Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Hahaaaaa kwimba maji yapo Ila huku hungumalwa no maji yan tabu tu umeme wanakata ovyo daah
kaka usibishe Shule ya Msingi Buyogo hawana madawati na kila Mwaka wanaazima Madawati kutoka Nela sekondari Kwa ajiri ya wanafunzi wa Darasa la saba kufanyia mitihani.
Hahaaaaa kwimba maji yapo Ila huku hungumalwa no maji yan tabu tu umeme wanakata ovyo daah
Mwigumbi yo maswa ile ni kam nchi nyingine lami no