Nina wasiwasi na kiwango cha elimu yako itakuwa la7. Nimekuwa nikifatilia post zako hazina mshiko. Vipi afya ya mgombea urais kupitia ukawa?
kwi kwi kwiKwani Maalim Seif anatekeleza ilani ipi kama Makamu wa Rais wa Zanzibar?
Taifa limedhoofika kwa kuendekeza starehe za magari ya kifahari.chagua viongozi watakao kubali hata kutumia noah.
Kwani syo gari mbona liko comfortable tuWazo zuri. Lakini punguza jazba. Sio kila waziri atafaa kutumia Noah kulingana na aina ya kazi zake.
Noah ni mfano tu.lengo nikutumia mgari yanayolingana na uchumi wetu.ni ujinga kukopa pesa nje kununua magari ya kifahari
Hateuliwi sasa!
Nape NnauyeAkina nani wengine wanapinga ufisadi.....zaidi ya marehemu Deo (RIP) bro...hakuna mwanasisiemu (mbunge) mwenye ujasiri wa kusimama hadharani kukemea ufisadi
Kamwe hatoshinda..Kafulila atashinda kesi ya uchaguzi kwa hiyo hahitaji kuteuliwa na rais.