Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si msubiri kwanza sijaona category ya military/kijeshi kwenye JF... sasa maswala ya Kijeshi mnafanya siasa... du! kabaraza haka kanatisha....
Kwani Maalim Seif anatekeleza ilani ipi kama Makamu wa Rais wa Zanzibar?
katiba ya zanzibar
kama mishahara haitarekebishwa kufuatana na maisha yalivyo haiwezekani kuzuia rushwa kwani kila mtu atajitahidi kuongeza kipato kupitia kazi anazofanya
kama mishahara haitarekebishwa kufuatana na maisha yalivyo haiwezekani kuzuia rushwa kwani kila mtu atajitahidi kuongeza kipato kupitia kazi anazofanya[/QUOTE
Wala rushwa sugu hawana cha maboresho ya mishahara, mtumishi anapewa mshahara sh.1,000,000/= kwa mwezi still anaomba rushwa ya sh.3,000/=!
Katika baraza lake la mawaziri, tashtushwa sana iwapo waziri mkuu hatokuwa MWAKYEMBE na waziri wa nishati hatokuwa Prof. MUHONGO.
Hawa jamaa ni wasaidizi wa rais muhimu sana kwenda na kasi yake.
LUKUVI apewe wizara ya uchukuzi akashughulike na wizi pale.
Mambo ya nje, JANUARI MAKAMBA,
Spika, Zungu
Fedha, MIGULU.