Zekidon
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,903
- 568
mnatuchosha sasa na huyo mtu wenu kila siku kutujazia servers tu hapa jukwaani, kama alikua na umuhimu huo wananchi wa jimbo lake wangeanza kuliona hilo, tafadhalini msituchoshe hii ni thread ya kumi sasa tunahesabu kuhusiana na mtu mmoja. hakuna mengine ya kujadili?