mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,162
- 796
kauli yatu ya hapa kazi Bila mishahara mizuri, tena kwa walimu, mh. anajisumbua, ukizingatia michango imefutwa! like shule za msingi kutakufa vibaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna halimashauri ambazo zinakera na zinatia kichefuchefu kiutendaji,maendeleo duni,wapo wapo tu wanakula bata.
~Kishapu
~Sengerema
~Meatu
~Bunda
Ongezea na wewe ili magufuli alale nao mbele
Tatizo Magufuli yuko kwenye chama kibovu hawez kufanya kitu
Mawazo ya kujenga kama hya yanakaribishwa kwa mikono miwili
Mawazo ya kujenga kama hya yanakaribishwa kwa mikono miwili
Wanakwimba tuna malalamiko yaguatayo:-
a. Madawati kwa shule za msingi na sekondari hayatoshi.
b. Mgawanyo wa walimu ni upendeleo. Shule za mjini zina walimu wengi kuliko za vijijini
c. Barbara ya hungumalwa kwenda Maswa haipitiki na mvua zinazoendelea zitatuzuia kuchapa kazi.
D. Nyumba za walimu. Ukifanya ambush utatawahurumia hao walimu.
E. Afisa elimu wa sekondari bw kajanja amejaa ujanja ujanja
F. Tunaomba Maji baba na umeme. Vituo vya afya na ile m50!
Mh. Magufuli twaomba ututatulie hizo kero
wacha mambo ya kijinga, wewe hukai kwimba, maji kwimba yameshaletwa na moil, madawati hebu sena shule gani ambayo haina madawati? ulashakaririshwa madawati madawati mpumbavu mkubwa wewe.
acha jazba mkuu....yeye kajenga hoja na wewe jenga ya kwako kumpriempty....siyo matusi....its just a simple wisdom!
nimemuuliza anitajie shule moja tu ambayo haina madawati nayanapungua mangapi ijumaa nipeleke. Moil yuko vizuri jimboni kwake asilete porojo.