Zuka maeneo hayo fasta fasta Rais wetu...!!!! TRA umeanza nao vyema..
Huko kote nilikotaja, it needs urgent OVERHAUL... No mercy, lala nao mbele, fasta...
Pia ongezea TPDC, EWURA, TCRA, TANESCO, hapo ktk list...,
Ukimaliza huko njoo kwa RCs, DCs na wakuu wa Taasisi na mashirika yooote ya umma.. mbona adabu itarudi haraka sana, fukuza, walio ktk contract za ajabu piga chini..
Pia EFD ni mradi wa watu, kula nao sahani moja..wafanya bishara wako willing kulipa kodi thru EFD, tatizo EFD inauzwa ghaliiiiiiiiiii balaaa ilianza 1,300,000 wakashusha to 1,000,000 wakashusha to 800,000 now is around tshs 600,000... huu ni mradi wa watu wach,ache kujitajirisha... lala nao mbeleeee...
Pia VITAMBULISHO VYA TAIFA... lala nao mbeleeeee...
RITA, BRELA.. usisahau pia...
UNUNUZI wa mashangingi VX V8 Rais atamke wazi wazi ni HARAMU SERIKALI KUNUNUA, na sasa mwendo wa Rav. 4 or Prado New Model 3000 CC, diesel, very economical, na bei zake ni around $ 40,000 each new Prado bila kodi..
Sbb serikali hailipi kodi, so new Prado ndio gari inatumia mafuta kwa unafuu na bei nafuu pia... Ma VX V8 ni cancer serikalini...!!
wahi fasta, kula nao sahani moja..
Week end njema..