Hahahahaaa ila Sky na wewe unamkandia sana banaaaaaNa sisi hatumpangii kuwa rais next term tunafunga na kuomba.
Anipe ukatibu kata basi, mwambie vyeti vyangu vyote ni halali πHahahahaaa ila Sky na wewe unamkandia sana banaaaaa
Hebu siku mojamoja uwe unamsifia sifia inaweza kusaidia kumpunguzia maflastuesheni yake maana kila nikipigaga nae story hua anakutajataja.
Maendeleo hayana chama
Hahahaaaa kama we ni mweupe hata wizara utapewaAnipe ukatibu kata basi, mwambie vyeti vyangu vyote ni halali [emoji23]
Mimi nina rangi ya Oprah si fit in kanda ya Ziwa, kule kwa kina Asprin wanaangalia cv, kule nimetick box zote.Hahahaaaa kama we ni mweupe hata wizara utapewa
Wateuzi hua hatuangalii sana siivii si unamuona hata huyo mkusanya nauli kwenye daladala anajilia tu mema ya nchi.
Mzee Asprin asione hapa.
Maendeleo hayana chama
Haya banaaaa ila ndio unapishana na mema ya nchi.Mimi nina rangi ya Oprah si fit in kanda ya Ziwa, kule kwa kina Asprin wanaangalia cv, kule nimetick box zote.
Tunasubiri mema ya nchi kutoka Ikungwi mkuu. Maendeleo hayana chamaHaya banaaaa ila ndio unapishana na mema ya nchi.
Sky michango yako hua inanikoshaga sana sipati picha mngekua mnafanya kazi ofisi moja hilo balaa lake lingekuaje.
Maendeleo hayana chama
Hahahaaaa tuombe Mungu tuTunasubiri mema ya nchi kutoka Ikungwi mkuu. Maendeleo hayana chama
Miti itafeli kama vitambulishoCHADEMA watapinga
Wapande wanaccm ndio itaotaNawasalimu wote humu
Kwa muda mrefu huwa nawaza itakuwaje Mhe, Raisi wetu mpendwa akiamua kutoa maagizo kuhusu upandaji wa miti nchi nzima kwa utaratibu kama alioutumia kwenye madawati na maabara? Namaanisha yafuatayo:-
1) Awaite wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi wote nchi nzima na kufanya nao kikao maalumu kwa ajili ya upandaji wa miti nchi nzima.
2) Aweke mikakati isiyotumia gharama za pesa kutoka serikalini, kama alivyofanya katika ujenzi wa maabara na utengenezaji wa madawati; namaanisha kila kata wachague aina ya miti yenye faida maeneo husika, mfano Matunda, mbao, kivuli au hata miti ya asili (ambayo ni dawa kwa ajili ya kuifanya isitoweke).
Wakishaiaisha aina ya miti, waweke mikakati ya kuiotesha katika vitalu katika idadi kubwa sana kutokana na mahitaji ya eneo husika (naamini 100% inawezekana kwa sababu nimeshafanya kazi maeneo kama hayo).
3) Baada ya kuotesha kila kaya ipewe miti ipande maeneo yanayozunguka maeneo yao wanayoishi, mipaka ya mashamba, n.k mwanzoni kabisa mwa msimu wa mvua ili kuiwezesha miti ipate maji ya mvua na kupunguza kazi ya umwagiliaji.
4) Sheria kali kuhusu miti hiyo ziwekwe kwa wananchi kuhakikisha inakua, mf mti ukifa kwa sababu yeyote ile ya kizembe hatua kali za kisheria zichukuliwe vinginevyo kama kuna aliyeharibu aripotiwe katika ofisi au hata polisi kwa ajili ya uwajibikaji.
Nimeandika kwa kifupi ili kutoa picha kidogo jinsi ya kuifanya lakini, naamini inawezekana na inapendeza sana ikitekelezwa.
Naona waanze na Shinyanga, Mwanza na Tabora uoto wa asili ukirudi wafugaji watarudi maeneo yao na kupunguza kuiharibu Tanzania nzima. Naona sasa wameruhusiwa kufugia kila mahali na kulima kwenye vyanzo ya maji ni hatari kuliko vipindi vyote vya tawala zilizopita.Nawasalimu wote humu
Kwa muda mrefu huwa nawaza itakuwaje Mhe, Raisi wetu mpendwa akiamua kutoa maagizo kuhusu upandaji wa miti nchi nzima kwa utaratibu kama alioutumia kwenye madawati na maabara? Namaanisha yafuatayo:-
1) Awaite wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi wote nchi nzima na kufanya nao kikao maalumu kwa ajili ya upandaji wa miti nchi nzima.
