markbusega
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 826
- 848
Na hii imekuwa ikiwafanya watu wengi kutaka kuhamia huko huko hata kama anamiaka 5 alipo kweli inakatisha tamaa sana unasoma na kozi moja darasa nchi moja mnaajiriwa na serikali moja kwa nafasi ile ile halafu wewe kwako panakuwa pakavu kwake kuna mchuzi lazima stress na kama mtu huyu hatakubali gap lililotengenezwa na serikali yenyewe atatafuta mpango wa kando ambao unaweza kuwa halali au haramu ili kufidia mipango yote hii itakuwa na athari ktk utumishi kubwa ikiwa kupoteza concentration kwenye kazi na rushwa