Sijui kama unajua moja ya masharti ya kuuziwa kiwanda au shamba kutoka serikalini ni kuliendeleza bila kubadilisha matumizi.
Kweli wabaya wa hii nchi ni watanzania wenyewe.
Mkuu unataka serikali iache kuvifuatilia hivi viwanda na mashamba wajenge vingine?
Wazo zuri sana kiongozi
Sijui kama unajua moja ya masharti ya kuuziwa kiwanda au shamba kutoka serikalini ni kuliendeleza bila kubadilisha matumizi.
Kweli wabaya wa hii nchi ni watanzania wenyewe.
Mkuu unataka serikali iache kuvifuatilia hivi viwanda na mashamba wajenge vingine?
Watu watamuingiza Magufuli bonge la mkenge
Why awanyan'ganye bila kuuliza nini kimewafanya washindwe?
je kina nani hao watakao pewa baada ya kunyang'anywa?
wata qualify vipi kupewa?
serikali ikiamua iviendeshe itaweza?
kwa miaka mingapi vitaweza leta faida?
huu mkenge ni mkubwa sana...time will tell....
Kuna wananchi wawili ambao kama Magufuli atawateua kuwa wabunge atajijengea heshima sana mbele ya jamii nao ni huyo mama mwenyekiti wa ACT Anna Mughwira na Kafulila. They will add value to the bunge proceedings na hilo ndio la muhimu!!
Shirika la nyumba la taifa (NHC) kwa data za December 2014 lilikuwa linaingiza Bilioni 9.763 kama wastani kila mwezi kama faida. Na ni shirika la umma hili 100%. Kabla hajaingia Mchechu...shirika hili hili lilikuwa likiendeshwa kwa hasara. Nafikiri unaelewa nini maana ya shirika kuendeshwa kwa hasara. Things have changed. Serikali inaweza kumiliki viwanda kwa kuajiri wataalamu kutoka sekta binafsi. Tatizo la hapa Tanzania....wale watu waliozoea sekta za umma ufanya kazi kwa mazoea sana...hivyo sio watu wa kuwatumia kwenye hivyo viwanda vitakavyoanzishwa. Ufumbuzi hapa ni kuchukua smart people kutoka sekta binafsi na kuwa absorb huku kwenye public sector...tutaona mabadiliko.
Daah huu uzi ulikuwa mtamu umeunganishwa tayari daah!!
Shirika la nyumba la taifa (NHC) kwa data za December 2014 lilikuwa linaingiza Bilioni 9.763 kama wastani kila mwezi kama faida. Na ni shirika la umma hili 100%. Kabla hajaingia Mchechu...shirika hili hili lilikuwa likiendeshwa kwa hasara. Nafikiri unaelewa nini maana ya shirika kuendeshwa kwa hasara. Things have changed. Serikali inaweza kumiliki viwanda kwa kuajiri wataalamu kutoka sekta binafsi. Tatizo la hapa Tanzania....wale watu waliozoea sekta za umma ufanya kazi kwa mazoea sana...hivyo sio watu wa kuwatumia kwenye hivyo viwanda vitakavyoanzishwa. Ufumbuzi hapa ni kuchukua smart people kutoka sekta binafsi na kuwa absorb huku kwenye public sector...tutaona mabadiliko.
Naam, serikali isijiingize moja kwa moja kwenye biashara, nakubaliana na wewe 100%,kwa sasa duniani nadhani ni China pekee(yenye ujamaa wa kweli),ambapo serikali inafanya biashara. Kwa kuwa sisi Ujamaa wa kweli umetushinda basi viwanda viwe vya umma kupitia PPP au Kiundwe chombo chenye meno ambacho kitaratibu kwa ukaribu Viwanda vyote kwa niaba ya Serikali. Kazi kuu ya Serikali iwe kutoa huduma.