2) Aweke mikakati isiyotumia gharama za pesa kutoka serikalini, kama alivyofanya katika ujenzi wa maabara na utengenezaji wa madawati; namaanisha kila kata wachague aina ya miti yenye faida maeneo husika, mfano Matunda, mbao, kivuli au hata miti ya asili (ambayo ni dawa kwa ajili ya kuifanya isitoweke).
Wakishaiaisha aina ya miti, waweke mikakati ya kuiotesha katika vitalu katika idadi kubwa sana kutokana na mahitaji ya eneo husika (naamini 100% inawezekana kwa sababu nimeshafanya kazi maeneo kama hayo).
3) Baada ya kuotesha kila kaya ipewe miti ipande maeneo yanayozunguka maeneo yao wanayoishi, mipaka ya mashamba, n.k mwanzoni kabisa mwa msimu wa mvua ili kuiwezesha miti ipate maji ya mvua na kupunguza kazi ya umwagiliaji.
4) Sheria kali kuhusu miti hiyo ziwekwe kwa wananchi kuhakikisha inakua, mf mti ukifa kwa sababu yeyote ile ya kizembe hatua kali za kisheria zichukuliwe vinginevyo kama kuna aliyeharibu aripotiwe katika ofisi au hata polisi kwa ajili ya uwajibikaji.
Nimeandika kwa kifupi ili kutoa picha kidogo jinsi ya kuifanya lakini, naamini inawezekana na inapendeza sana ikitekelezwa.
Tunachohitaji tu ni tamko la Mhe Raisi, ni tofauti na juhudi za waziri hazina nguvuNAUNGA MKONO HOJA KWA 100%,Nchi yetu baada ya miaka 50 mpaka 100 ijayo kuna hatari kubwa sana ya kugeuka jangwa..Maeneo mengi ya Nchi yetu yana uhaba wa miti..Sehem kama Morogoro ambapo zamani ilikuwa ikisifika kwa mito mingi inayotiririsha maji misimu yote iwe kiangazi,masika,vuli,kipupwe nk leo hii imekuwa hadithi za kusimuliwa kwenye vitabu..Watu wanakata miti sanaa na hovyo kwa ajili ya Mkaa na Mbao lakini hawajishughulishi ktk upandaji..January Makamba alianzisha kampeni nzuri ya upandaji miti kuanzia shuleni,kila mwanafunzi anakabidhiwa miche kadhaa ya miti na kuhakikisha anaisimamia hadi inakuwa sijui sasa imeishia wapi maana siiskii tena..Pamoja na kwamba kipaumbele kikuu cha serikali yetu kiko kwenye SGR lakini naamini kwa hili halihitaji pesa nyingi ili kuweza kulifanikisha..
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuko watu na tabia tofauti, bila nguvu anazotumia Mhe Raisi, nchi hii haiendiNafikiri tumejiaminisha kuwa kila jambo lazima afanye rais. Wananchi tukijiundia vikundi na kuchangishana kidogo hatuwezi kupanda miti?
Ta mjini kuna bustani na sehemu nyingi tu za kujipumzisha. Sidhani kama rais alikwenda kule na kuwaambia wafanye hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu watamsaidia, acha yeye awe bize na buku 7Hivi huwa unapata muda wa kumtom..b..a hata mkeo kweli? Au muda wote unaiwaza Chadema tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiniambie hata mkeo atatandika kitanda chenu kwa maagizo ya rais πππTuko watu na tabia tofauti, bila nguvu anazotumia Mhe Raisi, nchi hii haiendi
Jamani maisha vijijini ni magumu sana, itachukua mdaKama wataweza hili utakuja kukuta hata mti ukatike utaoza uwe mbolea hakuna atakae kata miti hovyo.
Tunakata miti out of desperation. Nishati mbadala ni kwa wenye uwezo tu.
Lakini angalau kuwewna mpango huo.
Hata bustani? Basi tukubali kuwa ni wafuTuko watu na tabia tofauti, bila nguvu anazotumia Mhe Raisi, nchi hii haiendi