Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Sio kiwanda cha kuzalisha matunda bali cha kutengeneza juisi.
Uliyosema ni kweli, wanakalishwa ili yaharibike na bei iwe ndogo.

Wewe umesomeka mkuu hongera sana kwa kujitambua
 
Sio kiwanda cha kuzalisha matunda bali cha kutengeneza juisi.
Uliyosema ni kweli, wanakalishwa ili yaharibike na bei iwe ndogo.

Sasa hii ni issue. Hayo ndiyo matunda ya ubepari. Kumbukeni ubepari ni unyama. Ila nafahamu kuwa awamu ya tano ya uongozi nchini itawakwamisha wengi. Zile kampuni zilizopo Dar es salaam zilizoajiri wale wahindi ambao hawajui hata Kiswahili zitaathirika.
 
Kama hawana agreement yeyote ya delivery watafute soko lingine.
Naamini kama magufuri upo makini kwa kuwapigania watanzania walala hoi ebu basi tembelea kiwanda cha kuzalisha matunda Azam mbagala ujionee jinsi watanzania wanaopeleka matunda yao kiwandani kuuza wanavyo firisika hapo kiwandani na kurudi makwao masikini.watu wanapeleka lori la embe au nanasi na wanakalishwa hapo nje zaidi ya siku 3 hadi 5 kabla ya kupokelewa matunda yao na matokeo yake matunda yanaoza.
 
Sasa hii ni issue. Hayo ndiyo matunda ya ubepari. Kumbukeni ubepari ni unyama. Ila nafahamu kuwa awamu ya tano ya uongozi nchini itawakwamisha wengi. Zile kampuni zilizopo Dar es salaam zilizoajiri wale wahindi ambao hawajui hata Kiswahili zitaathirika.


Hamna aliyebisha. Hiyo ndivyo comment yangu inavyosema, wewe umetoa ufafanuzi tu!
 
Azam wana kiwanda cha kuzalisha matunda?
What an advancement of technology!
Hii itasaidia wakulima kuacha kulima matunda na kuyazalisha viwandani.
 
Hiyo fitina sasa kwan lazima upeleke huko sinibiashara hiyo akitaka ananunua asipotaka basi sasa hapo unamzalimisha anunue usikute store yake ishajaa
Biashara ya perishables ina changamoto zake. Baadala ya Azam kutangaza kwa jumla kiwanda kinanunua mutunda na kupelekea msangamano ni busara zaidi angetumia suppliers wachache ambao order zinakwenda sambamba na uwezo wa kiwanda. Msibeza kabisa jamaa. Mali kuoza mtihani huchelewi kukata mtaji.
 
Naamini kama magufuri upo makini kwa kuwapigania watanzania walala hoi ebu basi tembelea kiwanda cha kuzalisha matunda Azam mbagala ujionee jinsi watanzania wanaopeleka matunda yao kiwandani kuuza wanavyo firisika hapo kiwandani na kurudi makwao masikini.watu wanapeleka lori la embe au nanasi na wanakalishwa hapo nje zaidi ya siku 3 hadi 5 kabla ya kupokelewa matunda yao na matokeo yake matunda yanaoza.

Kama yanaoza kwahyo juice tunakunywa za matunda ya kuoza?Kwahyo hata kama stock ipo ya kutosha achukue tu kuwafurahisha?we hujui biashara unadhani biashara ni siasa.
 
Biashara ya perishables ina changamoto zake. Baadala ya Azam kutangaza kwa jumla kiwanda kinanunua mutunda na kupelekea msangamano ni busara zaidi angetumia suppliers wachache ambao order zinakwenda sambamba na uwezo wa kiwanda. Msibeza kabisa jamaa. Mali kuoza mtihani huchelewi kukata mtaji.

Mkuu simlemind hiyo ni kweli kabisa watu wanakata mitaji ila kwa kuwa hili ni jukwaa huru wengine wanabeza
 
Kama yanaoza kwahyo juice tunakunywa za matunda ya kuoza?Kwahyo hata kama stock ipo ya kutosha achukue tu kuwafurahisha?we hujui biashara unadhani biashara ni siasa.

Mkuu kwa uwelewa wako kwani rais akienda pale anaenda kukifunga kiwanda au ni chachu ya kuboresha huduma? We ni mhaya wa wapi wa kiziba au karagwe?
 
Naamini kama magufuri upo makini kwa kuwapigania watanzania walala hoi ebu basi tembelea kiwanda cha kuzalisha matunda Azam mbagala ujionee jinsi watanzania wanaopeleka matunda yao kiwandani kuuza wanavyo firisika hapo kiwandani na kurudi makwao masikini.watu wanapeleka lori la embe au nanasi na wanakalishwa hapo nje zaidi ya siku 3 hadi 5 kabla ya kupokelewa matunda yao na matokeo yake matunda yanaoza.

Wewe acha upuuzi waki kwa tanzania hii hakuna mmiliki wa viwanda qnaywheshimu sheri za nchi kama azam uliza uambiwe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom