markbusega
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 826
- 848
Sasa hua mnailalamikia nini serikali kama inafanya hvyo kwa wananchi?watumishi wote wastaafu ni waTanzania,wanatendewa vyema maisha bora afu we tena unalaumu,taratibu mpaka tutafikia na kupewa hata wale ambao hawakusoma na kufanya kazi,ndo maana unasikia huko ulaya kuna mataifa yanatoa posho kwa raia au huduma za afya bure na elimu,sasa hii ni nchi changa na bado inajitahidi kufanya hayo afu unaleta lawama.sisi waTanzania kwa kweli MUNGU atusaidie
Kumbe ni walipwe 10% ili wafe mapema ili serikali iokoe fedha za kuwalipa wastaafu hao?!.
Kama lengo ni wafe mapema baada ya kustaafu, unamaanisha use ya watu hao imemalizika rasmi baada ya kukoma kwa utumishi wao wa umma, ukimaanisha they are better dead than alive?!, hivyo sasa hawana use yoyote bali wanatia hasara tuu?!.
Kwa vile life expectancy ya Mtanzania ni miaka 53 tuu, na umri wa kustaafu ni miaka 60, then ili kuokoa fedha za kuwalipa wastaafu hawa, unaonaje kama serikali ikiweka mekanisim kuhakikisha life ya wastaafu hawa ends at 60 ili mtu akistaafu tuu pia uwe ndio mwisho wa maisha yake, hivyo kutoingizia kabisa hasara serikali yetu?!. (This is very possible kupitia well set cyanide capsules na polonium 360!)
Pasco
Hakupigwa chini kwa kura bali Zito na ccm ndiyo wamemhujumu kwa kupenyeza Goli la mkono.
Tumeshaona majipu madogomadogo yakitumbuliwa sasa tunataka majipu makubwa kama ESCROW,RICHMOND,EPA,UUZAJI WA NYUMBA ZA SERIKALI,KAGODA N.K yatumbuliwe haraka ili kuleta maisha bora kwa watanzania.Mungu akupe nguvu ya kuyatumbua hayo majipu,hongera sana umeanza vizuri kutumbua majibu
haya ya kuambiwa changanya na yako kwani nadhani mengine kubenea atatuongoza bungeni na hata baada ya ubatizo wa mch. djTumeshaona majipu madogomadogo yakitumbuliwa sasa tunataka majipu makubwa kama ESCROW,RICHMOND,EPA,UUZAJI WA NYUMBA ZA SERIKALI,KAGODA N.K yatumbuliwe haraka ili kuleta maisha bora kwa watanzania.Mungu akupe nguvu ya kuyatumbua hayo majipu,hongera sana umeanza vizuri kutumbua majibu
Atatekeleza Sera zipi za ACT au CCM ni lazima itampasa kutekeleza Sera za ccm je pale ambapo act watapingana na Sera za ccm na wakati huo act wanazipinga itakuwaje na atatakiwa kuandamana kuzipinga nae ataandamana tambua ni lazima katiba ibadilishwe iendane na hayo uyatakayo kama ilivyo kwa wamarekani.