Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Status
Not open for further replies.
Hivi Azam anatumia Matunda halisi au anaagiza unga toka nje?juice yake haina vigezo.sukari tele na nzito kama uji hivi
 
Wewe acha upuuzi waki kwa tanzania hii hakuna mmiliki wa viwanda qnaywheshimu sheri za nchi kama azam uliza uambiwe

Wacha jazba fuatilia ndio uje kujibu na kama weww ni mgeni wa jukwaa basi rudi ulikozoea fb
 
Hivi Azam anatumia Matunda halisi au anaagiza unga toka nje?juice yake haina vigezo.sukari tele na nzito kama uji hivi


Anatumia fruit concentrate "pulp" kutoka India na pia anakamua matunda kwenye kiwanda chake cha Mbagala
 
Naona technology imekuwa sana Azam wana kiwanda cha kuzalisha matunda???
 

Km ndo hivo si upeleke mabichi yakaivie pale ndani ya hizo cku za kukaliswa?
 
Kupanga bei itakuwa imeenda too far, ila lazima uwekwe ulinzi kwa mpangaji hasa hili la kulipa kodi ya mwaka haikubaliki, ulipe kwa mwezi!!
 
Kwa kuchangia huo upuuzi wako inaonyesha jinsi ulivyo elewa nini kimesemwa
Wewe punguani kweli unatuambia Azam ana kiwanda cha kuzalisha matunda sasa hapa nani mpuuzi???
 
Wewe punguani kweli unatuambia Azam ana kiwanda cha kuzalisha matunda sasa hapa nani mpuuzi???

Kwa kuendelea kuchangia huo ujinga wako ni wazi kuwa umeelewa nini kinazungumziwa
 
Hayo matunda mpelekee Mbowe pale Ufipa atayachukua yote ndani siku moja utakuwa umeishalipwa pesa zako.
 
Mmawia hongera sana karibu kwa magufuli karibu ccm, achana na lile li chama la kichaga
 
Sio fitina .Ni jinsi ya kuona Kama raisi anaweza kusaidia wakulima kupata soko bila kupata hasara.Nafikiri si lazima Magufuli,hata waziri wa viwanda akisha chaguliwa anaweza kuweka mazingira mazuri kwa kuongea vizuri na mwenye kiwanda.Mbona Bhakressa mtu Powa Sana ?Utakuta usumbufu ni hawa waajiriwa tena wakiwa Wahindi ndo wasumbufu na dharau na kupenda kulalia wauzaji wakitafuta Sifa kwa Bhakressa.
 
Duh ! Eeeee bhana eeeee !!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…