Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Kuna watu wamekufa bila hatia yoyote na vifo vyao sio doa kwa taifa, ila mmoja tu anayejeruhiwa na kupona ndio doa kwa taifa!.Malipo hapa hapa duniani, mwisho wa ubaya aibu. Muda ni hakimu.
MHUBIRI 4:13 SUV
"Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu. ambaye hajui tena kupokea maonyo."
Usaliti, usaliti USALITI . Bukillo unaujua usaliti kweli wewe ?!. Waliokumbatia mikataba mibovu kwa wawekezaji ni wapinzani (Lissu) au ni viongozi wa serikali walioifanya siri isiyo na tija ?! Walionywa lakini hawakusikia la mtu. Mfano ni mikataba ya gas na mafuta 2015 . Walionywa waache dharura hawakusikia ushauri, leo Maghufuli analia na kusema ukweli kuwa kwa sheria Ile Gas na mafuta siyo yetu !!! Nani msaliti hapo ?!.Bado unarudia kosa lile lile la kumpandisha chati Lissu, unamuweka mahali ambapo hajapafikia.
Martin Luther hakuwa na sifa ya kuwasaliti wamarekani weusi iwe wakati wa shida iwe wakati wa raha.
Usaliti, usaliti USALITI . Bukillo unaujua usaliti kweli wewe ?!. Waliokumbatia mikataba mibovu kwa wawekezaji ni wapinzani (Lissu) au ni viongozi wa serikali walioifanya siri isiyo na tija ?! Walionywa lakini hawakusikia la mtu. Mfano ni mikataba ya gas na mafuta 2015 . Walionywa waache dharura hawakusikia ushauri, leo Maghufuli analia na kusema ukweli kuwa kwa sheria Ile Gas na mafuta siyo yetu !!! Nani msaliti hapo ?!.Bado unarudia kosa lile lile la kumpandisha chati Lissu, unamuweka mahali ambapo hajapafikia.
Martin Luther hakuwa na sifa ya kuwasaliti wamarekani weusi iwe wakati wa shida iwe wakati wa raha.
Hao watu waliokufa bila hatia wameuwa nahiyo serikali yako unayojaribu kuitetea, tunampigania Lissu kwa sababu ana kitu cha kusaidia nchi hii, yaani hao wabunge wenu wote wa ccm hawana, kama wapo waweza kuwa wawili watatu ambao nao wameshaamua kuweka pembeni Ufahamu wao na kuuvaa UfisiemKuna watu wamekufa bila hatia yoyote na vifo vyao sio doa kwa taifa, ila mmoja tu anayejeruhiwa na kupona ndio doa kwa taifa!.
JPM anafanya usanii kujifanya analalamikia Mikataba ibovu ya Uwekezaji wa Gas na mafuta ilhali na yeye alikuwemo kwenye baraza la mawaziri lililopitaUsaliti, usaliti USALITI . Bukillo unaujua usaliti kweli wewe ?!. Waliokumbatia mikataba mibovu kwa wawekezaji ni wapinzani (Lissu) au ni viongozi wa serikali walioifanya siri isiyo na tija ?! Walionywa lakini hawakusikia la mtu. Mfano ni mikataba ya gas na mafuta 2015 . Walionywa waache dharura hawakusikia ushauri, leo Maghufuli analia na kusema ukweli kuwa kwa sheria Ile Gas na mafuta siyo yetu !!! Nani msaliti hapo ?!.
Waueni kina Lissu na wapinzani wote wanaosema ukweli wawekeni jela , lakini bado si tiba ya Tz kuacha kunyonywa na wawekezaji.
UKWELI NI KUWA WASALITI NI VIONGOZI WA SERIKALI wanaoiuza nchi kwa 10%
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki kitu huwa kinanishangaza sanaHalafu kuna nyumba za ibada zinaruhusu watu hawa kuingia na kupakwa majivu !
Wewe wafahamu vizuri ni kwanini imekuwa doa kwa taifa! Ni vile tu una maslahi na username yako otherwise mwenye macho haambiwi tazama!Kuna watu wamekufa bila hatia yoyote na vifo vyao sio doa kwa taifa, ila mmoja tu anayejeruhiwa na kupona ndio doa kwa taifa!.
Utakapofiwa na mzazi au mtu mnayemtegemea Kama familia utarejesha majibuHuyu Lissu mnapandisha chati kupita uhalisia wa jinsi alivyo. Walipouawawa watu kibiti, mkuranga na rufiji ile haukuwa ni doa kwa taifa, mpaka mwanasiasa mmoja alipojeruhiwa ndipo linapokuwa ni doa kwa Tanzania.
Wale wapuuzi waliotaka kuanzisha nchi ndani ya nchi kama kina al shabab hawakuwa ni doa kwetu, ni mpaka mwanasiasa mmoja apigwe risasi ndipo tuite doa.
Acheni hizi siasa za uoga.
Aliyekuzaa Mbona hajatuomba msamaha kwa akili zako matopeUko alipo Lisu , wao Matusi ni kawaida ndiomaana wanaita uhuru wa kutoa maoni. Ila Lisu alipoa anza kumtuhumu JPM kuhusu kushambuliwa kwake, Mtangazaji alimuuliza anao ushahidi usiona shaka juu ya tuhuma izo ? Lisu alibaki Macho yana mtoka!! Kwakua hana uhakika ila dhamirayake ni kumchafua JPM ndio maana kila atakacho Post atatafuta namna ya kumtus JPM.
Tangu pale ata Wazungu alioenda kuwashtakia wakajua kwamba Lisu anetawaliwa na Mihemko kuliko uhalisia. Wakili anayejiita msomi hawezi kutuhumu watu hovyohovyo, mara Aseme kabudi katumwa,mara Ndugai anatumika, mara Masiringi katumwa yaani aamini kwamba ao anaosema wametumwa ni watanzania na wana maoniyao kuhusu Maswahibu yaliyo mkuta. Mdomo wa Lisu unafanya agombane na kala mtu.
Naamin ata awa anao watuhumu sasa panapo majaaliwa akija kuufahamu ukweli atakuja kuwaomba msamaa kama alivyofanya kwa Zito Kabwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo hao jamaa zake ndo wakamwamuru spika, lissu akifa azizikwe na bunge??Ungekuwa wewe katika hali aliyonayo ungerudi? Unaiharibu heshima yako kwa kuropoka ovyo!
Mkuu huyo mwanasiasa asikufanye ukapoteza hata uwezo wa kawaida wa kufikiri. Mimi sina Mama, alishafariki tangu 2001. Namshukuru Mungu Baba yupo hai.Utakapofiwa na mzazi au mtu mnayemtegemea Kama familia utarejesha majibu
Haya mambo kwa kuwa unalishwa na wazazi na wazazi wako wanalea wadogo zako huwezi kujua watoto wa lisu wangeishi vipi
Nakutakia haya uyaone ukiwa hai ili tuje tujadili
Tetrachlorophotophosphorylationaldehydechitridiomycotadiphynyl cynthaseHivi jik inaitwaje kikemia
Unamshauri JPM avunje katiba ili aingilie maamuzi ya mhimili Mwingine!!. Kinacho muumiza Lisu ni Kutochagua Lugha ya kuongea. Unaacha matibabu na kujiuguza, unaenda kutukana Viongozi. Inamsaidia nini Lisu Kumtukana Rais, Bunge, na Nchi kwa ujumla?
Lisu anapita ughaibuni na kuomba wafadhili wasitoe misaada ya maendeleo kwa Watanzania. Misaada ambayo inawasaidia watanzani wote alafu yeye anaomba achangiwe matibabu na watanzania haohao ambao ataki wasaidiwe. Lisu mdomowake uwe unachagua maneno ya kuongea maana kila anavyojaribu kuizamisha Tanzania anajikuta anazama mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee kipindi kile alikuwa ajajua bado ukubwa wa kiti chake alikuwa ataki ambiwa na kuongozwa nadhani sasa ashajua kuwa kiti chake kinaitaji maelekezo siyo kufanya anachoona yeyeMkuu tafuta video YouTube alipotoa hotuba Zanzibar, ambapo Seif alikataa kumpa Mkono Dr. Shein
Ndiyo utaijua roho ya Magu.