Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Magufuli naona bora ampe Lowassa wizara ya Elimu. Elimu itakuwa bure mpaka chuo kikuu 😜
 
Mheshimiwa Rais mteuliwa, kwa heshima na taadhima hili ni ombi binafsi kwako.

Nnaomba uhakikishe huyu mrembo wa ACT Bi Anna Mughwira unamuingiza bungeni na unampa wadhifa anaostahiki, huyu mama ni kichwa adhyim na adim kabisa.

Nimemfatilia mikutano yake mingi sana ya kampeni, anatoa vitu kichwani utafikiri ana word processor inayopanga na kuchuja anachokizungumza kutoka kichwani bila kusoma.

Halikadhalika leo kanifurahisha sana alipostukizwa na kutoa hotuba pale Diamond, ilikuwa fupi na imelenga points zote nzuri na ameeleweka vyema kabisa.

Anna heko sana na nitakuunga mkono katika siasa zako.

Yule mama ni kipusa aisee taifa letu changa haliwezi kukubali kupoteza kichwa kama kile kwa ushabiki wa vyama; apewe hata uspika wa bunge baada ya kuteuliwa ubunge wa nafasi kumi za rais
 
Magufuli naona bora ampe Lowassa wizara ya Elimu. Elimu itakuwa bure mpaka chuo kikuu 

Lowassa akipewa wizara ya Elimu atuza mpaka chaki za shule kwa jinsi alivyo mwizi. Hafai kuwa hata balozi wa nyumba kumi.
 
Humo kwa red, kuna mawaziri wakuu 2( 1 wa mkapa 1 wa kikwete) na wabunge walioteuliwa na mwenyekiti wenu 2 kwahiyo kama unavyosema ni sahihi basi waliowapa hizo nafasi watakuwaje ??????

Mzee Mwinyi yupo wapi kwenye list
 
Mheshimiwa Rais mteuliwa, kwa heshima na taadhima hili ni ombi binafsi kwako.

Nnaomba uhakikishe huyu mrembo wa ACT Bi Anna Mughwira unamuingiza bungeni na unampa wadhifa anaostahiki, huyu mama ni kichwa adhyim na adim kabisa.

Nimemfatilia mikutano yake mingi sana ya kampeni, anatoa vitu kichwani utafikiri ana word processor inayopanga na kuchuja anachokizungumza kutoka kichwani bila kusoma.

Halikadhalika leo kanifurahisha sana alipostukizwa na kutoa hotuba pale Diamond, ilikuwa fupi na imelenga points zote nzuri na ameeleweka vyema kabisa.

Anna heko sana na nitakuunga mkono katika siasa zako.

Kiutaratibu Magufuli akiwa kama rais anaweza akamteua Anna Mghirwa kama mbunge, lakini hawezi kumpatia nafasi ya uwaziri. Rais anatakiwa kunnda serikali yake kutoka kwa wabunge wa chama chake.
 
Cheo apate mtu aliyepata kura ELFU 68 aachwe aliyepata kura MILIONI 6.3?

Lazima itakuwa ni zawadi tu labda kama kuna kazi alipewa
 
Mheshimiwa Rais mteuliwa, kwa heshima na taadhima hili ni ombi binafsi kwako.

Nnaomba uhakikishe huyu mrembo wa ACT Bi Anna Mughwira unamuingiza bungeni na unampa wadhifa anaostahiki, huyu mama ni kichwa adhyim na adim kabisa.

Nimemfatilia mikutano yake mingi sana ya kampeni, anatoa vitu kichwani utafikiri ana word processor inayopanga na kuchuja anachokizungumza kutoka kichwani bila kusoma.

Halikadhalika leo kanifurahisha sana alipostukizwa na kutoa hotuba pale Diamond, ilikuwa fupi na imelenga points zote nzuri na ameeleweka vyema kabisa.

Anna heko sana na nitakuunga mkono katika siasa zako.

Kumbe na wewe unawafagilia Wakristu?
 
Mama alidharauliwa sana humu jf lakini Leo amekuwa bora kuliko mamvi ###HONGERA MAMA YANGU MH.ANNA ELISHA MGHWIRA
 
Kuna wananchi wawili ambao kama Magufuli atawateua kuwa wabunge atajijengea heshima sana mbele ya jamii nao ni huyo mama mwenyekiti wa ACT Anna Mughwira na Kafulila. They will add value to the bunge proceedings na hilo ndio la muhimu!!

kafulila hapana huyu aliyekuwa ana mnadi fisadi lowasa hapana aisee big NOOO
 
Wacheni unafiki jamani....mbona mmempa kura kiduchu? Nchi nzima huyo Mama mmempa kura elfu 98 tu katika kura halali milioni 15!
 
Cheo apate mtu aliyepata kura ELFU 68 aachwe aliyepata kura MILIONI 6.3?

Lazima itakuwa ni zawadi tu labda kama kuna kazi alipewa

mnataka muongezewe tena vit aisee
badala ya kuwapa wale wengine ili kuongeza democrasia
 
Mama Anna ni mtu wa Singida? Huwa naona wana Singida wana akili sana, based from niliosoma nao na ninaofanya nao kazi. She is the Best. Wampe nafasi atumikie Taifa

ACHENI UJUHA!! Si Alikuwa MWANACHAMA Wa CCM Huyo!!?? Je, ALIPOKUWA Ndani Ya CCM Alikuwa Hawamjui Au Hawamuoni?? Kwanza Kwa KUWAAMBIA WATANZANIA Wanataka KATIBA MPYA Iliyotokana Na MAONI Ya WANANCHI!!! Nani Anayeukubali Msamiati Ndani Ya CCM!!??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom