Freedom tommorrow
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 1,795
- 1,131
Bado mapema sana kijana. Unakumbuka 1985 wakati wa serikali ya awamu ya pili?. Au ulikuwa mdogo?... alianza na "fagio la chuma baadae ikawa rukhsa"
Wewe unachofanya hapa ni kufuru.
Humpendi mtukufu rais wetu mpenda chaguo la mungu na allah mheshimiwa Joni Pombe Josefu Magufuli.
Utakufa na kijiba cha roho.
Bado mapema sana kijana. Unakumbuka 1985 wakati wa serikali ya awamu ya pili?. Au ulikuwa mdogo?... alianza na "fagio la chuma baadae ikawa rukhsa"
Bado mapema sana kijana. Unakumbuka 1985 wakati wa serikali ya awamu ya pili?. Au ulikuwa mdogo?... alianza na "fagio la chuma baadae ikawa rukhsa"
Asimfundishe rais kazi, anatafuta KICK, ili aje kutamba kwamba yeye ndo kamwambia au?
Yapo na mengine mengi tu, mimi nitataja moja. Pesa wanayochukua wabunge kama mikopo ya magari na pesa ya mafuta ifutwe mara moja. Watumie magari ya serikali, wakimaliza ubunge wao magari yatatumika kwenye idara zenye uhitaji.Ninakubaliana na Zitto kwa 100% kuhusu hili,naamini Dr Magufuli atayafanya hayo.
Nafikiri uzi wa Ushauri wa zitto usingeunganishwa Hapa ungeachwa uendelee watu wajadili mawazo ya zitto kama ni valid. UshaurI tu KWA MODS