Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkoa wa Kilimanjaro ni moja ya mikoa very strategic, kwa vile mkoa wote umeshikwa na upinzani, mbunge huyu lazima apewe uwaziri ili tuu kuonyesha Kaskazini nayo imetoa waziri!. Mawaziri sio uwezo tuu lakini pia lazima wasambazwe!.Yas Wakuu Jimbo Letu Liko Kwenye Mkoa Wa Kilimanjaro Unaosifika Kwa Uchumi Wa Juu Lakini Wilaya Hii Ya Mwanga Inaweza Kuwa Chini Kiuchumi Ukilinganisha Na Wilaya Ya Tangahimba Newala Na Hata Singida Vijijini Kwenye Matembe Mengi Tu
Wakuu Wilaya Ya Mwanga Haina Chanzo Chochote Cha Ajira Na Hata Ardhi Yake Ni Ya Milima Hivyo Haifai Hata Kwa Kilimo
Ukiacha Kiwanda Cha Kutengeneza Pombe Kali Cha Bepari La Kihindi Kisichotoa Ajira Kwa Wakazi Wa Mwanga Hakuna Fursa Yeyote Vijana Wamwanga Wamejazana Stendi Wakiuza Maji Kwa Wasafiri Na Wengine Wamesepa
Wito Kwa Rais Usimpe Cheo Cha Uwaziri Mbunge Wangu Prf. Maghembe Ili Akishirikiana Na Dc Shwaibu Ndemanga Watengeneze Fursa Za Ajira Wilayani Humu Chonde Sana Rais Wangu
mbona mnasahau na CCM
Wacha tu ampe uwaziri amalizie mradi wa maji kwenda Dar, Magufuli kishabomoa ile nyumba ya mwana Ukawa kama alivyoahidi kwenye Kampeni.
#Hapakazitu
Wadau, nmekuwa nikifuatilia sana mchakato wa rais mpya wa tanganyika... Maana Zenji bado kuna mgogoro lkn naona kama kwenye donda ndugu anapakwepa kiaina flani. Namuomba atie maguu Tanzania Electric Company.
The open secret is that the TZS was overvalued...what happened is that the TZS returned to its true value and that is why we have relative stability at the moment.
Wadau, nmekuwa nikifuatilia sana mchakato wa rais mpya wa tanganyika... Maana Zenji bado kuna mgogoro lkn naona kama kwenye donda ndugu anapakwepa kiaina flani. Namuomba atie maguu Tanzania Electric Company. Kuwadadavua kama kweli kapania kuirekebisha hii nchi na pia namuomba ahakikishe gharama za umeme, mafuta, vyakula na vifaa vya ujenzi vinashuka ili kuwakomboa watz wa kipato cha chini.
Nawakilisha.....
TAKUKURU pia
nimesafiri nchi ambazo uchumi wao uko juu sana kupita Bongo, na matumizi ya dola ni kawaida mpaka shopping,Sidhani kama wewe ni mchumi (na kama ni mchumi basi utanisamehe..no disrespect intended). Ila bidhaa na huduma ndani ya nchi zikiuzwa kwa dollar...inaathiri sarafu yetu (TZS). Fikiria kwa mfano unataka kukodisha nyumba..mwenye nyumba aseme anataka $500 kwa mwezi...na wewe mshahara wako ni shillingi. Itakupasa uchukue shillingi zako uende bureau ukanunue dola..ili ulipe kodi. Au ulipe kwa shillingi lakini kwa exchange rate ya mwenye nyumba ambaye na yeye ataenda kununua dola. Hiyo inamaana kwenye huo muamala shillingi zimetumika kununua dola. Na kadri shillingi zimavyonunua dollar ndio dollar inaongezeka thamani na shillingi kushuka thamani (supply and demand).
Sasa fikiria kinyume chake...imagine kama hoteli ya serena ingekua inacharge shillingi kwa vyumba vyake. Hiyo inamaana mtalii anayetoka nje ya nchi ingebidi achukue dola zake anunue shillingi ili kulala serena. Hiyo inamaana shillingi yetu ingeongezeka thamani maana "inafukuzwa" na dola nyingi (supply and demand).
Naunga Mkono Hoja,Hayo Mashirika uliyoyataja Anza nayo fastaaaa,heshima lazima irudi Kitaa,ni ujuha kumlipa mchechu mil 36.5 kwa kazi ipi? kukaa vikao ambavyo analipwa 1.5m per session? Tangaza kazi hii weka mishahara mil 5 anayetaka aapply huku akijua mishahara ni huo na anapewa job description akishindwa piga chini na Kama akifuja Mali au akifanya fraud weka ndani tu.
Sidhani kama wewe ni mchumi (na kama ni mchumi basi utanisamehe..no disrespect intended). Ila bidhaa na huduma ndani ya nchi zikiuzwa kwa dollar...inaathiri sarafu yetu (TZS). Fikiria kwa mfano unataka kukodisha nyumba..mwenye nyumba aseme anataka $500 kwa mwezi...na wewe mshahara wako ni shillingi. Itakupasa uchukue shillingi zako uende bureau ukanunue dola..ili ulipe kodi. Au ulipe kwa shillingi lakini kwa exchange rate ya mwenye nyumba ambaye na yeye ataenda kununua dola. Hiyo inamaana kwenye huo muamala shillingi zimetumika kununua dola. Na kadri shillingi zimavyonunua dollar ndio dollar inaongezeka thamani na shillingi kushuka thamani (supply and demand).
Sasa fikiria kinyume chake...imagine kama hoteli ya serena ingekua inacharge shillingi kwa vyumba vyake. Hiyo inamaana mtalii anayetoka nje ya nchi ingebidi achukue dola zake anunue shillingi ili kulala serena. Hiyo inamaana shillingi yetu ingeongezeka thamani maana "inafukuzwa" na dola nyingi (supply and demand).