Watu watamuingiza Magufuli bonge la mkenge
Why awanyan'ganye bila kuuliza nini kimewafanya washindwe?
je kina nani hao watakao pewa baada ya kunyang'anywa?
wata qualify vipi kupewa?
serikali ikiamua iviendeshe itaweza?
kwa miaka mingapi vitaweza leta faida?
huu mkenge ni mkubwa sana...time will tell....
Hii thread iwe Maalum kwa Maoni, Ushauri na Mapendekezo mbalimbali kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.
Mimi namuomba, Mheshimiwa Rais mteuliwa, kwa heshima na taadhima hili ni ombi binafsi kwako.
Nnaomba uhakikishe huyu mrembo wa ACT Bi Anna Mghwira unamuingiza bungeni na unampa wadhifa anaostahiki, huyu mama ni kichwa adhyim na adim kabisa.
Nimemfatilia mikutano yake mingi sana ya kampeni, anatoa vitu kichwani utafikiri ana word processor inayopanga na kuchuja anachokizungumza kutoka kichwani bila kusoma.
Halikadhalika leo kanifurahisha sana alipostukizwa na kutoa hotuba pale Diamond, ilikuwa fupi na imelenga points zote nzuri na ameeleweka vyema kabisa.
Anna heko sana na nitakuunga mkono katika siasa zako.
Hii thread iwe Maalum kwa Maoni, Ushauri na Mapendekezo mbalimbali kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.
Mimi namuomba, Mheshimiwa Rais mteuliwa, kwa heshima na taadhima hili ni ombi binafsi kwako.
Nnaomba uhakikishe huyu mrembo wa ACT Bi Anna Mghwira unamuingiza bungeni na unampa wadhifa anaostahiki, huyu mama ni kichwa adhyim na adim kabisa.
Nimemfatilia mikutano yake mingi sana ya kampeni, anatoa vitu kichwani utafikiri ana word processor inayopanga na kuchuja anachokizungumza kutoka kichwani bila kusoma.
Halikadhalika leo kanifurahisha sana alipostukizwa na kutoa hotuba pale Diamond, ilikuwa fupi na imelenga points zote nzuri na ameeleweka vyema kabisa.
Anna heko sana na nitakuunga mkono katika siasa zako.
Sio siri kuwa CCM ni chama kilicholea na kuhifadhi ufisadi nchini.
Kupata mtu mwadilifu ndani ya CCM ni sawa na kocha kutafuta wachezaji wa kusajili MOI.
Chama kilihangaika kumpata mgombea urais mwadilifu kikakosa kikabidi kumpata mwenye nafuu kidogo,na kumnadi kwa pesa nyingi za kukufuru, na kufanikuwa kumchagulusha.
Sasa tujiulize huyo waziri mkuu na mawaziri wasio na kashfa ndani ya chama chetu watapatikanaje?
Nimesikia majina yanatajwatajwa lakini yote yana madoa ya ufisadi. Subiri wateuliwe uone jinsi watu watakavyoanza kuweka hadharani madudu yao.
Hili ni dua au nini? Haya ni maoni yangu ambayo hayastahili kunihukumia kifo! Uungwana unatakiwa na uangalie kauli zako zisikurejelee. Ni lini hivyo viwanda vilitaifishwa mpaka lro tuwaze kuwa vinaweza kufufuliwa vikarejea katika hali yake iliyotakiwa? Bado nafikiri baadhi yake ni rahisi kujenga kiwanda kipya kuliko hata kugikiria kuvifufua.Ni bora mtu kama wewe uwe kaburini huenda kuoza kwa mwili wako kutarutubisha ardhi yetu ya Tanzania kuliko kuwa na mtu mwenye mawazo kama yako humu JF.
Wanaendeshwa na mihemuko, wakati mwingine unafikiria kuna chemechembe za chuki kuliko hekima!Umemwelewa lakini au unahara tu,
Teknolojia tuliyonayo ni tofauti na wakati viwanda vinabinafsishwa ni bora kujenga vipya kwa teknolojia ya kisasa.
Ulichotakiwa wewe ni kutoa maoni yako kuanzia alipoishia badala ya kutoa matusi.