufanye sensa JM!
TukusaidiejeUchaga siyo tribe hivyo nikichokiandika hakiwezi kuwa tribalism!
Hahah umeita Wachaga kijanja, ngoja tufanye sensa JM!
Sio kukopesha tu pia serikali iondoe kodi zote zinazohusiana na gesi ya kupikia ikiwezekana pia itoe ruzuku kwa gesi ya majumbani ili iweze kumfikia mwananchi wa chini kwa bei ya chini zaidi kuliko hata gharama ya kuni.Kuwe na mpango wa kukopesha Maliki ya gesi na mitungi yake ili kuongeza watumiaji. Hili litapunguza matumizi ya kuni na mkaa.
Kama wataweza hili utakuja kukuta hata mti ukatike utaoza uwe mbolea hakuna atakae kata miti hovyo.Sio kukopesha tu pia serikali iondoe kodi zote zinazohusiana na gesi ya kupikia ikiwezekana pia itoe ruzuku kwa gesi ya majumbani ili iweze kumfikia mwananchi wa chini kwa bei ya chini zaidi kuliko hata gharama ya kuni.
Maendeleo hayana chama
Hahahaaaa ila mkuu jinsi anavyo kumaindi akisoma tu huu mchango wako ataongeza kodi makusudi ili akukomoe,Kama wataweza hili utakuja kukuta hata mti ukatike utaoza uwe mbolea hakuna atakae kata miti hovyo.
Tunakata miti our of desperation. Nishati mbadala ni kwa wenye uwezo tu.
Na sisi hatumpangii kuwa rais next term tunafunga na kuomba.Hahahaaaa ila mkuu jinsi anavyo kumaindi akisoma tu huu mchango wako ataongeza kodi makusudi ili akukomoe,
Maana anadai yeye hua hapangiwi
Maendeleo hayana chama